#COVID19 Rais Samia: Nimeona Afisa Afya Tunduru akipita nyumba kwa nyumba kuchanja, suala hili lisifanyike kwa mabavu

Samia amesema anaunga mkono chanjo ya nyumba kwa nyumba inayopendekezwa na mkuu wa mkoa wa mbeya.

Swali hizo cost zinazotumika kulazimisha watu wachanjwe zinatoka wapi? Kwanini pesa zisielekezwe kwenye mambo mengine ya msingi.

Mama wanaomshauri wanamponza Sana.

---
Rais Samia Suluhu, amemzungumzia mhudumu wa afya anayepita nyumba kwa nyumba kuchanja chanjo ya Uviko-19, akionya kampeni hiyo isitumiwe vibaya katika kuwalazimisha watu kuchanja.

Jana katika mitandao ya jamii, kulisambaa habari na picha ikimuonyesha Ofisa wa Afya wilayani Tunduru Mkoa wa Ruvuma akipita nyumba kwa nyumba kuwachanja chanjo ya Uviko 19 watu zaidi ya 160 kwa siku moja.

Akizungumzia leo Septemba 27, 2021 katika mkutano mkuu maalum wa uchaguzi viongozi wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) ngazi ya Taifa unaofanyika mkoani Dodoma hilo, Rais Samia amesema asingependa kuona suala hilo likifanyika kwa mabavu kwa kuwalazimisha watu kuchanja.

Amesema kati ya mambo ambayo angependa ALAT kulishughulikiwa kwa kasi kubwa ni suala la mapambano dhidi ya ugonjwa wa Uviko 19 ikiwemo utoaji elimu.

“Juzi na jana nilivyoingia nchini nimekuta hii agenda ya watu kupita nyumba kwa nyumba na mikoba ya sindano kuchoma watu.

“Tulisema hili jambo ni la hiari, ukipita nyumba kwa nyumba anayetaka mchome, asiyetaka usichome, lakini kubwa nalotaka kusema mtu hana mamlaka ya kukubali au kukataa kama anayo elimu.

“Kwani kama ana elimu yakutosha hawezi kukataa, lakini hana elimu unapita tu na mkoba wako unamwambia nikuchome nisikuchome, atakuambia usinichome,” amesema Rais.

Amewataka wahudumu wa afya kutoa elimu ya afya kwa wingi ili wananchi waone umuhimu wa kuchanja.

“Asipoona hilo hawezi kuona uchungu wa hili suala, nendeni kafanyeni kampeni kubwa watu wakubali kuchanja msiende kufanya kwa mabavu. Tupunguze vifo vinavyotokana na ugonjwa,” amesema.

Aidha amesema ndani ya nchi yetu kuna matatizo makubwa matatu na hili la uviko limejitokeza ni la nne.

Ametaja magonjwa mengine kuwa ni TB, HIV na malaria na kueleza kuwa yameshughulikiwa kwa kiasi kikubwa na kuagiza janga la Uviko-19 lishughulikiwe na watu wapate kinga.

Chanzo: Mwananchi

Samia amesema anaunga mkono chanjo ya nyumba kwa nyumba inayopendekezwa na mkuu wa mkoa wa mbeya.

Swali hizo cost zinazotumika kulazimisha watu wachanjwe zinatoka wapi? Kwanini pesa zisielekezwe kwenye mambo mengine ya msingi.

Mama wanaomshauri wanamponza Sana.

---
Rais Samia Suluhu, amemzungumzia mhudumu wa afya anayepita nyumba kwa nyumba kuchanja chanjo ya Uviko-19, akionya kampeni hiyo isitumiwe vibaya katika kuwalazimisha watu kuchanja.

Jana katika mitandao ya jamii, kulisambaa habari na picha ikimuonyesha Ofisa wa Afya wilayani Tunduru Mkoa wa Ruvuma akipita nyumba kwa nyumba kuwachanja chanjo ya Uviko 19 watu zaidi ya 160 kwa siku moja.

Akizungumzia leo Septemba 27, 2021 katika mkutano mkuu maalum wa uchaguzi viongozi wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) ngazi ya Taifa unaofanyika mkoani Dodoma hilo, Rais Samia amesema asingependa kuona suala hilo likifanyika kwa mabavu kwa kuwalazimisha watu kuchanja.

Amesema kati ya mambo ambayo angependa ALAT kulishughulikiwa kwa kasi kubwa ni suala la mapambano dhidi ya ugonjwa wa Uviko 19 ikiwemo utoaji elimu.

“Juzi na jana nilivyoingia nchini nimekuta hii agenda ya watu kupita nyumba kwa nyumba na mikoba ya sindano kuchoma watu.

“Tulisema hili jambo ni la hiari, ukipita nyumba kwa nyumba anayetaka mchome, asiyetaka usichome, lakini kubwa nalotaka kusema mtu hana mamlaka ya kukubali au kukataa kama anayo elimu.

“Kwani kama ana elimu yakutosha hawezi kukataa, lakini hana elimu unapita tu na mkoba wako unamwambia nikuchome nisikuchome, atakuambia usinichome,” amesema Rais.

Amewataka wahudumu wa afya kutoa elimu ya afya kwa wingi ili wananchi waone umuhimu wa kuchanja.

“Asipoona hilo hawezi kuona uchungu wa hili suala, nendeni kafanyeni kampeni kubwa watu wakubali kuchanja msiende kufanya kwa mabavu. Tupunguze vifo vinavyotokana na ugonjwa,” amesema.

Aidha amesema ndani ya nchi yetu kuna matatizo makubwa matatu na hili la uviko limejitokeza ni la nne.

Ametaja magonjwa mengine kuwa ni TB, HIV na malaria na kueleza kuwa yameshughulikiwa kwa kiasi kikubwa na kuagiza janga la Uviko-19 lishughulikiwe na watu wapate kinga.

Chanzo: Mwananchi
mambo ya muhimu yawapayo mlo watu wake hayaoni afu yale yawapayo mlo jamaa wa mbali anayapa mkazo
 
Samia amesema anaunga mkono chanjo ya nyumba kwa nyumba inayopendekezwa na mkuu wa mkoa wa mbeya.

Swali hizo cost zinazotumika kulazimisha watu wachanjwe zinatoka wapi? Kwanini pesa zisielekezwe kwenye mambo mengine ya msingi.

Mama wanaomshauri wanamponza Sana.

---
Rais Samia Suluhu, amemzungumzia mhudumu wa afya anayepita nyumba kwa nyumba kuchanja chanjo ya Uviko-19, akionya kampeni hiyo isitumiwe vibaya katika kuwalazimisha watu kuchanja.

Jana katika mitandao ya jamii, kulisambaa habari na picha ikimuonyesha Ofisa wa Afya wilayani Tunduru Mkoa wa Ruvuma akipita nyumba kwa nyumba kuwachanja chanjo ya Uviko 19 watu zaidi ya 160 kwa siku moja.

Akizungumzia leo Septemba 27, 2021 katika mkutano mkuu maalum wa uchaguzi viongozi wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) ngazi ya Taifa unaofanyika mkoani Dodoma hilo, Rais Samia amesema asingependa kuona suala hilo likifanyika kwa mabavu kwa kuwalazimisha watu kuchanja.

Amesema kati ya mambo ambayo angependa ALAT kulishughulikiwa kwa kasi kubwa ni suala la mapambano dhidi ya ugonjwa wa Uviko 19 ikiwemo utoaji elimu.

“Juzi na jana nilivyoingia nchini nimekuta hii agenda ya watu kupita nyumba kwa nyumba na mikoba ya sindano kuchoma watu.

“Tulisema hili jambo ni la hiari, ukipita nyumba kwa nyumba anayetaka mchome, asiyetaka usichome, lakini kubwa nalotaka kusema mtu hana mamlaka ya kukubali au kukataa kama anayo elimu.

“Kwani kama ana elimu yakutosha hawezi kukataa, lakini hana elimu unapita tu na mkoba wako unamwambia nikuchome nisikuchome, atakuambia usinichome,” amesema Rais.

Amewataka wahudumu wa afya kutoa elimu ya afya kwa wingi ili wananchi waone umuhimu wa kuchanja.

“Asipoona hilo hawezi kuona uchungu wa hili suala, nendeni kafanyeni kampeni kubwa watu wakubali kuchanja msiende kufanya kwa mabavu. Tupunguze vifo vinavyotokana na ugonjwa,” amesema.

Aidha amesema ndani ya nchi yetu kuna matatizo makubwa matatu na hili la uviko limejitokeza ni la nne.

Ametaja magonjwa mengine kuwa ni TB, HIV na malaria na kueleza kuwa yameshughulikiwa kwa kiasi kikubwa na kuagiza janga la Uviko-19 lishughulikiwe na watu wapate kinga.

Chanzo: Mwananchi

Samia amesema anaunga mkono chanjo ya nyumba kwa nyumba inayopendekezwa na mkuu wa mkoa wa mbeya.

Swali hizo cost zinazotumika kulazimisha watu wachanjwe zinatoka wapi? Kwanini pesa zisielekezwe kwenye mambo mengine ya msingi.

Mama wanaomshauri wanamponza Sana.

---
Rais Samia Suluhu, amemzungumzia mhudumu wa afya anayepita nyumba kwa nyumba kuchanja chanjo ya Uviko-19, akionya kampeni hiyo isitumiwe vibaya katika kuwalazimisha watu kuchanja.

Jana katika mitandao ya jamii, kulisambaa habari na picha ikimuonyesha Ofisa wa Afya wilayani Tunduru Mkoa wa Ruvuma akipita nyumba kwa nyumba kuwachanja chanjo ya Uviko 19 watu zaidi ya 160 kwa siku moja.

Akizungumzia leo Septemba 27, 2021 katika mkutano mkuu maalum wa uchaguzi viongozi wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) ngazi ya Taifa unaofanyika mkoani Dodoma hilo, Rais Samia amesema asingependa kuona suala hilo likifanyika kwa mabavu kwa kuwalazimisha watu kuchanja.

Amesema kati ya mambo ambayo angependa ALAT kulishughulikiwa kwa kasi kubwa ni suala la mapambano dhidi ya ugonjwa wa Uviko 19 ikiwemo utoaji elimu.

“Juzi na jana nilivyoingia nchini nimekuta hii agenda ya watu kupita nyumba kwa nyumba na mikoba ya sindano kuchoma watu.

“Tulisema hili jambo ni la hiari, ukipita nyumba kwa nyumba anayetaka mchome, asiyetaka usichome, lakini kubwa nalotaka kusema mtu hana mamlaka ya kukubali au kukataa kama anayo elimu.

“Kwani kama ana elimu yakutosha hawezi kukataa, lakini hana elimu unapita tu na mkoba wako unamwambia nikuchome nisikuchome, atakuambia usinichome,” amesema Rais.

Amewataka wahudumu wa afya kutoa elimu ya afya kwa wingi ili wananchi waone umuhimu wa kuchanja.

“Asipoona hilo hawezi kuona uchungu wa hili suala, nendeni kafanyeni kampeni kubwa watu wakubali kuchanja msiende kufanya kwa mabavu. Tupunguze vifo vinavyotokana na ugonjwa,” amesema.

Aidha amesema ndani ya nchi yetu kuna matatizo makubwa matatu na hili la uviko limejitokeza ni la nne.

Ametaja magonjwa mengine kuwa ni TB, HIV na malaria na kueleza kuwa yameshughulikiwa kwa kiasi kikubwa na kuagiza janga la Uviko-19 lishughulikiwe na watu wapate kinga.

Chanzo: Mwananchi
mambo ya muhimu yawapayo mlo watu wake hayaoni afu yale yawapayo mlo jamaa wa mbali anayapa mkazo
 
Ila isije kuwa nyuma ya pazia anawaagiza kulazimisha halafu akiwa hadharani anajikosha kwa kusema msiwalazimishe watu! Mungu anawaona!! Hakuna tiba ya kulazimishana!! Elimu wengu tunayo na hatuhitaji chanjo!! Kwa nini wengi hawahitaji chanjo? Ni kwa sababu watu wengi waliambukizwa bila kujua na wakapona bila kujua kwa hiyo watu wengi wana kinga ya asili iliyo bora zaidi!!
USHAURI: Tusijiingize kwenye madeni kwa kugharimia tatizo la kubambikizwa ambalo siyo halisi!! Hatuna shida ya corona kihivyo!! Ndiyo maana watu wanawashangaa mnapokazania kitu ambacho si halisi!! Hata hivyo wazungu waliochanja chanjo 2 wanaendelea kuambukizwa, kuambukiza, kuugua na kufa na wameshaambiwa chanjo 2 hazitoshi! Je sisi ambao hata kuchanja chanjo 1 kwa kila mtanzania haiwezekani, si tunapoteza pesa na kuingia kwenye madeni ya muda mrefu bure? Hata tukifanikiwa kuwachanja watu wote chanjo 1 bado mabeberu watakuambia haitoshi!! Watakulazimisha ukope ili uchanje ya pili!! Kwa hiyo tunajiuza sisi na vizazi vyetu yote kuwa watumwa wa kufanya kazi miaka nenda rudi ili kulipa madeni yasiyokuwa na kichwa wala miguu!!
 
mi nafkiri gwajima ndio akamwe kwa nguvu zote achomwe, amekuwa akipinga pinga sana
 
Nani kasema anapita kulazimisha! anapita nyumba kwa nyumba kuelimisha na kufikisha chanjo kwa watu. Huyu anatakiwa kupongezwa kwa kuokoa maisha wa watu vijijini sio kumtungia vitu.

Kama mtu anachagua uwezekano wa kufa kwa huu ugojwa huwezi kulazimishwa maana hata ukiumwa malaria ni wewe wa kuamua kunywa dawa lakini haibadilishi ukweli kwamba chanjo ni muhimu.

Lakini kingiwa watu wengi hawajui kuna wanaokufa kwa corona hata hawajui hasa vijijini kwasababu wana magojwa mengine
Wangekuwa na nia ya kuokoa maisha ya watu basi hadi sasa wasingekuwa wanaachia mikusanyiko iendelee, suala la level seat limewashinda na watu wanajazana kwenye madaladala kama hiyo corona si wanaambukizana huko, halafu wao wanaachana hayo wanaenda kujikita kwenye chanjo halafu wewe mkuu unaona hao watu wana malengo ya kuokoa maisha ya watu.
 
Wangekuwa na nia ya kuokoa maisha ya watu basi hadi sasa wasingekuwa wanaachia mikusanyiko iendelee, suala la level seat limewashinda na watu wanajazana kwenye madaladala kama hiyo corona si wanaambukizana huko, halafu wao wanaachana hayo wanaenda kujikita kwenye chanjo halafu wewe mkuu unaona hao watu wana malengo ya kuokoa maisha ya watu.

Serikali inafanya makosa yake lakini wananchi wanatakiwa kujijali wenyewe. Huwezi kutegemea kila kitu hadi afya yako serikali ikujali kuliko wewe mwenyewe kama vile watu ni watoto. Kama elimu haijafika ni kitu kimoja lakini kama umeshaambiwa na unasubiri sheria kila mahali ujue kwamba afya ni yako wewe sio ya traffic wa 👮‍♀️. Ukifa unaacha familia yako wewe
 
Serikali inafanya makosa yake lakini wananchi wanatakiwa kujijali wenyewe. Huwezi kutegemea kila kitu hadi afya yako serikali ikujali kuliko wewe mwenyewe kama vile watu ni watoto. Kama elimu haijafika ni kitu kimoja lakini kama umeshaambiwa na unasubiri sheria kila mahali ujue kwamba afya ni yako wewe sio ya traffic wa 👮‍♀️. Ukifa unaacha familia yako wewe
Point yangu ipo kwenye kusema kuwa et serikali inaokoa maisha ya watu kwa sababu ya hiyo chanjo wakati wameacha watu waambukizane ugonjwa watakavyo.
 
Back
Top Bottom