21 April 2021
Mhe. Samia Suluhu Hassan leo akutana na wawakilishi wa chama cha wafanyabiashara wa China wanaoendesha biashara zao Tanzania.
Mwakilishi huyo wa chamber hiyo ya wafanyabiashara amebainisha kwa sasa kuna zaidi ya makampuni 800 ya China yanayofanya shughuli zao nchini Tanzania na kuwa wanaridhishwa na mazingira mazuri ya kufanya biashara nchini Tanzania.
Akaongeza mwakilishi wa wafanyabiashara hao kuwa wana mpango wa kuanzisha eneo maalum la kibiashara nchini Tanzania ambapo viwanda vyao watazalisha bidhaa mbalimbali kama za mawasiliano kama simu, madawa n.k
Source : Global TV online
N.B
Kariakoo jijini Dar es Salaam Tanzania, kuibuka tena kama kitovu cha biashara kanda ya maziwa makuu na kusini mwa Afrika
Kasi hii ya kuvutia na kuwapa imani wafanyabishara inaungwa mkono tangu awamu ya Jakaya Kikwete na sasa awamu ya Mh. Samia Suluhu Hassan inazidi kuunga mkono sera hiyo kushirikiana na wadau wa maendeleo.
RAIS SAMIA AKUTANA NA VIONGOZI WA JUMUIYA YA WAFANYABIASHARA WA CHINA
Mhe. Samia Suluhu Hassan leo akutana na wawakilishi wa chama cha wafanyabiashara wa China wanaoendesha biashara zao Tanzania.
Mwakilishi huyo wa chamber hiyo ya wafanyabiashara amebainisha kwa sasa kuna zaidi ya makampuni 800 ya China yanayofanya shughuli zao nchini Tanzania na kuwa wanaridhishwa na mazingira mazuri ya kufanya biashara nchini Tanzania.
Akaongeza mwakilishi wa wafanyabiashara hao kuwa wana mpango wa kuanzisha eneo maalum la kibiashara nchini Tanzania ambapo viwanda vyao watazalisha bidhaa mbalimbali kama za mawasiliano kama simu, madawa n.k
Source : Global TV online
N.B
Kariakoo jijini Dar es Salaam Tanzania, kuibuka tena kama kitovu cha biashara kanda ya maziwa makuu na kusini mwa Afrika
. "Kariako is no doubt one of the biggest commercial centres in Tanzania and East Africa at large where many Chinese businesspeople operate.http://tz.china-embassy.org/eng/ddbd/t1123754.htm
Kasi hii ya kuvutia na kuwapa imani wafanyabishara inaungwa mkono tangu awamu ya Jakaya Kikwete na sasa awamu ya Mh. Samia Suluhu Hassan inazidi kuunga mkono sera hiyo kushirikiana na wadau wa maendeleo.
http://tz.china-embassy.org › ddbd
Chamber pledges to ensure high quality products
28 Jan 2014 — The Kariakoo Chinese Chamber of Commerce (KCCC) has promised to adhere to Tanzania's product standards. It says by so doing it will protect the image of the Chinese manufacturers. According to him, the chamber which has more than 200 members will operate ethically and create more jobs for Tanzanians