mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,050
- 4,903
Salaam Mama , Rais wa JMT
Awali ya yote nikupe Pole kwa majukumu ya kila siku unayokabiliana nayo!
Kwa vijana tulio wengi,, ambao hatujapata nafasi ya kuajiliwa katika serikali yako na Bado tunatozwa ada ya leseni kwa kila Mwaka kulingana na taaluma tulizosomea tunaumia sana!!
Just imagine,
a. Mtu umesoma mpaka chuo kwa gharama za mzazi wako, baada ya kuhitimu unarudi nyumbani na unaamua kutafuta kazi kulingana na taaluma yako unakosa , unaamua ujitolee bure ili kupata uzoefu na kuihandle elimu yako. Ikumbukwe kwa wakati huo wote serikali inakukata kiasi fulani kila Mwaka regardless ni jobless kama ada ya leseni na hauingizi hela yoyote!
b. Kulingana na uhaba wa nafas za kazi na ukosefu wa mitaji Kijana unaamua ufanye kazi nyinginezo Kama vile bodaboda, kukaanga chips, kuwa kibarua wa ujenzi nk, lakini Bado serikali inakukata kiasi fulani kwa Mwaka Kama Ada ya leseni regardless taaluma yako hauitumii ,na usipolipa unaandikiwa Deni.
Mh.Rais, Mama Samia hii haijakaa sawa na ni ukandamizwaji wa hali ya juu sana,, ni Kama serikali inavuna isichopanda!!
MAPENDEKEZO
Mh. Rais, Kulingana na uhaba wa ajira,, Serikali ingewatazama kwa jicho la huruma vijana wasio na ajira kulingana na taaluma walizosomea kwa habari ya malipo ya leseni;
1) Serikali isiwatoze vijana fedha ya leseni mpaka watakapoajiriwa,, ili Kijana alipe fedha ya leseni kupitia kipato chake anachoingiza!!
2) Kama plan 1, ni ngumu, Basi angalau Kijana asiye na ajira akatwe asilimia kidogo tu ya gharama nzima ya leseni
Mh. Rais na Wanabodi wote JF, naomba kuwakilisha
Awali ya yote nikupe Pole kwa majukumu ya kila siku unayokabiliana nayo!
Kwa vijana tulio wengi,, ambao hatujapata nafasi ya kuajiliwa katika serikali yako na Bado tunatozwa ada ya leseni kwa kila Mwaka kulingana na taaluma tulizosomea tunaumia sana!!
Just imagine,
a. Mtu umesoma mpaka chuo kwa gharama za mzazi wako, baada ya kuhitimu unarudi nyumbani na unaamua kutafuta kazi kulingana na taaluma yako unakosa , unaamua ujitolee bure ili kupata uzoefu na kuihandle elimu yako. Ikumbukwe kwa wakati huo wote serikali inakukata kiasi fulani kila Mwaka regardless ni jobless kama ada ya leseni na hauingizi hela yoyote!
b. Kulingana na uhaba wa nafas za kazi na ukosefu wa mitaji Kijana unaamua ufanye kazi nyinginezo Kama vile bodaboda, kukaanga chips, kuwa kibarua wa ujenzi nk, lakini Bado serikali inakukata kiasi fulani kwa Mwaka Kama Ada ya leseni regardless taaluma yako hauitumii ,na usipolipa unaandikiwa Deni.
Mh.Rais, Mama Samia hii haijakaa sawa na ni ukandamizwaji wa hali ya juu sana,, ni Kama serikali inavuna isichopanda!!
MAPENDEKEZO
Mh. Rais, Kulingana na uhaba wa ajira,, Serikali ingewatazama kwa jicho la huruma vijana wasio na ajira kulingana na taaluma walizosomea kwa habari ya malipo ya leseni;
1) Serikali isiwatoze vijana fedha ya leseni mpaka watakapoajiriwa,, ili Kijana alipe fedha ya leseni kupitia kipato chake anachoingiza!!
2) Kama plan 1, ni ngumu, Basi angalau Kijana asiye na ajira akatwe asilimia kidogo tu ya gharama nzima ya leseni
Mh. Rais na Wanabodi wote JF, naomba kuwakilisha