BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,006
Naam ALIKURUPUKA huo ndiyo ukweli. Inaonyesha jinsi alivyokosa umakini yeye na wapambe wake.
Tuseme alikurupuka, hiyo ziara haikuandaliwa, hivyo vya kuvaa masikioni nilisikia vinasetiwa lugha unayotaka kuisikia wewe,
Tanzania tunafeli wapi? Au ndo huo mpango wa kumdondosha samia.
Vile yule alitamka sululu sikusikia hata editing.
Wabongo mlitoa jina la rais kimakosa au ndo mpango mkakati,
Naongea na nyie kurugenzi ya mawasiliano.