Rais Samia sijakuelewa hapa unapotaka Kushauri na Kuamrisha kuwa Jina la Wafungwa libadilishwe na sasa wawe wanaitwa Wanafunzi

Yaani Mtu Kaiba na Kaua au amesababisha Hatari Kubwa ama katika Jamii au Nchi halafu akihukumiwa na Mahakama kwenda Jela Kisheria asiitwe tena Mfungwa na sasa aitwe Mwanafunzi?

Kwahiyo Mbakaji awe anaitwa Mwanafunzi Mbakaji, Muuaji nae awe anaitwa Mwanafunzi Muuaji huku Jambazi nae awe anaitwa Mwanafunzi Jambazi?

Hivi ni kwanini Viongozi huwa mnapenda Kukurupuka hasa katika Fikra na Matamko? Sasa Mhalifu leo hii akiitwa Mwanafunzi nini Hadhi tena ya Mwanafunzi hapo? Yaani leo hii Rais Samia hujui kuwa neno Mwanafunzi lina Hadhi Kubwa mno Kitaaluma na kwamba leo kutaka Kwako Kushauri kuwa hata hawa Wahalifu wa Kisheria ( Wafungwa ) nao waanze Kuitwa Wanafunzi ni Kuwadhalilisha Wanafunzi na hata Wanataaluma Wote?

Na kwa jinsi Mamlaka husika za Tanzania na Watu wanavyopenda Kujipendekeza Kwako nina uhakika huu Ushauri wako wataupokea bila ya hata Kuutathmini na Kuuchambua Kimantiki ( Logically ) kisha wataweka Pamba katika Masikio yao na Kuukubali ( Kukukubalia ) ili mradi tu uone Unanyenyekewa huku Mioyoni mwao wakiwa Wanakusanifu na pengine hata Kukudharau.

Rais Samia leo ( tena mapema tu hivi ) Mimi GENTAMYCINE naukataa wazi wazi hapa huu Ushauri wako ( Pendekezo lako ) kuwa kuanzia sasa Wafungwa wawe Wanaitwa jina la Wanafunzi bali kwa dhana ya Kujenga, Kudhibiti na hata kutoa Fundisho kwa Wengine waendelee tu kuitwa Wafungwa hivyo hivyo na kama hilo Jina wakiona linawakera basi waachane na Vitendo vyao vya Uhalifu katika Jamii.

Yaani Raia ( tena Amiri Jeshi Mkuu ) kabisa badala ya kuwa Mkali na Kuchukia Vitendo vya Kiuhalifu, Kuvikemea na kuonyesha kuwa huvitaki na huvipendi Wewe bila hata haya ( aibu ) kama Rais unakuja na Hoja Nyepesi ya kutaka wasiitwe tena Wafungwa bali waitwe Wanafunzi?

Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu na hata Taasisi Nyeti hebu jitahidini sana Kumjenga Mama hasa katika yale ambayo anataka Kuyasema kwani ni kama naanza kuona Rais Samia huwa anatoa Kauli zake kwa Kukurupuka na Kimihemko zaidi hali ambayo inaweza sasa Kumfanya aanze Kudharaulika na hata Kuonekana Kituko na wale Waliobarikiwa Ubongo mzuri ( Akili Kubwa ) na Mwenyezi Mungu.

Nitawadharau mno Wanasheria ( ambao nawaheshimu sana ), nitawadharau mno BAKITA na nitamdharau zaidi Jaji Mkuu wa Tanzania ( ambaye namheshimu kutokana na kuwa na Akili sana na pia Poti wangu kutoka Mkoani Mara ) na nitamdharau kuliko Maelezo Waziri na Wizara husika kama Wote hawa kwa pamoja wataukubali huu Ushauri mwepesi na hafifu wa Rais Samia kuwa kuanzia sasa Wafungwa wawe Wanaitwa Wanafunzi.

Kwa wale mnaotaka kujua zaidi juu ya Ushauri huu mwepesi na hafifu alioutoa ( alioupendekeza ) Rais Samia nendeni ITV Tanzania mtaukuta huko na Mimi huku sasa nikiendelea tu Kuwakumbuka Marais wangu makini na Werevu ( Intelligent ) kuwahi kutokea nchini Tanzania Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Hayati Benjamin William Mkapa na Hayati Rais Dkt. John Pombe Magufuli na sishangai ndiyo maana kila mara GENTAMYCINE huwa si tu nawakumbuka bali hata huwa nawalilia huku nikiionea Huruma Tanzania yangu inakoelekea.
Kaja na uzanzibari, kule wanaita chuo cha mafunzo
 
Yaani Mtu Kaiba na Kaua au amesababisha Hatari Kubwa ama katika Jamii au Nchi halafu akihukumiwa na Mahakama kwenda Jela Kisheria asiitwe tena Mfungwa na sasa aitwe Mwanafunzi?

Kwahiyo Mbakaji awe anaitwa Mwanafunzi Mbakaji, Muuaji nae awe anaitwa Mwanafunzi Muuaji huku Jambazi nae awe anaitwa Mwanafunzi Jambazi?

Hivi ni kwanini Viongozi huwa mnapenda Kukurupuka hasa katika Fikra na Matamko? Sasa Mhalifu leo hii akiitwa Mwanafunzi nini Hadhi tena ya Mwanafunzi hapo? Yaani leo hii Rais Samia hujui kuwa neno Mwanafunzi lina Hadhi Kubwa mno Kitaaluma na kwamba leo kutaka Kwako Kushauri kuwa hata hawa Wahalifu wa Kisheria ( Wafungwa ) nao waanze Kuitwa Wanafunzi ni Kuwadhalilisha Wanafunzi na hata Wanataaluma Wote?

Na kwa jinsi Mamlaka husika za Tanzania na Watu wanavyopenda Kujipendekeza Kwako nina uhakika huu Ushauri wako wataupokea bila ya hata Kuutathmini na Kuuchambua Kimantiki ( Logically ) kisha wataweka Pamba katika Masikio yao na Kuukubali ( Kukukubalia ) ili mradi tu uone Unanyenyekewa huku Mioyoni mwao wakiwa Wanakusanifu na pengine hata Kukudharau.

Rais Samia leo ( tena mapema tu hivi ) Mimi GENTAMYCINE naukataa wazi wazi hapa huu Ushauri wako ( Pendekezo lako ) kuwa kuanzia sasa Wafungwa wawe Wanaitwa jina la Wanafunzi bali kwa dhana ya Kujenga, Kudhibiti na hata kutoa Fundisho kwa Wengine waendelee tu kuitwa Wafungwa hivyo hivyo na kama hilo Jina wakiona linawakera basi waachane na Vitendo vyao vya Uhalifu katika Jamii.

Yaani Raia ( tena Amiri Jeshi Mkuu ) kabisa badala ya kuwa Mkali na Kuchukia Vitendo vya Kiuhalifu, Kuvikemea na kuonyesha kuwa huvitaki na huvipendi Wewe bila hata haya ( aibu ) kama Rais unakuja na Hoja Nyepesi ya kutaka wasiitwe tena Wafungwa bali waitwe Wanafunzi?

Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu na hata Taasisi Nyeti hebu jitahidini sana Kumjenga Mama hasa katika yale ambayo anataka Kuyasema kwani ni kama naanza kuona Rais Samia huwa anatoa Kauli zake kwa Kukurupuka na Kimihemko zaidi hali ambayo inaweza sasa Kumfanya aanze Kudharaulika na hata Kuonekana Kituko na wale Waliobarikiwa Ubongo mzuri ( Akili Kubwa ) na Mwenyezi Mungu.

Nitawadharau mno Wanasheria ( ambao nawaheshimu sana ), nitawadharau mno BAKITA na nitamdharau zaidi Jaji Mkuu wa Tanzania ( ambaye namheshimu kutokana na kuwa na Akili sana na pia Poti wangu kutoka Mkoani Mara ) na nitamdharau kuliko Maelezo Waziri na Wizara husika kama Wote hawa kwa pamoja wataukubali huu Ushauri mwepesi na hafifu wa Rais Samia kuwa kuanzia sasa Wafungwa wawe Wanaitwa Wanafunzi.

Kwa wale mnaotaka kujua zaidi juu ya Ushauri huu mwepesi na hafifu alioutoa ( alioupendekeza ) Rais Samia nendeni ITV Tanzania mtaukuta huko na Mimi huku sasa nikiendelea tu Kuwakumbuka Marais wangu makini na Werevu ( Intelligent ) kuwahi kutokea nchini Tanzania Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Hayati Benjamin William Mkapa na Hayati Rais Dkt. John Pombe Magufuli na sishangai ndiyo maana kila mara GENTAMYCINE huwa si tu nawakumbuka bali hata huwa nawalilia huku nikiionea Huruma Tanzania yangu inakoelekea.
Unashangaa hiyo mkuu. Kaamuru itangazwe tenda ya vitaru vya uwindaji na kwamba simba na Tembo wazee wawindwe. WAZEE!! Muwindaji ana kitaru chake ameruhusiwa kuua simba na Tembo halafu aanze kuchunguza simba na Tembo wazee ndiyo awaue!! Dunia inapiga vita kuua Tembo yeye anaruhusu kuua Tembo!!

Achana na hiyo. Amepokea report ya uchafuzi wa mto MARA kwamba kinyesi na mikojo ya ng'ombe ndiyo chanzo cha uchafuzi huo nae kakubaliana na report hiyo. Maji ya mto yanasafiri iweje ng'ombe wakojoe na mkojo huo utuame? Licha ya hivyo miaka ya nyuma ndiyo kulikuwa na ng'ombe wengi mbona madhala hayo hayakujitokeza?

Ukiendelea kushangaa hayo jiulize ni kwa nini alitengua uteuzi wa waziri wa ardhi aliyepunguza kama si kumaliza matatizo ya malalamiko ya ardhi?
 
Atuongoze Bara kwa Sheria na taratibu zake. Vinginevyo na Sisi Bara tuwe na haki ya kugombea urais Zanzibar ili nasi tulete huko ya Kibara. Nchi hizi mbili ni tofauti kabisa na ninashangaa ni kwa nini turuhusu upande mmoja uwe unaweza pia kuongoza upande wa Nchi nyingine. Tunahitaji katiba mpya na Muungano ufumuliwe ili tuuweke Sawa tuje na Muungano ambao unayo mambo machache ya kushirikiana kama yapo.
Unaona sasa mnataka kudhalilisha uanafunzi Bara. Yaani haiwezekani kabisa Mwanafunzi wa shule awe na jina la Mfungwa wa aliyembaka. Samahani Sana kama ninakuudhi Ila pia huoni Hilo jina mnaita Wafungwa Zanzibar ndiyo maana hata Kielimu matokeo yakitoka hamuwezi kabisa kuuifikia Bara? Kwa kuwa tayari Wanafunzi wenu Zanzibar ni Wafungwa kisaikolojia inaathiri mno. Badilisheni Hilo jina waitwe tu jina lingine lakini siyo Wanafunzi. Chondechonde isije Bara hii kitu ibaki Zanzibar.
Wote ni sawa TU mana wasomi wa Bara ndio wahalifu wa kubwa wanaotuibia mabilioni ya fedha za umma na kutengeneza umaskini mkubwa unaoleta uhalifu mdogo unaoleta wanafunzi wa hovyo magerezani.


Vyuo na mashule yetu yameshindwa kuzalisha watu wema.
Wauza madawa ,walevi wa kupindukia,wezi wa madawa na vifaa tiba , Wala rushwa , wadangaji wakubwa, wachepukaji wakuu, wazinzi wakuu, wauzaji wa ardhi mara mbili mpaka tatu, wauaji wa watu wasio na hatia, watekaji, wanaoua Wafanyabiashara wa madini na kupora madini yao, wanasiasa wa hovyo wa aina ya Dr. Mihogo na Mapropesa Samadi,Propesa Jalalani, Propesa Tume ya uchaguzi Kupiga pesa za umma. Wanaochoma majengo ya umma ili wapige pesa za michakato ya ujenzi na uovu mwingi na utakatishaji wa fedha wote ni wale waliohutimu kwenye vyuo na mashule yenye hulkana fikra za kihalifu.

Tofauti ya wanafunzi wa vyuo vyetu na wale wafungwa(wanafunzi ) wa magereza yetu ni kuwa VYUO( Vikuu , vya kati na vya ufundi) wanafunzi wanaanza mafunzo wakiwa watu wema Kisha wanahitimu wakiwa Wahalifu na wanakwenda kutumia Elimu yao kufanya uhalifu unaoathiri vizazi na vizazi Kwa mamilioni ya Watanzania .
Ilihali wafungwa( wanafunzi wa vyuo vya magereza ) wanaanza mafunzo wakiwa Wahalifu Kisha wanahitimu wakiwa watu wema.
Wahalifu Hawa ni wabaya sana mana Mwenzao akijaribu kuwapinga au kuwasaliti anapata majanga makubwa na kukosa pa kukimbilia mana kila anapokimbilia anakutana na Wahalifu ambao wanamuona kuwa ni msaliti anayezuia maslahi yao na vyeo vyao. Matokeo yake ama analogwa au anatafutiwa zengwe au anapotezwa kabisa.

Kwa kweli ukitizama Kwa makini Vyuo vyetu na Magereza Vyote ni vyuo vinavyotegemeana.

Ukitaka Chuo Cha magereza kikose wanafunzi basi ni lazima vyuo vya Elimu na mashule yatoe wahitimu wema ,wenye nia njema na wazalendo wa kweli sio tu makada wa vyama hatimaye tuwe na jamii yenye wasomi wazalendo wenye kuuchukia uhalifu na sio kuusifia na kuulinda Kwa sababu TU umefanywa na watu walioshika kalamu na Computer kwenye ofisi yenye kiyoyozi bila jasho.
 
Yaani Mtu Kaiba na Kaua au amesababisha Hatari Kubwa ama katika Jamii au Nchi halafu akihukumiwa na Mahakama kwenda Jela Kisheria asiitwe tena Mfungwa na sasa aitwe Mwanafunzi?

Kwahiyo Mbakaji awe anaitwa Mwanafunzi Mbakaji, Muuaji nae awe anaitwa Mwanafunzi Muuaji huku Jambazi nae awe anaitwa Mwanafunzi Jambazi?

Hivi ni kwanini Viongozi huwa mnapenda Kukurupuka hasa katika Fikra na Matamko? Sasa Mhalifu leo hii akiitwa Mwanafunzi nini Hadhi tena ya Mwanafunzi hapo? Yaani leo hii Rais Samia hujui kuwa neno Mwanafunzi lina Hadhi Kubwa mno Kitaaluma na kwamba leo kutaka Kwako Kushauri kuwa hata hawa Wahalifu wa Kisheria ( Wafungwa ) nao waanze Kuitwa Wanafunzi ni Kuwadhalilisha Wanafunzi na hata Wanataaluma Wote?

Na kwa jinsi Mamlaka husika za Tanzania na Watu wanavyopenda Kujipendekeza Kwako nina uhakika huu Ushauri wako wataupokea bila ya hata Kuutathmini na Kuuchambua Kimantiki ( Logically ) kisha wataweka Pamba katika Masikio yao na Kuukubali ( Kukukubalia ) ili mradi tu uone Unanyenyekewa huku Mioyoni mwao wakiwa Wanakusanifu na pengine hata Kukudharau.

Rais Samia leo ( tena mapema tu hivi ) Mimi GENTAMYCINE naukataa wazi wazi hapa huu Ushauri wako ( Pendekezo lako ) kuwa kuanzia sasa Wafungwa wawe Wanaitwa jina la Wanafunzi bali kwa dhana ya Kujenga, Kudhibiti na hata kutoa Fundisho kwa Wengine waendelee tu kuitwa Wafungwa hivyo hivyo na kama hilo Jina wakiona linawakera basi waachane na Vitendo vyao vya Uhalifu katika Jamii.

Yaani Raia ( tena Amiri Jeshi Mkuu ) kabisa badala ya kuwa Mkali na Kuchukia Vitendo vya Kiuhalifu, Kuvikemea na kuonyesha kuwa huvitaki na huvipendi Wewe bila hata haya ( aibu ) kama Rais unakuja na Hoja Nyepesi ya kutaka wasiitwe tena Wafungwa bali waitwe Wanafunzi?

Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu na hata Taasisi Nyeti hebu jitahidini sana Kumjenga Mama hasa katika yale ambayo anataka Kuyasema kwani ni kama naanza kuona Rais Samia huwa anatoa Kauli zake kwa Kukurupuka na Kimihemko zaidi hali ambayo inaweza sasa Kumfanya aanze Kudharaulika na hata Kuonekana Kituko na wale Waliobarikiwa Ubongo mzuri ( Akili Kubwa ) na Mwenyezi Mungu.

Nitawadharau mno Wanasheria ( ambao nawaheshimu sana ), nitawadharau mno BAKITA na nitamdharau zaidi Jaji Mkuu wa Tanzania ( ambaye namheshimu kutokana na kuwa na Akili sana na pia Poti wangu kutoka Mkoani Mara ) na nitamdharau kuliko Maelezo Waziri na Wizara husika kama Wote hawa kwa pamoja wataukubali huu Ushauri mwepesi na hafifu wa Rais Samia kuwa kuanzia sasa Wafungwa wawe Wanaitwa Wanafunzi.

Kwa wale mnaotaka kujua zaidi juu ya Ushauri huu mwepesi na hafifu alioutoa ( alioupendekeza ) Rais Samia nendeni ITV Tanzania mtaukuta huko na Mimi huku sasa nikiendelea tu Kuwakumbuka Marais wangu makini na Werevu ( Intelligent ) kuwahi kutokea nchini Tanzania Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Hayati Benjamin William Mkapa na Hayati Rais Dkt. John Pombe Magufuli na sishangai ndiyo maana kila mara GENTAMYCINE huwa si tu nawakumbuka bali hata huwa nawalilia huku nikiionea Huruma Tanzania yangu inakoelekea.
Tofauti ya wanafunzi wa vyuo vyetu na wale wafungwa(wanafunzi ) wa magereza yetu ni kuwa VYUO( Vikuu , vya kati na vya ufundi) wanafunzi wanaanza mafunzo wakiwa watu wema Kisha wanahitimu wakiwa Wahalifu na wanakwenda kutumia Elimu yao kufanya uhalifu unaoathiri vizazi na vizazi Kwa mamilioni ya Watanzania .Wahalifu Hawa ni wabaya sana mana Mwenzao akijaribu kuwapinga au kuwasaliti anapata majanga makubwa na kukosa pa kukimbilia mana kila anapokimbilia anakutana na Wahalifu ambao wanamuona kuwa ni msaliti anayezuia maslahi yao na vyeo vyao. Matokeo yake ama analogwa au anatafutiwa zengwe au anapotezwa kabisa.

Ilihali wafungwa( wanafunzi wa vyuo vya magereza ) wanaanza mafunzo wakiwa Wahalifu Kisha wanahitimu wakiwa watu wema.


Kwa kweli ukitizama Kwa makini Vyuo vyetu na Magereza Vyote ni vyuo vinavyotegemeana.

Ukitaka Chuo Cha magereza kikose wanafunzi basi ni lazima vyuo vya Elimu na mashule yatoe wahitimu wema ,wenye nia njema na wazalendo wa kweli sio tu makada wa vyama hatimaye tuwe na jamii yenye wasomi wazalendo wenye kuuchukia uhalifu na sio kuusifia na kuulinda Kwa sababu TU umefanywa na watu walioshika kalamu na Computer kwenye ofisi yenye kiyoyozi bila jasho
 
Nadhani mama anataka kubadili tamaduni na lugha ya Tanzania bara iwe sawa na kwao Zanzibar. Utofauti wetu wa lugha na tamaduni zetu ndio uimara wetu. Asituharibie lugha yetu Bara. Hatutaki kuita shule- skuli, Kufundisha--Kusomesha, Gereza- Chuo cha mafunzo.
Kuna memba mmoja wa uhamsho aliwahi kusikika watu wa bara hawajui kiswahili akatoa mfano, Halima wamwita Alima.
 
Mkuu yaani nimesikitika na kumshangaa sana. Kuna Kitu niliambiwa nikakibishia ila kwa sasa taratibu naanza Kukiamini. Ama hakika Kazi tunayo na Kazi iendelee pia.
Kitu gani hicho mkuu,tusokeze kwa mbali ,tutoe tongotongo
 
Wote ni sawa TU mana wasomi wa Bara ndio wahalifu wa kubwa wanaotuibia mabilioni ya fedha za umma na kutengeneza umaskini mkubwa unaoleta uhalifu mdogo unaoleta wanafunzi wa hovyo magerezani.


Vyuo na mashule yetu yameshindwa kuzalisha watu wema.
Wauza madawa ,walevi wa kupindukia,wezi wa madawa na vifaa tiba , Wala rushwa , wadangaji wakubwa, wachepukaji wakuu, wazinzi wakuu, wauzaji wa ardhi mara mbili mpaka tatu, wauaji wa watu wasio na hatia, watekaji, wanaoua Wafanyabiashara wa madini na kupora madini yao, wanasiasa wa hovyo wa aina ya Dr. Mihogo na Mapropesa Samadi,Propesa Jalalani, Propesa Tume ya uchaguzi Kupiga pesa za umma. Wanaochoma majengo ya umma ili wapige pesa za michakato ya ujenzi na uovu mwingi na utakatishaji wa fedha wote ni wale waliohutimu kwenye vyuo na mashule yenye hulkana fikra za kihalifu.

Tofauti ya wanafunzi wa vyuo vyetu na wale wafungwa(wanafunzi ) wa magereza yetu ni kuwa VYUO( Vikuu , vya kati na vya ufundi) wanafunzi wanaanza mafunzo wakiwa watu wema Kisha wanahitimu wakiwa Wahalifu na wanakwenda kutumia Elimu yao kufanya uhalifu unaoathiri vizazi na vizazi Kwa mamilioni ya Watanzania .
Ilihali wafungwa( wanafunzi wa vyuo vya magereza ) wanaanza mafunzo wakiwa Wahalifu Kisha wanahitimu wakiwa watu wema.
Wahalifu Hawa ni wabaya sana mana Mwenzao akijaribu kuwapinga au kuwasaliti anapata majanga makubwa na kukosa pa kukimbilia mana kila anapokimbilia anakutana na Wahalifu ambao wanamuona kuwa ni msaliti anayezuia maslahi yao na vyeo vyao. Matokeo yake ama analogwa au anatafutiwa zengwe au anapotezwa kabisa.

Kwa kweli ukitizama Kwa makini Vyuo vyetu na Magereza Vyote ni vyuo vinavyotegemeana.

Ukitaka Chuo Cha magereza kikose wanafunzi basi ni lazima vyuo vya Elimu na mashule yatoe wahitimu wema ,wenye nia njema na wazalendo wa kweli sio tu makada wa vyama hatimaye tuwe na jamii yenye wasomi wazalendo wenye kuuchukia uhalifu na sio kuusifia na kuulinda Kwa sababu TU umefanywa na watu walioshika kalamu na Computer kwenye ofisi yenye kiyoyozi bila jasho.
Kwa uchambuzi huu nimetulia. Keep it up Mkuu.
 
Yaani Mtu Kaiba na Kaua au amesababisha Hatari Kubwa ama katika Jamii au Nchi halafu akihukumiwa na Mahakama kwenda Jela Kisheria asiitwe tena Mfungwa na sasa aitwe Mwanafunzi?

Kwahiyo Mbakaji awe anaitwa Mwanafunzi Mbakaji, Muuaji nae awe anaitwa Mwanafunzi Muuaji huku Jambazi nae awe anaitwa Mwanafunzi Jambazi?

Hivi ni kwanini Viongozi huwa mnapenda Kukurupuka hasa katika Fikra na Matamko? Sasa Mhalifu leo hii akiitwa Mwanafunzi nini Hadhi tena ya Mwanafunzi hapo? Yaani leo hii Rais Samia hujui kuwa neno Mwanafunzi lina Hadhi Kubwa mno Kitaaluma na kwamba leo kutaka Kwako Kushauri kuwa hata hawa Wahalifu wa Kisheria ( Wafungwa ) nao waanze Kuitwa Wanafunzi ni Kuwadhalilisha Wanafunzi na hata Wanataaluma Wote?

Na kwa jinsi Mamlaka husika za Tanzania na Watu wanavyopenda Kujipendekeza Kwako nina uhakika huu Ushauri wako wataupokea bila ya hata Kuutathmini na Kuuchambua Kimantiki ( Logically ) kisha wataweka Pamba katika Masikio yao na Kuukubali ( Kukukubalia ) ili mradi tu uone Unanyenyekewa huku Mioyoni mwao wakiwa Wanakusanifu na pengine hata Kukudharau.

Rais Samia leo ( tena mapema tu hivi ) Mimi GENTAMYCINE naukataa wazi wazi hapa huu Ushauri wako ( Pendekezo lako ) kuwa kuanzia sasa Wafungwa wawe Wanaitwa jina la Wanafunzi bali kwa dhana ya Kujenga, Kudhibiti na hata kutoa Fundisho kwa Wengine waendelee tu kuitwa Wafungwa hivyo hivyo na kama hilo Jina wakiona linawakera basi waachane na Vitendo vyao vya Uhalifu katika Jamii.

Yaani Raia ( tena Amiri Jeshi Mkuu ) kabisa badala ya kuwa Mkali na Kuchukia Vitendo vya Kiuhalifu, Kuvikemea na kuonyesha kuwa huvitaki na huvipendi Wewe bila hata haya ( aibu ) kama Rais unakuja na Hoja Nyepesi ya kutaka wasiitwe tena Wafungwa bali waitwe Wanafunzi?

Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu na hata Taasisi Nyeti hebu jitahidini sana Kumjenga Mama hasa katika yale ambayo anataka Kuyasema kwani ni kama naanza kuona Rais Samia huwa anatoa Kauli zake kwa Kukurupuka na Kimihemko zaidi hali ambayo inaweza sasa Kumfanya aanze Kudharaulika na hata Kuonekana Kituko na wale Waliobarikiwa Ubongo mzuri ( Akili Kubwa ) na Mwenyezi Mungu.

Nitawadharau mno Wanasheria ( ambao nawaheshimu sana ), nitawadharau mno BAKITA na nitamdharau zaidi Jaji Mkuu wa Tanzania ( ambaye namheshimu kutokana na kuwa na Akili sana na pia Poti wangu kutoka Mkoani Mara ) na nitamdharau kuliko Maelezo Waziri na Wizara husika kama Wote hawa kwa pamoja wataukubali huu Ushauri mwepesi na hafifu wa Rais Samia kuwa kuanzia sasa Wafungwa wawe Wanaitwa Wanafunzi.

Kwa wale mnaotaka kujua zaidi juu ya Ushauri huu mwepesi na hafifu alioutoa ( alioupendekeza ) Rais Samia nendeni ITV Tanzania mtaukuta huko na Mimi huku sasa nikiendelea tu Kuwakumbuka Marais wangu makini na Werevu ( Intelligent ) kuwahi kutokea nchini Tanzania Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Hayati Benjamin William Mkapa na Hayati Rais Dkt. John Pombe Magufuli na sishangai ndiyo maana kila mara GENTAMYCINE huwa si tu nawakumbuka bali hata huwa nawalilia huku nikiionea Huruma Tanzania yangu inakoelekea.
MWACHE MAMA YETU AFANYE KAZI YA KUIFUNGUA NCHI MBONA MTANGULIZI NAYE ALISEMAGA WASTAFU WANAWASHWA PIA WAMESABABISHA MATATIZO ANAYOSUMBUKA NAYO.MAMENO YAPO NA DAWA YAKE KUYASEMA NDO NAFSI HUTULIA WEWE YANAWEZA KUKUKERA ILA WENGINE WANAFURAHI NANI ASISEMWE NA BINADAMU YESU MWENYEWE ALISEMWA SEMBUSE HUYO KWA HIYO VUMILIA MKUU NDO MAISHA YALIVYO WHAT GOES AROUND IS WHAT COME AROUND
 
Yaani Mtu Kaiba na Kaua au amesababisha Hatari Kubwa ama katika Jamii au Nchi halafu akihukumiwa na Mahakama kwenda Jela Kisheria asiitwe tena Mfungwa na sasa aitwe Mwanafunzi?

Kwahiyo Mbakaji awe anaitwa Mwanafunzi Mbakaji, Muuaji nae awe anaitwa Mwanafunzi Muuaji huku Jambazi nae awe anaitwa Mwanafunzi Jambazi?

Hivi ni kwanini Viongozi huwa mnapenda Kukurupuka hasa katika Fikra na Matamko? Sasa Mhalifu leo hii akiitwa Mwanafunzi nini Hadhi tena ya Mwanafunzi hapo? Yaani leo hii Rais Samia hujui kuwa neno Mwanafunzi lina Hadhi Kubwa mno Kitaaluma na kwamba leo kutaka Kwako Kushauri kuwa hata hawa Wahalifu wa Kisheria ( Wafungwa ) nao waanze Kuitwa Wanafunzi ni Kuwadhalilisha Wanafunzi na hata Wanataaluma Wote?

Na kwa jinsi Mamlaka husika za Tanzania na Watu wanavyopenda Kujipendekeza Kwako nina uhakika huu Ushauri wako wataupokea bila ya hata Kuutathmini na Kuuchambua Kimantiki ( Logically ) kisha wataweka Pamba katika Masikio yao na Kuukubali ( Kukukubalia ) ili mradi tu uone Unanyenyekewa huku Mioyoni mwao wakiwa Wanakusanifu na pengine hata Kukudharau.

Rais Samia leo ( tena mapema tu hivi ) Mimi GENTAMYCINE naukataa wazi wazi hapa huu Ushauri wako ( Pendekezo lako ) kuwa kuanzia sasa Wafungwa wawe Wanaitwa jina la Wanafunzi bali kwa dhana ya Kujenga, Kudhibiti na hata kutoa Fundisho kwa Wengine waendelee tu kuitwa Wafungwa hivyo hivyo na kama hilo Jina wakiona linawakera basi waachane na Vitendo vyao vya Uhalifu katika Jamii.

Yaani Raia ( tena Amiri Jeshi Mkuu ) kabisa badala ya kuwa Mkali na Kuchukia Vitendo vya Kiuhalifu, Kuvikemea na kuonyesha kuwa huvitaki na huvipendi Wewe bila hata haya ( aibu ) kama Rais unakuja na Hoja Nyepesi ya kutaka wasiitwe tena Wafungwa bali waitwe Wanafunzi?

Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu na hata Taasisi Nyeti hebu jitahidini sana Kumjenga Mama hasa katika yale ambayo anataka Kuyasema kwani ni kama naanza kuona Rais Samia huwa anatoa Kauli zake kwa Kukurupuka na Kimihemko zaidi hali ambayo inaweza sasa Kumfanya aanze Kudharaulika na hata Kuonekana Kituko na wale Waliobarikiwa Ubongo mzuri ( Akili Kubwa ) na Mwenyezi Mungu.

Nitawadharau mno Wanasheria ( ambao nawaheshimu sana ), nitawadharau mno BAKITA na nitamdharau zaidi Jaji Mkuu wa Tanzania ( ambaye namheshimu kutokana na kuwa na Akili sana na pia Poti wangu kutoka Mkoani Mara ) na nitamdharau kuliko Maelezo Waziri na Wizara husika kama Wote hawa kwa pamoja wataukubali huu Ushauri mwepesi na hafifu wa Rais Samia kuwa kuanzia sasa Wafungwa wawe Wanaitwa Wanafunzi.

Kwa wale mnaotaka kujua zaidi juu ya Ushauri huu mwepesi na hafifu alioutoa ( alioupendekeza ) Rais Samia nendeni ITV Tanzania mtaukuta huko na Mimi huku sasa nikiendelea tu Kuwakumbuka Marais wangu makini na Werevu ( Intelligent ) kuwahi kutokea nchini Tanzania Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Hayati Benjamin William Mkapa na Hayati Rais Dkt. John Pombe Magufuli na sishangai ndiyo maana kila mara GENTAMYCINE huwa si tu nawakumbuka bali hata huwa nawalilia huku nikiionea Huruma Tanzania yangu inakoelekea.
Wnafunzi wa ujambazi, tuombeane dear, tupo pabaya sana!
 
Back
Top Bottom