johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,560
Hii kauli imenifikirisha sana Waswahili wana msemo wao " kikulacho ki nguoni mwako"
Wanaweza kukuaminisha Mbowe ndiye tatizo kumbe wana lao jambo binadamu siyo watu kwa kweli.
Leo nimemuelewa sana mh Rais Samia!
Mungu wa mbinguni mbariki Rais Samia.
Wanaweza kukuaminisha Mbowe ndiye tatizo kumbe wana lao jambo binadamu siyo watu kwa kweli.
Leo nimemuelewa sana mh Rais Samia!
Mungu wa mbinguni mbariki Rais Samia.