Nzie ya Mana
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 1,535
- 1,722
Ni upumbavu mkubwa Sana. Ccm ni mapumbavu makubwa Sana!Nchi ina maajabu sana hii! Makosa ya 2015 bado yanaendelea tu kututesa kama Taifa! Mama ana miezi miwili tu, lakini ameshaanza kulewa madaraka kwa kasi ya ajabu! Sijui mpaka ifike 2025, itakuwaje!!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app