kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 11,599
- 12,986
Bi mkubwa kaamua
Mwenyekiti alikofichwa huko akitoka tutasikia
Mwenyekiti alikofichwa huko akitoka tutasikia
Naona Bado hamtaki kujifunza kilichomtokea Magufuli...ghadhabu ya Mungu juu yenu bado inawaka subirini tuMama Samia kwanza nikupe hongera kwa kuwa hadi sasa umeonyesha ukomavu mkubwa sana kwenye uongozi wako.
Kwa lugha nyepesi tunasema "sasa umeiva", mwanzo ulivyoanza kiukweli ulianza kutupa wasiwasi Kama ungeweza kweli kwa kuwa ulionekana kama unahitaji sana kubembeleza yale magenge.
Mama katika nchi hizi za Africa haiwezi kuja kutokea Maendeleo kwa kubembelezana na kuvumilia wanasiasa uchwara. Gia uliyoingiza sasa nenda nayo hiyohiyo nakuhakikishia utafika salama pale unapotaka kwenda.
Hawa wanasiasa uchwara wa chadema ulijaribu kama kuwabembeleza hivi mwanzoni, lilikuwa kosa kubwa sana kwako.
Hawa watu hawajahi kuwa na shukrani kwa mamlaka na siku zote huwa hawaheshimu mamlaka.
Hivyo nakuomba endelea kuwapiga pin hivihivi mpaka maji waite mma, usije kuwapa nafasi tena ya kufanya huu ujinga unaitwa katiba mpya.
Peleka vikosi vya polisi popote wanapokusanyika, Yani iwe bampa to bampa.
Kikwete alikuwa dhaifu ndo maana kaacha takataka IkuluKabisa!
Jakaya aliwabembeleza wakaishia kumnyea kichwani!
Hata vijana wadogo kina Mnyika wakamwita dhaifu.
Wanafanya mambo ya kipuuzi halafu wanataka kuchekewa na kuitwa ikulu ili wakale sambusa za nyama na juice pamoja na chai wakitoka huko waseme Rais ni dhaifu!.CHADEMA wanamdharau sana Rais SSH kwa kuwa ni mpole, wanataka afuate matakwa yao. Hapana akifanya hivyo atakuwa siyo Rais wa Tanzania. Freeman Mbowe yeye mwenyewe hachezewi hivi akiwa Mwenyekiti wa CHADEMA.
Tumemuona alivyolinda kiti chake cha UENYEKITI mpaka kwa kumwaga damu. Kwa nini wasimsikilize Rais SSH aliposema Katiba isubiri kwanza ajenge uchumi?
Mbona waliufyata kwa Mwendazake ambaye alikuwa katili kupitiliza? Wananchi watawachoka kwa kuwa chama cha harakati na matukio. Kajipangeni namna ya ku-deal na Rais SSH. Wananchi wanamkubali anavyochukua hatua kupanga uchumi.
Na Katiba hajakataa, kasema nipeni muda.
Lakini akina Mbowe wanataka wamuendeshe kama gari bovu? HAPANA huyu ni Rais wetu wote na anayoyafanya tunayaona
Magufuli aliishi na kifaa ndani ya moyo kwa zaidi ya miaka kumi, siku yake ilifika.Naona Bado hamtaki kujifunza kilichomtokea Magufuli...ghadhabu ya Mungu juu yenu bado inawaka subirini tu
Wanafanya mambo ya kipumbavu halafu wanakuja na vitisho vya kifo. Nani kaumbiwa kuishi milele juu ya dunia hii?.Hapa anaupiga mwingi kweli, mie mtu akiwa imara na kukataa kupelekeahwa namkubali.
Mama hapa kawakabia juu, hamna kuchomoka
Mama Samia kwanza nikupe hongera kwa kuwa hadi sasa umeonyesha ukomavu mkubwa sana kwenye uongozi wako.
Kwa lugha nyepesi tunasema "sasa umeiva", mwanzo ulivyoanza kiukweli ulianza kutupa wasiwasi Kama ungeweza kweli kwa kuwa ulionekana kama unahitaji sana kubembeleza yale magenge.
Mama katika nchi hizi za Africa haiwezi kuja kutokea Maendeleo kwa kubembelezana na kuvumilia wanasiasa uchwara. Gia uliyoingiza sasa nenda nayo hiyohiyo nakuhakikishia utafika salama pale unapotaka kwenda.
Hawa wanasiasa uchwara wa chadema ulijaribu kama kuwabembeleza hivi mwanzoni, lilikuwa kosa kubwa sana kwako.
Hawa watu hawajahi kuwa na shukrani kwa mamlaka na siku zote huwa hawaheshimu mamlaka.
Hivyo nakuomba endelea kuwapiga pin hivihivi mpaka maji waite mma, usije kuwapa nafasi tena ya kufanya huu ujinga unaitwa katiba mpya.
Peleka vikosi vya polisi popote wanapokusanyika, Yani iwe bampa to bampa.
Ukatili.Mama Samia kwanza nikupe hongera kwa kuwa hadi sasa umeonyesha ukomavu mkubwa sana kwenye uongozi wako.
Kwa lugha nyepesi tunasema "sasa umeiva", mwanzo ulivyoanza kiukweli ulianza kutupa wasiwasi Kama ungeweza kweli kwa kuwa ulionekana kama unahitaji sana kubembeleza yale magenge.
Mama katika nchi hizi za Africa haiwezi kuja kutokea Maendeleo kwa kubembelezana na kuvumilia wanasiasa uchwara. Gia uliyoingiza sasa nenda nayo hiyohiyo nakuhakikishia utafika salama pale unapotaka kwenda.
Hawa wanasiasa uchwara wa chadema ulijaribu kama kuwabembeleza hivi mwanzoni, lilikuwa kosa kubwa sana kwako.
Hawa watu hawajahi kuwa na shukrani kwa mamlaka na siku zote huwa hawaheshimu mamlaka.
Hivyo nakuomba endelea kuwapiga pin hivihivi mpaka maji waite mma, usije kuwapa nafasi tena ya kufanya huu ujinga unaitwa katiba mpya.
Peleka vikosi vya polisi popote wanapokusanyika, Yani iwe bampa to bampa.
Ukatili imekuwa sera yenu. Mungu atashughulika nanyi!Wanafanya mambo ya kipumbavu halafu wanakuja na vitisho vya kifo. Nani kaumbiwa kuishi milele juu ya dunia hii?.
Wanakufa mapapa wa Vatican sembuse marais wa nchi hizi za afrika!.
Mama awapelekee spana mwanzo mwisho.
Ukatili si Jambo jema. Mwenyezi Mungu awafunze kutenda kwa HAKI.Mama kama mama
Mama wa Taifa💪
Chadema wanapodai katiba mpya ni kwaajili yako na wajukuu zako, unapoongea tumia akili
Punguzeni drama watu wafanye kazi ya kukuza uchumi ulioyumba baada ya corona kuitikisa dunia.Ukatili imekuwa sera yenu. Mungu atashughulika nanyi!
Binafsi sijawatuma CHADEMA kama MTANZANIA.Chadema wanapodai katiba mpya ni kwaajili yako na wajukuu zako, unapoongea tumia akili
Awawezi maana alishaleta tabaka la kikabila kuwasema kanda ya ziwa na Mbowe ashukuru awajamsulubu wananchi wa kanda ya ziwa.Kugoma kwa wananchi kuingia mitaani kumtafuta mbowe ni jibu Tosha kwa chadema kuwa wamebugi step
Wewe unaona drama watu kujadili katiba. Serious?Punguzeni drama watu wafanye kazi ya kukuza uchumi ulioyumba baada ya corona kuitikisa dunia.
Safi kabisa,mtu wa kawaida kijijini hahitaji katiba mpya,anahitaji maendeleo. Mambo ya katiba mpya ni mkakati mchafu wa mabeberu wa kuyumbisha nchi zetu na hivyo kutawala kirahisi na kuweza kuleta vurugu na vita vya wenyewe kwa wenyewe at a time of their choosing.Ni kweli wapigwe pini tu hawa hatuwahitaji.Mama Samia kwanza nikupe hongera kwa kuwa hadi sasa umeonyesha ukomavu mkubwa sana kwenye uongozi wako.
Kwa lugha nyepesi tunasema "sasa umeiva", mwanzo ulivyoanza kiukweli ulianza kutupa wasiwasi Kama ungeweza kweli kwa kuwa ulionekana kama unahitaji sana kubembeleza yale magenge.
Mama katika nchi hizi za Africa haiwezi kuja kutokea Maendeleo kwa kubembelezana na kuvumilia wanasiasa uchwara. Gia uliyoingiza sasa nenda nayo hiyohiyo nakuhakikishia utafika salama pale unapotaka kwenda.
Hawa wanasiasa uchwara wa chadema ulijaribu kama kuwabembeleza hivi mwanzoni, lilikuwa kosa kubwa sana kwako.
Hawa watu hawajahi kuwa na shukrani kwa mamlaka na siku zote huwa hawaheshimu mamlaka.
Hivyo nakuomba endelea kuwapiga pin hivihivi mpaka maji waite mma, usije kuwapa nafasi tena ya kufanya huu ujinga unaitwa katiba mpya.
Peleka vikosi vya polisi popote wanapokusanyika, Yani iwe bampa to bampa.
Mmeambiwa na rais tulieni kwanza tuna hali sio nzuri kiuchumi, suala la katiba mpya linahitaji pesa, je mnazo kwa sasa?.Wewe unaona drama watu kujadili katiba. Serious?
Mnaua spirit ya mijadala na confidence ya Vijana.
Hujui kama ni kujenga uelewa wa Elimu ya kiraia?
Mbona CCM mnapenda kufanya watu waendelee kuwa wajinga?
Mjue tu Mungu hana upendeleo!