tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,672
- 19,187
Labda wawekezaji wa mchongo kutoka nungwi,ccm awamu ya 5 ni bongo movie mpka wao wanajiogopaRais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, "Kama nimekubali kubeba mzigo wa kuongoza hii Nchi, kuna mambo kadhaa yaliyoelekezwa ndani ya Ilani niyatimize. Sitayatimiza kwa kukaa Ofisini Dodoma au hapo Magogoni, lazima nizunguke nitoke nikaonane na watu"
Ameeleza hayo leo katika Uzinduzi wa Kiwanda cha Elsewedy Electric East Africa Limited kilichopo Kisarawe II, Wilaya ya Kigamboni
Amesisitiza kuungwa Mkono katika kuwakaribisha Wawekezaji zaidi hapa Nchini ili Ajira zipatikane na Uchumi ukue
View attachment 2034864
View attachment 2034865
View attachment 2034866