Rais Samia: Pwani wanakata sana miti na kusababisha uhaba wa maji

People don't take actions. Zile pikipiki zinazoingiza mkaa kila siku mbona kama hakuna anayeona?

Tuna makaa ya mawe ambayo yanawe,a kabisa kuwa mbadala wa mkaa wa kuni. Mbona hakuna anayepigia chapuo? Gas inafaa, pengine kwa sasa ni ghali kwa walio wengi. Lazima tutafute solution. Tusisuburi mtu atoke London au New York kwenye mambo ambayo tunaweza kufanya wenyewe
Watakwambia kuchoma makaa ya mawe huleta athari ya hewa ya ukaa.
Hapa EAC, Kiwanda cha kuchakata makaa ya mawe ipo Rwanda. Katika nchi hiyo ni maruku kupikia mkaa. Nishati ya makaa ya mawe iliyochanganywa na udongo wa mfinyanzi kwa ustadi mkubwa hutumika hadi vijijini. Rwanda inachukua nishati hiyohiyo hapo Kiwira. Sisi tunahangaika na Taifa gas. Tuna matatizo gani lakini?!
Wiki hii nipo Babati mjini, malori kutoka Kenya yanakatiza hapa mamia kwa mania yakielekea Kiwira kusafirisha makaa ya mawe kwenda Kenya. Sijui kule wanafanyia nini; domestic or industrial use? Sisi mbona hatusikii issue ya makaa ya mawe yakiongelewa hata Bungeni. Hatuna shida nayo? Tuendelee kulialia ukataji miti?
 


Kinachoendelea huko Morogoro kwenye main source ya maji ya mto ruvu.

Issue ni competence

Huko kwenye mabwawa ya umeme hayo hayo uzembe. Sio muda mrefu nyuma kulikuwa na mvua na mabwawa watalaalamu wanataueleza yakijaa maji yanaweza kuzalisha umeme kwa miezi 3/4 bila ya tone la mvua kunyesha.

Sasa what happened leo hakuna maji ya kufulia umeme. Ingekuwa waingereza sasa hivi ungesikia inquiry on what went wrong.

Kuna kitu hakiko sawa serikalini
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Aeleweshwe vizuri chanzo cha mto Ruvu, yaani umeanzia wapi hadi kufika na kupita kuelekea bahari ya Hindi. Sijui kwa nini wanasiasa wanasahau vitu au mambo waliojifunza na kusoma toka elimu ya msingi hadi chuo kikuu!
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Rais Samia amesema shida ya maji inayoendelea katika Mkoa wa Dar es salaam imesababisha na athari za kimazingira ikiwemo kukata miti.

Amesema mkoa wa Pwani unaongoza kwa kukata miti iliyoko kando ya mto Ruvu unaoleta maji Mikoa ya Dar es Salaam na hivyo wanasababisha uhaba wa maji.

Rais ameyasema hayo katika ufunguzi wa kongamano la kitaifa la nishati safi ya kupikia
Wataachaje kukata na huo ndio Mkoa umetengwa kwa ajili ya viwanda na kulisha Dar?

Serikali iache visingizio visivyo na msingi bali itenge maeneo ya misitu na maeneo ya uendelezaji..

Pia itie nguvu kwenye matumizi ya Nishati safi ya kupikia kama Mkaa mbadala na gas.
 
Watakwambia kuchoma makaa ya mawe huleta athari ya hewa ya ukaa.
Hapa EAC, Kiwanda cha kuchakata makaa ya mawe ipo Rwanda. Katika nchi hiyo ni maruku kupikia mkaa. Nishati ya makaa ya mawe iliyochanganywa na udongo wa mfinyanzi kwa ustadi mkubwa hutumika hadi vijijini. Rwanda inachukua nishati hiyohiyo hapo Kiwira. Sisi tunahangaika na Taifa gas. Tuna matatizo gani lakini?!
Wiki hii nipo Babati mjini, malori kutoka Kenya yanakatiza hapa mamia kwa mania yakielekea Kiwira kusafirisha makaa ya mawe kwenda Kenya. Sijui kule wanafanyia nini; domestic or industrial use? Sisi mbona hatusikii issue ya makaa ya mawe yakiongelewa hata Bungeni. Hatuna shida nayo? Tuendelee kulialia ukataji miti?
Without vision, people perish....sio mimi nilisema hayo
 
Rais Samia amesema shida ya maji inayoendelea katika Mkoa wa Dar es salaam imesababisha na athari za kimazingira ikiwemo kukata miti.

Amesema mkoa wa Pwani unaongoza kwa kukata miti iliyoko kando ya mto Ruvu unaoleta maji Mikoa ya Dar es Salaam na hivyo wanasababisha uhaba wa maji.

Rais ameyasema hayo katika ufunguzi wa kongamano la kitaifa la nishati safi ya kupikia
Sis wana Dar tunataka maji

Mambo ya kubana Miti unatuhusu nini

Serikali ni taasisi na ina wasimamizi wengi tuu NEMC ,TFS na wengine wengi

Sasa hao walikuwa wapi akati miti inakatwa

We need water and not cutting trees story
 
Back
Top Bottom