Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,689
- 225,329
Mkuu naomba kuuliza tafsiri ya hilo jina Chief H.Chief H bhana, kila jambo Na kila tope anataka kuaminisha kuwa yamesababishwa Na mwanaChato
Mkuu naomba kuuliza tafsiri ya hilo jina Chief H.Chief H bhana, kila jambo Na kila tope anataka kuaminisha kuwa yamesababishwa Na mwanaChato
Mama alikuwa hana say mbele ya fisadi mkuu aliyeitia Nchi hasara ya kutisha.Unajua majukumu ya makamu wa rais?
Kama anajitoa awamu ya tano,ajitoa na kwenye hiyo miradi yote inayoendelea ili tujue yeye ni malaika na hahusiki.
Makamu wa rais wa Magufuli alikuwa nani?Magufuli alikuwa fisadi lao nkuu wa mafisango na vijibwa vyake.
Mama kama yuko na Wananchi kwa nini asijiunge na Chama cha Wananchi CUF.
Atamuke waziwazi kuwa yeye na Jabali la Afrika ni tofauti,ili tumsubiri 2025 Kama hatarudi Kojani asubuhi tu.Mama alikuwa hana say mbele ya fisadi mkuu aliyeitia Nchi hasara ya kutisha.
Msema kweli mpenzi wa Mungu mimi niko na Samia,nimemuomba atupe time frame ya kuanza mchakato wa Katiba mpya ya Wananchi wa TanzaniaJPM ndo kaifanya CCM ikubalike,Hawa wengine wajaribu tu kujitenga waone
Shukrani kwa kutufahamisha.Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuna makundi ndani ya serikali ambayo wanafanya wanayoyajua na kulaumu kuwa ufisadi umerudi awamu ya sita wakati wao ndio wako hovyo
Amesema mambo ya hovyo hayajafanyika hawamu ya sita yamefanyika huko nyuma na gari bovu wanaliangushia awamu ya sita, jambo ambalo hatokubali
Rais amesema hatakubali jambo hilo kwa kuwa ameapa kusimamia za wananchi na atasimama na wananchi
Hii kesi mbona ilianza toka mwaka janakubambikia wapinzani kesi za uongo ni kusimama na shetani.
Hata mi naona reshuffle inakuja siku yoyoteMama muda sio mrefu analivua koti la awamu ya tano maana shagundua lina matundu mengi...Mama hujachelewa lipige kiberiti halifai hiloo.
Halafu anategemea miujizaKuna mtu amewarudisha mjini waliotupwa nje kwa ufisadi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mzee wa Msoga na EL mmemsikia amiri jeshi mkuu?Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuna makundi ndani ya serikali ambayo wanafanya wanayoyajua na kulaumu kuwa ufisadi umerudi awamu ya sita wakati wao ndio wako hovyo
Amesema mambo ya hovyo hayajafanyika hawamu ya sita yamefanyika huko nyuma na gari bovu wanaliangushia awamu ya sita, jambo ambalo hatokubali
Rais amesema hatakubali jambo hilo kwa kuwa ameapa kusimamia za wananchi na atasimama na wananchi
Kwa nini huwa mnayapa madaraka?Ni Chama Cha Majangili, Majizi, Mafisadi, Maongo, Matapeli, Maonevu, Mabamkikaji kesi, Mazushi, Malaghai……..
Mama kakuta wat uwanaiba mafuta sasa anachofanya ni kuwalinda badala ya kuwapeleka mahakamani sasa hapo nani anatetea wezi ?Mama amekuta uozo mkubwa ambao chanzo chake Ni awamu ya Tano,
Kwaiyo ana kazi kubwa yakuondoa huo uozo, nakutimua mabaki yote ya awamu iliyopita ambao wanamkwamisha kwa namna moja au nyingine
Yeye hakuwa awamu ya tano?,kama haukuridhika na utendaji wa awamu ya tano mbona hakujiuzulu?Mama amekuta uozo mkubwa ambao chanzo chake Ni awamu ya Tano,
Kwaiyo ana kazi kubwa yakuondoa huo uozo, nakutimua mabaki yote ya awamu iliyopita ambao wanamkwamisha kwa namna moja au nyingine
Makamba anatuhumiwa kufanya nini...weka wazi, sio unalialia ujinga tu hapa!Aliyemrudisha makamba ni nani mtu anayetuhumiwa kuww na vitendo visivyokuwa vya kiuaminifu unnazaje kumpa wizara mhimu .makamba ndo akawarudisha akina sinare family wahujumi wa tenesco
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes kwa hili la wizi wa mali ya umma na kudhulumu wananchi kwa kutumia ofisi hizo, nakuunga mkono asilimia 100 Mama. Waweke ndani. Usiwaonee haya. Hata wawe kina nani.Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuna makundi ndani ya serikali ambayo wanafanya wanayoyajua na kulaumu kuwa ufisadi umerudi awamu ya sita wakati wao ndio wako hovyo
Amesema mambo ya hovyo hayajafanyika hawamu ya sita yamefanyika huko nyuma na gari bovu wanaliangushia awamu ya sita, jambo ambalo hatokubali
Rais amesema hatakubali jambo hilo kwa kuwa ameapa kusimamia za wananchi na atasimama na wananchi