Rais Samia Suluhu akizungumza na Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala D. Harris

I hope there is trade mission in the entourage. As citizens we are ignorant of the itinerary
Ignorance is lack of knowledge, understanding, or information about something; on this context, itinerary ya mkulu inafahamika na wasaidizi wake na bila shaka sio public docx ili wapiga kura wa 2025 wawe na sehemu ya kushauri nini kifanyike pale mkulu akikutana na wakulu wenzie.

Nataka kuamini kwaweza kuwa na trade mission, but a smart mission should be strategically prepared to ensure in the course the country won't be in the state of begging for fish every now and then;

If at all there will be such a mission, we play for such initiative to be inclusive in the course of implementation.
 
All what we can ...hahaha kiingereza kamzidi magu lakini
mbona ni wote tu viingereza vyao chenga vya kusoma kwenye karatasi, juzi nlimskia Ummy Mwalimu nikacheka sana sema freshi tu lugha yenyewe ya kuazima.
kiingereza waliongea wazee wa zamani bana kina Nyerere, kikaja kuishia kwa mzee Chenge na akatupiga kwelikweli tukajua kumbe kiingereza sio dili!

hawa wa sasaivi wenye degree na diploma za mchongo achana nao kabisa
 
Pongezi kwa Mhe. Rais Samia na Makamu wa Rais wa Marekani.

Hakika Rais Samia anaupiga mwingi haijawahi kutokea.

Kwa mwendo huu wa Mhe. Rais Samia tutegemee mambo makubwa sana kwa maendeleo ya Nchi yetu.
Umbwa kabisa
 
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na Kamala D. Harris, Makamu wa Rais wa Marekani, leo Aprili 15, 2022 katika Ikulu ya Washington DC Nchini Marekani.



"Utawala wetu umedhamiria kwa dhati kuimarisha ushirkiano na Tanzania na nchi za Kiafrika kwa ujumla" - Kamala Harris


“Nashukuru sana uwepo wangu hapa, nashukuru sana Makamu wa Rais kwa kunikaribisha hapa, hii ni mara yetu ya kwanza tunakutana, hivyo natumia nafasi hii kumpongeza Rais Joe Baden na wewe pia Makamu wa Rais kwa kushinda uchaguzi mwaka 2020,” – Rais Samia

“Tanzania tilikuwa tunafuatilia uchaguzi wenu, kwa mara ya kwanza kulikuwa na mwanamke katika nafasi ya kuwa Makamu wa Rais, hilo lilituvutia.

“Kwa niaba ya Serikali ya Tanzania naipongeza Serikali ya Marekani kwa msaada mkubwa wa maendeleo ambao mmekuwa mkitupatia kupitia USAID kwa miaka mingi hasa katika maendeleo ya kijamii,” Rais Samia.

“Kuhusu Covid-19, Nchi yangu ipo katika hali nzuri na imekuwa ikipata msaada kutoka Marekani, kuna chanzo zaidi ya dozi milioni tano ambazo tumepata kutoka Marekani.

“Kuhusu haki za binadamu na demokrasia, Tanzania imepiga hatua kubwa katika masuala hayo, ambapo tumefanya juhudi kubwa kuhakikisha kuna umoja, mshikamano na heshima kwa Watanzania wote,” Rais Samia.

"Kuhusu biashara na uwekezaji, tunajua tunatakiwa kutengeneza mazingira rafiki ya biashara, Serikali yangu inashirikiana na sekta binafsi, ninachoomba ni Marekani kushawishi sekta binafsi kuja Tanzania kufanya biashara na sisis, tunawakaribisha sana," Rais Samia.

“Napenda pia kukutaarifu Makamu Rais kuwa nikiwa hapa Marekani, nitazindua #TheRoyalTour ambayo ni programu inayolenga kuonesha uwezo wa Tanzania katika sekta za Utalii na Uwekezaji," Rais Samia.

“Kuichagua Marekani kuwa sehemu ya kufanya Uzinduzi si bahati mbaya, tulifanya hivyo makusudi, lengo ni kuufanya mradi uonekane duniani kote, ili watu wengi wafike Tanzania kutembea,” Rais Samia.



Umemsikia huyo VP kashasema mpaka leo tayari kuna uwekezaji unakuja wa $1B ! kutoka US inawezekana hii safari ikawa na baraka sana
 
All what we can ...hahaha kiingereza kamzidi magu lakini

Hata kamzidi Albert Einstein pia kwa Kiingereza, Einstein hakujua lugha kiingereza vizuri, isitoshe Wanawake wana uwezo mkubwa wa kujifunza foreign languages kuliko Wanawaume, ni scientifically proven, lkn haimaanishi kuwa ana uwezo wa kutatua matatizo!
 
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na Kamala D. Harris, Makamu wa Rais wa Marekani, leo Aprili 15, 2022 katika Ikulu ya Washington DC Nchini Marekani.



"Utawala wetu umedhamiria kwa dhati kuimarisha ushirkiano na Tanzania na nchi za Kiafrika kwa ujumla" - Kamala Harris


“Nashukuru sana uwepo wangu hapa, nashukuru sana Makamu wa Rais kwa kunikaribisha hapa, hii ni mara yetu ya kwanza tunakutana, hivyo natumia nafasi hii kumpongeza Rais Joe Baden na wewe pia Makamu wa Rais kwa kushinda uchaguzi mwaka 2020,” – Rais Samia

“Tanzania tilikuwa tunafuatilia uchaguzi wenu, kwa mara ya kwanza kulikuwa na mwanamke katika nafasi ya kuwa Makamu wa Rais, hilo lilituvutia.

“Kwa niaba ya Serikali ya Tanzania naipongeza Serikali ya Marekani kwa msaada mkubwa wa maendeleo ambao mmekuwa mkitupatia kupitia USAID kwa miaka mingi hasa katika maendeleo ya kijamii,” Rais Samia.

“Kuhusu Covid-19, Nchi yangu ipo katika hali nzuri na imekuwa ikipata msaada kutoka Marekani, kuna chanzo zaidi ya dozi milioni tano ambazo tumepata kutoka Marekani.

“Kuhusu haki za binadamu na demokrasia, Tanzania imepiga hatua kubwa katika masuala hayo, ambapo tumefanya juhudi kubwa kuhakikisha kuna umoja, mshikamano na heshima kwa Watanzania wote,” Rais Samia.

"Kuhusu biashara na uwekezaji, tunajua tunatakiwa kutengeneza mazingira rafiki ya biashara, Serikali yangu inashirikiana na sekta binafsi, ninachoomba ni Marekani kushawishi sekta binafsi kuja Tanzania kufanya biashara na sisis, tunawakaribisha sana," Rais Samia.

“Napenda pia kukutaarifu Makamu Rais kuwa nikiwa hapa Marekani, nitazindua #TheRoyalTour ambayo ni programu inayolenga kuonesha uwezo wa Tanzania katika sekta za Utalii na Uwekezaji," Rais Samia.

“Kuichagua Marekani kuwa sehemu ya kufanya Uzinduzi si bahati mbaya, tulifanya hivyo makusudi, lengo ni kuufanya mradi uonekane duniani kote, ili watu wengi wafike Tanzania kutembea,” Rais Samia.

All the best kwake
 
Nilidhani makamu wa rais wa jamhuri ya Tanzania kumbe huko hata siwezi kusema angehamia uko tu,, Kuna haja gani ya kurudi huku
 
Umemsikia huyo VP kashasema mpaka leo tayari kuna uwekezaji unakuja wa $1B ! kutoka US inawezekana hii safari ikawa na baraka sana
wanawekaza kwa bila nishati nishat yenyewe ni ya kukatikakatika bile umeme wa kutosha hakuna uwelezaji
 
U.S. is our real Friend.
Long live relationship between Tanzaania and U.S.
tunafahamu mchango mkubwa wa marekni kwa Tanzania ktk sekta ya afya (US Aid), Education, e.t.c
 
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza na Kamala D. Harris, Makamu wa Rais wa Marekani, leo Aprili 15, 2022 katika Ikulu ya Washington DC Nchini Marekani.



"Utawala wetu umedhamiria kwa dhati kuimarisha ushirkiano na Tanzania na nchi za Kiafrika kwa ujumla" - Kamala Harris


“Nashukuru sana uwepo wangu hapa, nashukuru sana Makamu wa Rais kwa kunikaribisha hapa, hii ni mara yetu ya kwanza tunakutana, hivyo natumia nafasi hii kumpongeza Rais Joe Baden na wewe pia Makamu wa Rais kwa kushinda uchaguzi mwaka 2020,” – Rais Samia

“Tanzania tilikuwa tunafuatilia uchaguzi wenu, kwa mara ya kwanza kulikuwa na mwanamke katika nafasi ya kuwa Makamu wa Rais, hilo lilituvutia.

“Kwa niaba ya Serikali ya Tanzania naipongeza Serikali ya Marekani kwa msaada mkubwa wa maendeleo ambao mmekuwa mkitupatia kupitia USAID kwa miaka mingi hasa katika maendeleo ya kijamii,” Rais Samia.

“Kuhusu Covid-19, Nchi yangu ipo katika hali nzuri na imekuwa ikipata msaada kutoka Marekani, kuna chanzo zaidi ya dozi milioni tano ambazo tumepata kutoka Marekani.

“Kuhusu haki za binadamu na demokrasia, Tanzania imepiga hatua kubwa katika masuala hayo, ambapo tumefanya juhudi kubwa kuhakikisha kuna umoja, mshikamano na heshima kwa Watanzania wote,” Rais Samia.

"Kuhusu biashara na uwekezaji, tunajua tunatakiwa kutengeneza mazingira rafiki ya biashara, Serikali yangu inashirikiana na sekta binafsi, ninachoomba ni Marekani kushawishi sekta binafsi kuja Tanzania kufanya biashara na sisis, tunawakaribisha sana," Rais Samia.

“Napenda pia kukutaarifu Makamu Rais kuwa nikiwa hapa Marekani, nitazindua The Royal Tour ambayo ni programu inayolenga kuonesha uwezo wa Tanzania katika sekta za Utalii na Uwekezaji," Rais Samia.

“Kuichagua Marekani kuwa sehemu ya kufanya Uzinduzi si bahati mbaya, tulifanya hivyo makusudi, lengo ni kuufanya mradi uonekane duniani kote, ili watu wengi wafike Tanzania kutembea,” Rais Samia.

Anavyojieleza utafikiri yeye ndio Makamu wa Rais na Kamala D. Harris ndio Rais! Ahahahahahahaha!
 
Back
Top Bottom