Teleskopu
JF-Expert Member
- May 5, 2017
- 702
- 762
Kwa hiyo tangu hotuba inaandaliwa ilikuwa ya Kiswahili, ila alipofika kule na kubaini mkalimani ajaja ndio aliisoma kwa kiingereza?Rais Samia Suluhu Hassan amesema kiswahili kimekua kiasi cha kuweza kutumika kimataifa hali ambayo ilimfanya atake kuongea kiswahili alipokuwa akihutubia mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa(UNGA)
Hata hivyo amesema katika msafara hawakuwa na mkalimani na hawakujiandaa kwa hilo, hivyo alilazimika kutumia kiingereza.
Amesema Kiswahili imekuwa ni lugha ya biashara kwa kanda ya Afrika Mashariki na SADC. Hata ukienda Ulaya ukimsema mtu kwa Kiswahili ujiangalie maana wanaweza kukujibu kwa kiswahili.