U-DC ni cheo kikubwa na chenye heshima kwani ndiye mwakilishi wa Rais kwenye eneo husika.
Ndani ya miongo miwili iliyopita tulianza kushuhudia wakiteuliwa watu wa ajabu ajabu na ndiyo maana sasa tunashudia matukio ya ajabu ambayo hayajawahi kushuhudiwa tangu nchi yetu ipate Uhuru.
Hili limesababiswa na teuzi bila kuzingatia haiba na heshima ya cheo hicho kwa vigezo vya mipango-kando, slay queens, play boys nepotism nk na kufanya cheo hicho nyeti sana kupoteza heshima yake.
Enzi za akina Jakaya Mrisho Kikwete, Jenerali Ulimwengu na wengineo wakiwa wakuu wa wilaya, U-DC ulikuwa ni U-DC kweli kweli.
Ushauri wangu ingawa siyo nia yangu kuwamharibia MTU yeyote, niombe miongoni mwa vigezo vya uteuzi wa nafasi hyo, basi ndoa iwe ni kigezo muhimu sana kabla ya uteuzi.
Kuna mtu aliwahi kukosa nafasi kwenye kampuni fulani kubwa pamoja na kuwa na qualification zote, akakosa kwa sababu ya ndoa.
Nawasalimia kwa jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania
Kazi iendeleee.
Ndani ya miongo miwili iliyopita tulianza kushuhudia wakiteuliwa watu wa ajabu ajabu na ndiyo maana sasa tunashudia matukio ya ajabu ambayo hayajawahi kushuhudiwa tangu nchi yetu ipate Uhuru.
Hili limesababiswa na teuzi bila kuzingatia haiba na heshima ya cheo hicho kwa vigezo vya mipango-kando, slay queens, play boys nepotism nk na kufanya cheo hicho nyeti sana kupoteza heshima yake.
Enzi za akina Jakaya Mrisho Kikwete, Jenerali Ulimwengu na wengineo wakiwa wakuu wa wilaya, U-DC ulikuwa ni U-DC kweli kweli.
Ushauri wangu ingawa siyo nia yangu kuwamharibia MTU yeyote, niombe miongoni mwa vigezo vya uteuzi wa nafasi hyo, basi ndoa iwe ni kigezo muhimu sana kabla ya uteuzi.
Kuna mtu aliwahi kukosa nafasi kwenye kampuni fulani kubwa pamoja na kuwa na qualification zote, akakosa kwa sababu ya ndoa.
Nawasalimia kwa jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania
Kazi iendeleee.