kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,105
- 14,448
Siyo kucheka n wazo zuri sana hilo
Wangeona wamemdhalau
Siyo kucheka n wazo zuri sana hilo
Hii nchi bado ina watu wapumbaf sana aisee!, ndio hao waliokuwa wakishangilia akina Rugemalila na wezi wengine wakiliibia Taifa hili na Magu alipokuja kuwasweka ndani, walimuandama wakidai Rais ana roho mbaya, sijui anachukia watu wenye mafanikio!Kwahiyo wewe unaona heri kumpa alienacho na kumnyima asie nacho. Aliekuwa anawapa wanyonge leo anaonekana ni mshamba.
Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
Watanzania hatujui tunataka nini...Hii nchi bado ina watu wapumbaf sana aisee!, ndio hao waliokuwa wakishangilia akina Rugemalila na wezi wengine wakiliibia Taifa hili na Magu alipokuja kuwasweka ndani, walimuandama wakidai Rais ana roho mbaya, sijui anachukia watu wenye mafanikio!
Haliwezi kuwa na tija kwa upande wako kwakuwa pengine hukupata fulsa hiyo, wacha roho ya ubinafsi.Mkuu, hilo la kugawa pesa halikuwa na tija yoyote, zaidi ya kiki tu ....
Wanasema akina nani?wacha kuleta habari za udaku huku,kama JPM alikuwa amejobonafsisha sasa amelipata vp?Naona wanasema hayo mabenz 20 tulipewa na mfalme wa Morocco Kama zawadi kuipigania Morocco irudishweAU. Lakini mwendazake akajibinafshia
Inasikitisha sana jinsi CCM wanavyoendesha nchi hii ndio maana hawataki mabadiliko ya katiba, tuamke watz.Wakati tukiona mamilioni ya kodi zetu yakitumika kuwanunulia wastaaafu magari ya kifahari, maabilion yakiwajengea mahekalu, tupo pia sisi tuliotoa huduma kwa serikali yenu hatujalipwa kwa mda mrefu mpaka wengine tumefilisika.
Tunakuomba, japo ni haki yetu, tuangalie kwa jicho la kimama katika ufalme wako. Wanasiasa muache tabia ya kujiona kuwa nyie mna haki kuliko wengine, kumbuka machozi ya wanyonge yana athari nyingi
Kubana matumizi. Kuwekeza vijijini kwenye barabara, umeme na maji. Nchi hii haitaendeleakama mjini peke yake ndio kuna maendeleo. Leo hii tumeweza kwa asilimia 100 kula chakula chetu, sababu vijijini wanazalisha.Juzi amesema uchumi wetu umeshuka kutokana na Janga la Corona, binafsi nilitegemea serikali ingejikita katika matumizi ya Msingi tu kuliko Matumizi ya anasa ya namna hii yasiyo na tija wala manufaa kwa nchi hii.
Muacheni mama afanye kazi na muacheni mzee Mwinyi apumzike, ameitumikia nchi hii kwa uaminifu mkubwa, tumuache apumzike na apate stahiki zake. Mama ametenda sawasawa na hata ningekuwa mimi nisingevumilia kumuona mtu aliyelitumikia taifa hili kwa juhudi na nguvu kubwa akitaabika na mambo madogomadogo kama hayo nikakaa kimya, lazima ningefanya jambo. Tujifunze kuwaenzi viongozi wetu ili hawa waliopo madarakani wakati huu walitumikie taifa kwa uzalendo uliotukuka wakiwa na imani tutatambua mchango wao baada ya uongozi.Ameshaanza na yeye kulewa madaraka. Kuna ulazima gani wa kumnunulia mzee mstaafu gari la mamilioni yote hayo ya shilingi na huku kuna changamoto lukuki kwa Watanzania maskini?
Yaani milioni 450 kirahisi tu!! Kuna ulazima wa kuiondoa CCM madarakani. Haya mambo ya kuchezea kodi zetu miaka nenda, yanachosha.
Uharibifu wa pesa ukimhusu basha wako unatukana wengine eti!Vipi yule mshamba wenu alikuwa akipita barabarani akigawa kodi za wananchi kama pipi huku mkimpongeza?
Mpongezeni na huyu
Mbona unaongea kama vile umekalia kitu chenye ncha kali wewe bamedi?Uharibifu wa pesa ukimhusu basha wako unatukana wengine eti!
Hiyo mbona ni ajira kwa waliosoma? Au hujui. Anything not right? Maybe!Mbona unaongea kama vile umekalia kitu chenye ncha kali wewe bamedi?
Sawa mkuu... Endelea kukalia vitu vyenye ncha kaliHiyo mbona ni ajira kwa waliosoma? Au hujui. Anything not right? Maybe!
Hakutumwa na CCM,Wa kuwalaumu ni CCM
Chezea baba mzazi wewe450 Millions Tsh.
Liko wapi hilo benzi?
Thamani yake wewe umeipataje?