beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Akishiriki Tamasha la Utamaduni lililofanyika leo Januari 22, 2022 Mkoani Kilimanjaro Rais Salia Suluhu Hassan ameeleza, "Kumekuwa na maneno mengi ndani ya Tanzania kuhusu Serikali na Uchifu. Tumeamua kuwa na jukwaa la pamoja baina ya Serikali, Machifu na Wazee wa Kimila ili kuhifadhi Mila na Desturi zetu"
Aidha, amesema Wizara ya Mambo na Nje na Wizara ya Utalii zinaendelea na majadiliano ya urejeshwaji wa Mafuvu ya Machifu yaliyochukuliwa wakati wa ukoloni ili yatumike kwa Utalii na kuelimisha Jamii
Chifu Mkuu wa Kabila la Kichaga Chifu Mareale akimkabidhi Ngao na Mshale Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan, kama ishara ya kumkaribisha rasmi kwenye kabila hilo wakati wa Uzinduzi wa Tamasha la kwanza la Utamaduni wa Mkoa wa Kilimanjaro lililozinduliwa leo tarehe 22 Januari, 2022.
Aidha, amesema Wizara ya Mambo na Nje na Wizara ya Utalii zinaendelea na majadiliano ya urejeshwaji wa Mafuvu ya Machifu yaliyochukuliwa wakati wa ukoloni ili yatumike kwa Utalii na kuelimisha Jamii
Chifu Mkuu wa Kabila la Kichaga Chifu Mareale akimkabidhi Ngao na Mshale Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan, kama ishara ya kumkaribisha rasmi kwenye kabila hilo wakati wa Uzinduzi wa Tamasha la kwanza la Utamaduni wa Mkoa wa Kilimanjaro lililozinduliwa leo tarehe 22 Januari, 2022.