Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,174
- 27,219
Rais wetu mama Samia pole kwa majukumu.
Leo nimekusikia ukisema chanzo cha mgao wa maji hapa Dar ni ukame uliopo mto Ruvu na sababu ni watu kuharibu mazingira. Naomba nikubaliane na wewe kwenye hili, lakini.
Nakuomba uongee vizuri na Waziri Aweso kwa maana sababu inaweza ikawa zaidi ya hiyo. Kuna Mikoa inategemea maji ya ziwa Victoria, lakini nayo kuna mgao mkali sawa na Dar. Huko sababu ametoa zipi?
Bado nina swali kwa waziri Aweso, Ziwa Victoria kina kimepungua? Ziwa limekauka? Nini ni nini na kipi ni kipi??
Tumsaidie Rais ndugu waheshimiwa, tunamtia lawama tu kwa wananchi.
Leo nimekusikia ukisema chanzo cha mgao wa maji hapa Dar ni ukame uliopo mto Ruvu na sababu ni watu kuharibu mazingira. Naomba nikubaliane na wewe kwenye hili, lakini.
Nakuomba uongee vizuri na Waziri Aweso kwa maana sababu inaweza ikawa zaidi ya hiyo. Kuna Mikoa inategemea maji ya ziwa Victoria, lakini nayo kuna mgao mkali sawa na Dar. Huko sababu ametoa zipi?
Bado nina swali kwa waziri Aweso, Ziwa Victoria kina kimepungua? Ziwa limekauka? Nini ni nini na kipi ni kipi??
Tumsaidie Rais ndugu waheshimiwa, tunamtia lawama tu kwa wananchi.