Rais Samia, safari za nje ziambatane na hotuba zenye mvuto. Hongera Mama wa Barbados, umetikisa kikao

Sio kwamba IQ yake yake itaendana na idadi ya watu unaowaongoza??, the more the population #, the more the IQ and vise versaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† up to infinite!!
......kwamba challenges kwenye nchi yenye idadi kubwa ya watu ni nyingi sana na challenging sana compared na kainchi kenye idadi ndogo ya watu!!πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Sio kwamba IQ yake yake itaendana na idadi ya watu unaowaongoza??, the more the population #, the more the IQ and vise versaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† up to infinite!!
Leo tumepata kipigo cha DRC? Jilinganishe kisiasa na DRC. Population ain't signify anything if quality of leadership is to be discussed. This case our president is marred by her ushamba, ubwege, elimu ndogo poor thinking, wrong friends and all these funny words describing an imperfect person.
 
Leo tumepata kipigo cha DRC? Jilinganishe kisiasa na DRC. Population ain't signify anything if quality of leadership is to be discussed. This case our president is marred by her ushamba, ubwege, elimu ndogo poor thinking, wrong friends and all these funny words describing an imperfect person.
this one is too much! Really!
 
Hapo ndio uwezo wa mama yetu unaishia. Ni vema umeweka hotuba ya huyo kiongozi wa barbado kulinganisha. Mama yetu jukumu lake atuvushe hadi 2025 tuweze pata magufuli mpya. Mambo mengi ya kimataifa including ubeberu mama hana uelewa. Tumsadie kuhakikisha watu wema na weledi wanamzunguka maana fisadi wasije mshika.
Chezea elimu ya hapa na pale wewe!! Janjajanja nyingiiii

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom