Rais Samia S. Hassan, hili la kuwa nalo makini

hakika umesema kweli tupu Baba jay'rose ,pia kwa kuongezea ingependeza hata kama kuna ulazima wa kutengua bora nafasi ikae wazi kwa muda hadi atakapojiridhisha mtu sahihi wakucover na pia kwa sasa awe makini sana na watu wanaompa ushauri na wanaofanya vetting ya teuzi(ajiridhishe vya kutosha kabla ya kuteua)
 
Isikute kakosea yeye mwenyewe... baada ya lawama kumuondosha... tunapigwa sana nchi hii
 
Kwako Mheshimiwa,

Pole kwa majukumu magumu uliyonayo katika kuhakikisha tunapiga hatua.

Pia nikupongeze kwakuonesha kwamba wewe ni msikivu hasa kwa uteuzi na utenguzi wa kiongozi wa TPDC.

Lengo la ujumbe huu nikukuongozea technique au ushauri katika awamu yako,
Mheshimiwa Rais, nadhani unafahamu kabisa kwamba mpaka sasa unakambi mbili au zaidi zinazovutana wapate nafasi kukushawishi wapate teuzi si kwa maslai ya taifa au kukusaidia bali kwa maslai yao binafsi au kukuangusha.

Mama kwenye suala la teuzi kama kuna watu wanakushauri pokea kwa jicho la tatu ushauri wao, lakini maamuzi makubwa yatokane na dhamira yako ya dhati ya kuisaidia nchi yetu.

Kama Rais mwanamama tunatamani uache alama dhabiti katika uongozi ili wanamama (wanawake) wapate kujivunia hata sisi kama taifa tutembee kifua mbele kua na rais aliyehudumu vipindi vyote kwa mafanikio.

Mtangulizi wako pamoja na changamoto zilizoonekana lakini alijitahidi saana kutokufungwa na uchama akitafuta watu pottential katika nafasi nyeti, hivo kwakua hili ni jema si mbaya ukaliiga ilikuleta tija kwenye uongozi wako.

Tunaimani hakuna hata mmoja aliyekupa hio nafasi zaidi ya Mwenyezi Mungu (Allah) hivyo hauwiwi kumlipa mtu fadhila hapo zaidi ya kufanya HAKI na ADILI kama shukrani kwake.

Asalaam Aleykum.
Tumsifu Yesu kristo.
Mkuu, umeongea kitumishi kabisa, Naamini siku moja ipo ambayo itakuwa ni Kwa ajili yako kukaa na kulisaidia Taifa lako, Mimi Naamini wewe binafsi ukipata nafasi utatenda haki na Kwa ufanisi mkubwa, Wengi ambao akili zao huruhusu ziamue Jambo Kwa kumsikiliza Mungu kwanza bila mihemko ya watu na presha zao, hufanya mkuu mno

Ubarikiwe Kwa Andiko hili mkuu, naamini Raisi wetu ataiona hii ama wasaidizi wake
 
Kwako Mheshimiwa,

Pole kwa majukumu magumu uliyonayo katika kuhakikisha tunapiga hatua.

Pia nikupongeze kwakuonesha kwamba wewe ni msikivu hasa kwa uteuzi na utenguzi wa kiongozi wa TPDC.

Lengo la ujumbe huu nikukuongozea technique au ushauri katika awamu yako,
Mheshimiwa Rais, nadhani unafahamu kabisa kwamba mpaka sasa unakambi mbili au zaidi zinazovutana wapate nafasi kukushawishi wapate teuzi si kwa maslai ya taifa au kukusaidia bali kwa maslai yao binafsi au kukuangusha.

Mama kwenye suala la teuzi kama kuna watu wanakushauri pokea kwa jicho la tatu ushauri wao, lakini maamuzi makubwa yatokane na dhamira yako ya dhati ya kuisaidia nchi yetu.

Kama Rais mwanamama tunatamani uache alama dhabiti katika uongozi ili wanamama (wanawake) wapate kujivunia hata sisi kama taifa tutembee kifua mbele kua na rais aliyehudumu vipindi vyote kwa mafanikio.

Mtangulizi wako pamoja na changamoto zilizoonekana lakini alijitahidi saana kutokufungwa na uchama akitafuta watu pottential katika nafasi nyeti, hivo kwakua hili ni jema si mbaya ukaliiga ilikuleta tija kwenye uongozi wako.

Tunaimani hakuna hata mmoja aliyekupa hio nafasi zaidi ya Mwenyezi Mungu (Allah) hivyo hauwiwi kumlipa mtu fadhila hapo zaidi ya kufanya HAKI na ADILI kama shukrani kwake.

Asalaam Aleykum.
Tumsifu Yesu kristo.
Kama ni mwislamu original kwanza hiyo asallam aleykum sio salaam ya kiislam,ni neno tu lenye maana salaam kwa wote pili huruhusiwi kusema Yesu asifiwe.Waislamu hawamtambui Yesu bali Nabii Issa.Bora uandike maoni yako,mwisho uandike Ahsanteni.Tena usithubutu kuandika neno Shukrani.Binadamu Hashukuriwi kamwe,ila Shukran ni za ALLAH pekee.
 
Mama nafikiri hajajua scope ya madaraka aliyo nayo, anajaribu kuridhisha watu ili asilaumiwe ndo maana siku ya kuteua mawaziri alianza kujihami kwamba hataacha mtu, akajikuta anawarudisha wote na hata kwenye teuzi za jana wengi waliokuwepo wamerudi. Kuna maneno mengine ya kujikosha ambayo hata makamu ameanza nayo kwamba watamuenzi mwendazake, sijui watavaa viatu nk. Statement kama hizo zinaonyesha kutojiamini, ili akishindwa ku-deliver asingizie kwamba alitembea kwenye footsteps za mtu mwingine. Alichotakiwa kufanya ni kuanza ku implement dira ambayo anaona ni sahihi na hata kuanza na timu mpya kabisa. Kila mmoja anajua utawala uliopita uli undermine mambo mengi na hata kuvuruga uchumi na kuishia kuleta maisha magumu kwa wananchi, hakuna nyongeza za mishahara kwa watumishi, kuvurugika kwa masoko ya mazao, kushindwa kutoa ajira kwa vijana, visingizio vikiwa kujenga madaraja, kununua ndege, SGR, stigliza nk. Anatakiwa ajue kwamba akitafuta kuridhisha watu, na kujinasibu kutembea kwenye hatua za mtu hii nchi itazidi kuporomoka na itakuwa ngumu kuirudisha kwenye hali nzuri..
 
hakika umesema kweli tupu Baba jay'rose ,pia kwa kuongezea ingependeza hata kama kuna ulazima wa kutengua bora nafasi ikae wazi kwa muda hadi atakapojiridhisha mtu sahihi wakucover na pia kwa sasa awe makini sana na watu wanaompa ushauri na wanaofanya vetting ya teuzi(ajiridhishe vya kutosha kabla ya kuteua)
kweli aisey ni Bora pakae wazi kwa muda ili apate mtu sahihi
 
Mkuu, umeongea kitumishi kabisa, Naamini siku moja ipo ambayo itakuwa ni Kwa ajili yako kukaa na kulisaidia Taifa lako, Mimi Naamini wewe binafsi ukipata nafasi utatenda haki na Kwa ufanisi mkubwa, Wengi ambao akili zao huruhusu ziamue Jambo Kwa kumsikiliza Mungu kwanza bila mihemko ya watu na presha zao, hufanya mkuu mno

Ubarikiwe Kwa Andiko hili mkuu, naamini Raisi wetu ataiona hii ama wasaidizi wake
nashukuru kwa dua yako, mwenyezi Mungu akufanyie heri na kwako pia.
Hili ni Taifa letu lazima tulipiganie kila mmoja kwa nafasi yake hasa tukimtanguliza Mungu.
 
Kama ni mwislamu original kwanza hiyo asallam aleykum sio salaam ya kiislam,ni neno tu lenye maana salaam kwa wote pili huruhusiwi kusema Yesu asifiwe.Waislamu hawamtambui Yesu bali Nabii Issa.Bora uandike maoni yako,mwisho uandike Ahsanteni.Tena usithubutu kuandika neno Shukrani.Binadamu Hashukuriwi kamwe,ila Shukran ni za ALLAH pekee.
hongera umetumia uhuru wako wakutoa maoni, ila naskitika sijaona mantiki ya hicho ulicho comment.
 
Kwako Mheshimiwa,

Pole kwa majukumu magumu uliyonayo katika kuhakikisha tunapiga hatua.

Pia nikupongeze kwakuonesha kwamba wewe ni msikivu hasa kwa uteuzi na utenguzi wa kiongozi wa TPDC.

Lengo la ujumbe huu nikukuongozea technique au ushauri katika awamu yako,
Mheshimiwa Rais, nadhani unafahamu kabisa kwamba mpaka sasa unakambi mbili au zaidi zinazovutana wapate nafasi kukushawishi wapate teuzi si kwa maslai ya taifa au kukusaidia bali kwa maslai yao binafsi au kukuangusha.

Mama kwenye suala la teuzi kama kuna watu wanakushauri pokea kwa jicho la tatu ushauri wao, lakini maamuzi makubwa yatokane na dhamira yako ya dhati ya kuisaidia nchi yetu.

Kama Rais mwanamama tunatamani uache alama dhabiti katika uongozi ili wanamama (wanawake) wapate kujivunia hata sisi kama taifa tutembee kifua mbele kua na rais aliyehudumu vipindi vyote kwa mafanikio.

Mtangulizi wako pamoja na changamoto zilizoonekana lakini alijitahidi saana kutokufungwa na uchama akitafuta watu pottential katika nafasi nyeti, hivo kwakua hili ni jema si mbaya ukaliiga ilikuleta tija kwenye uongozi wako.

Tunaimani hakuna hata mmoja aliyekupa hio nafasi zaidi ya Mwenyezi Mungu (Allah) hivyo hauwiwi kumlipa mtu fadhila hapo zaidi ya kufanya HAKI na ADILI kama shukrani kwake.

Asalaam Aleykum.
Tumsifu Yesu kristo.
Ushauri mzuri. Aangalie watu potential wa kufanya nae kazi.
 
Mama atulie Kwanza achunguze wanae yupi mlafi na yupi siyo mlafi, yupi mdokozi wa mboga yupi mwizi wa masilesile yupi mzururaji, yupi msikivu na mcha Mungu Hapo ataweze kuchucha Mambo na kutengeneza familia Bora na si bora familia mijizi bado ipo...... nasema MIJIZI BADO IPOOOOOOOOOOOOOOO!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom