GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
Yaani Mtangulizi wako Hayati Rais Dkt. Magufuli alianzisha tabia ya Kuvizia Wasanii wenye Majina makubwa nchini wakiwa 'on the Stage' wakitumbuiza na Kuwapigia Simu Kuwapongeza nawe Jana umeamua upite mule mule kwa Kumpigia Msanii wa Kike Nandy akiwa anatumbuiza Mkoani Dodoma na Kumpongeza pia.
Kama kweli mnapenda Kupigia Watu Simu na Kuwapongeza kwa Juhudi zao mbona hamtupigii Simu na akina GENTAMYCINE pamoja na JF Members hapa ambao 85% ya Michango ( Maudhui ) yetu yanasaidia sana nchi yako pamoja na Serikali nzima bila Kusahau na Taifa zima la Tanzania ili mtupongeze pia?
Wakati Mtangulizi wako Hayati Rais Dkt. Magufuli alipokuwa akilifanya hili sikuona Tija yake sana sana naona ni Upuuzi na Unafiki mtupu wa kutafuta 'Cheap Popularity' kwa Wasanii na Watanzania ambapo nawe tena umeliiga na najiuliza hapa huwa mnataka labda kutuma Ujumbe gani kwa Wasanii na Watanzania ambao Mimi GENTAMYCINE sijaujua bado?
Kidogo Simu yako ya Jana kwa Msanii Nandy ningeielewa na kuiona ina Umuhimu huo kama ingekuwa ni ya Kujibu Kero zao za Kimsingj ili ulipiga tu ili nawe uonekane unawajali na bahati hata Nandy mwenyewe badala ya Kutumia nafasi ile Kuwasilisha Changamoto za Wasanii Kiujumla Yeye alikuwa anafurahia tu kwa Kupigiwa Simu na Mheshimiwa Rais huku akiwa ameshikilia Simu Kiunyenyekevu na Kinidhamu utadhani Kaokota Jiwe la Dhahabu Mererani.
Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan najua katika Siku zako 100 Ofisini Ikulu jana Watanzania wengi wamekupongeza na Kukupamba ila Mimi GENTAMYCINE katika Salamu zangu za Siku 100 nimeona nizitumie katika Kukukosoa ( Kusema ) hasa juu ya Kuigaiga kila kilichokuwa kikifanywa na Hayati Rais Dkt. Magufuli na ni matumaini yangu hutoninunia bali utanielewa na kufanyia Kazi Ushauri wangu.
Tengeneza nawe Kitabu chako tukuka.
Kama kweli mnapenda Kupigia Watu Simu na Kuwapongeza kwa Juhudi zao mbona hamtupigii Simu na akina GENTAMYCINE pamoja na JF Members hapa ambao 85% ya Michango ( Maudhui ) yetu yanasaidia sana nchi yako pamoja na Serikali nzima bila Kusahau na Taifa zima la Tanzania ili mtupongeze pia?
Wakati Mtangulizi wako Hayati Rais Dkt. Magufuli alipokuwa akilifanya hili sikuona Tija yake sana sana naona ni Upuuzi na Unafiki mtupu wa kutafuta 'Cheap Popularity' kwa Wasanii na Watanzania ambapo nawe tena umeliiga na najiuliza hapa huwa mnataka labda kutuma Ujumbe gani kwa Wasanii na Watanzania ambao Mimi GENTAMYCINE sijaujua bado?
Kidogo Simu yako ya Jana kwa Msanii Nandy ningeielewa na kuiona ina Umuhimu huo kama ingekuwa ni ya Kujibu Kero zao za Kimsingj ili ulipiga tu ili nawe uonekane unawajali na bahati hata Nandy mwenyewe badala ya Kutumia nafasi ile Kuwasilisha Changamoto za Wasanii Kiujumla Yeye alikuwa anafurahia tu kwa Kupigiwa Simu na Mheshimiwa Rais huku akiwa ameshikilia Simu Kiunyenyekevu na Kinidhamu utadhani Kaokota Jiwe la Dhahabu Mererani.
Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan najua katika Siku zako 100 Ofisini Ikulu jana Watanzania wengi wamekupongeza na Kukupamba ila Mimi GENTAMYCINE katika Salamu zangu za Siku 100 nimeona nizitumie katika Kukukosoa ( Kusema ) hasa juu ya Kuigaiga kila kilichokuwa kikifanywa na Hayati Rais Dkt. Magufuli na ni matumaini yangu hutoninunia bali utanielewa na kufanyia Kazi Ushauri wangu.
Tengeneza nawe Kitabu chako tukuka.