Nikusahihishe, karibu yote uliyoyasema ni ya kweli.

Isipokuwa Magufuli hakumchagua Samia, 2015 katika kikao cha CCM cha kumchagua mpeperusha bendera, Kikwete alikuja na jina la Magufuli mfukoni, na alipopitishwa . Naye Magufuli akamtaka Hussein Mwinyi awe mgombea wake mwenza, Kikwete akasema hebu tumpe Katibu mkuu wa chama fursa ya mawazo yake, Ndipo Comrade Abdulrahman kinana alipolileta jina la Mama Samia Suluh na kusema ni kiongozi bora kutoka kisiwani, na ni wakati muafaka kuwa na Mgombea mwenza wa kike.

Katika uchaguzi wa 2020 Magufuli alitaka kumbadilisha lakini akashauriwa kuwa akifanya hivyo kitakigharimu chama vibaya sana na Dunia itamshangaa.
Kama ilivyo kwa mgombea urais ccm hachaguliwi na chama Bali Dola ndivyo ilivyo kwa mgombea mwenza hachaguliwi na mgombea Bali dola
 
Mwendazake hakukosea alimpoteua kwa mara ya pili kuwa mgombea mwenza

Amethibitisha uwezo wake akiwa Makamo wa Rais

Amethibitisha uwezo wake akiwa Rais wa Jamhuri Muungano wa Tanzania

Ni kiongozi Mchapakazi Sana
Ni Kiongozi makini sana kwenye kufanya maamuzi
Ni Kiongozi mwenye Maono
Ni Kiongozi aliye tayari kupokea maoni mbalimbali lakini aliye huru kufanya maamuzi sahihi kwa maslahi ya nchi
Ni Kiongozi anayetekeleza kwa wakati kile alichoahidi au kukisemea
Ni Kiongozi mfuatiliaji was kina wa maagizo aliyotoa
Ni Kiongozi mwenye hekima ya Hali ya juu

Amethibitisha ubora na uimara wake na Watanzania wote tu mashahidi

KaziIendelee
Mama ni mwanafunzi bora kutokea ameishi kwa awamu nyingi akijifunza...!!!
 
Mama ameikomboa nchi ilikua inspotelea shimoni!!!
1)Mama anafuta ukabila
2)Mama analeta ajira
3)Mama kapandisha watu madaraja au vyeo ambavyo mtangulizi wake alushindwa
4)Mama amesafisha jiji kipindupindu kilikua around the corner !!! Uchafu ulitamalaki
5)Mama amefungua mipaka biashara zinamiminika
6)Mafadhili wanamwaga pesa
Mama ameleta faraja anaongea kibinadamu
Sheria zinafata mkondo !!viongozi 7)waliokua miungu watu na kusifiwa na Magu sasa wapo jela
8)Mama kanunua site scan hosp ital zote sio wakati ule kila kitu chato
9)Mama ameenda UN akatoa speech kwa lugha ya malikia mama anajua ung'eng'e
10)kiukweli sasa nchi imekua nchi sio Mali ya MTU tena
Zile kauli za mniombee
Nchi hii ilichezewa sana hatuzisikii
11) mama ameleta usawa hakuna vyeo kupewa ukanda mmoja!!!
12) mama anashuhulikia wazembe japo wanalalamika kuwa wanaonewa kwasababu ya ukabika !!!
Mama hoyeeeeeeeeee
Viongozi 7 waliokuwa miungu watu na sasa wapo jela!

Ni kina nani hao?
 
Waswahili Wana kamsemo: mnyonge mnyongeni, HAKI yake mpeni. Mama Samia Suluhu apongezwe kwa Miradi inavyoendelea kama ilivyoachwa na mtangulizi wake.

Nafurahia kuona barabara za Mwendokasi zinavyoendelea kujengwa kwa kasi nzuri, flyovers n. k.

NAWAS
Waswahili Wana kamsemo: mnyonge mnyongeni, HAKI yake mpeni. Mama Samia Suluhu apongezwe kwa Miradi inavyoendelea kama ilivyoachwa na mtangulizi wake.

Nafurahia kuona barabara za Mwendokasi zinavyoendelea kujengwa kwa kasi nzuri, flyovers n. k.

NAWAS
Tukutane 2025 utjua hujui
 
Ajira safi
Barabara Safi
Mikopo ya Elimu Safi
Afya Safi
Mapato Safi
Utalii Safi
Usalama Safi
Network Safi
Mfumko wa bei Safi
Mafuta Safi
Maji Safi
Umeme Safi
Nidhamu Safi
Fedha za kigeni Safi

Mungu aendelee kukuongoza Kwa kadri anavyotaka utupeleke kwenye Nchi ya Ahadi
 
Sitaki kuongea mengi lakini Mheshimiwa Rais Samia unaendelea kudhihirisha kuwa uongozi siyo ubabe wala kupiga piga kelele hovyo!

Leo nimetembea jiji la Mwanza nimeona maarifa yako, jiji la Mwanza limeanza kupumua!
Watanzania lazima tukubali kuishi kwa utaratibu na umasikini isiwe kisingizio cha watu kuishi kama mifugo.

Wamachinga lazima wapangwe, hatuwezi kuishi kama mifugo!

Hongera sana Mama na tuko nyuma yako.

KAZI IENDELEE .
 
IMG-20211025-WA0136.jpg
 
Back
Top Bottom