Semahengere
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,186
- 1,955
Habari Wana Jukuwaa.
Mimi nataka kusema, Kwa kasi hii ya usafirishaji wa mazao nje ya nchi hadi magari ya Kenya yanaingia vijijini kukusanya Ni dhahiri kwamba hakuna Serikali imara.
Kwa ukame huu tungepaswa kusimamisha biashara ya mazao nje ya nchi kwa muda hali itengamae. Hawa wakulima wanadanganyiwa pesa hadi wanauza chakula cha akiba. Ukifika kwenye border zetu za Namanga na Tarakea ndio utajua jamaa wanasomba mzigo
Nasema hivi Serikali simamieni jambo hili. Chakula kisitoke nje ya nchi Tena Hadi mwaka ujao kama mvua zitanyesha.
Wacheni urafiki kwenye tumbo hamtaweza kuwalisha Hawa wananchi mambo yakiharibika wasimamieni wananchi wenu kabisa
Fanyeni kama Yusufu kipindi kile Cha njaa kule Misri wacheni mchezo na life za watu
Kwa hili Magu Namkumbuka. Nasema kwa hili.
Asanteni
Mimi nataka kusema, Kwa kasi hii ya usafirishaji wa mazao nje ya nchi hadi magari ya Kenya yanaingia vijijini kukusanya Ni dhahiri kwamba hakuna Serikali imara.
Kwa ukame huu tungepaswa kusimamisha biashara ya mazao nje ya nchi kwa muda hali itengamae. Hawa wakulima wanadanganyiwa pesa hadi wanauza chakula cha akiba. Ukifika kwenye border zetu za Namanga na Tarakea ndio utajua jamaa wanasomba mzigo
Nasema hivi Serikali simamieni jambo hili. Chakula kisitoke nje ya nchi Tena Hadi mwaka ujao kama mvua zitanyesha.
Wacheni urafiki kwenye tumbo hamtaweza kuwalisha Hawa wananchi mambo yakiharibika wasimamieni wananchi wenu kabisa
Fanyeni kama Yusufu kipindi kile Cha njaa kule Misri wacheni mchezo na life za watu
Kwa hili Magu Namkumbuka. Nasema kwa hili.
Asanteni