Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,604
Watanzania tukiacha kupiga "madili" na kuwa wazalendo taifa litasonga mbele .
Sema hujawahi jua nini unahitaji. Usiwaweke watu kwenye kundi moja.Ndio watanzania hao ndugu, hatujawahi kujua ninini tunahitaji.
Majitu ya Chato ni ya hovyo sana.Nimekua napitia nyuzi za Watanzania tangu ujio wa Mama Samia jana hapa nchini Kenya, hamna hata uzi mmoja unaojadili au kudadavua huu ujio kitaalam, kwa minajili ya kuelewa dhamira ya mama kwenye jitihada zake za kuifanya Tanzania iamke tena. Kila Mtanzania analalamika tu, watu wameingiwa na uwoga wa ajabu, yaani yanayojadiliwa yangekua yanaandikwa na wazee wale wa kitambo enzi za ujamaa ningeelewa, ila hawa ni vijana wa kisasa waliosomea UDOM na UDSM elimu ya kisasa ambao nlitegemea watakua wameboreshwa kimtazamo kwenye masuala ya dunia ya leo hii ya utandawazi.
Mama amesema Watanzania watakuja kuwekeza kwa nguvu hapa Kenya....hehehe yaani hawa hawa Watanzania hawa au wengine wataletwa..... hebu soma nyuzi kama hizi.
Kenya yapata upenyo: Tanzania yajisalimisha tena mikononi mwa Kenya
TANZANIA YAJISALIMISHA TENA MIKONONI MWA KENYA Kwa miaka takribani mitano Tanzania imekuwa "mwana mpotevu" baada ya Hayati Rais Magufuli kustukia "faulo" za kibiashara yaani biashara zisizokuwa na mizania sawa baina ya majirani hawa wawili. Ikumbukwe kuwa Kenya ndilo taifa la kiafrika...www.jamiiforums.com
Taqbir!!Watanzania tukiacha kupiga "madili" na kuwa wazalendo taifa litasonga mbele .
Subiri miezi sita. Ihifadhi hii comment. Tanzania ipo na sera zake juu ya Kenya, hazibadiliki. Mtaanza kupiga kelele vilevile tena.Kwa hivyo mama ni Vasco Da Gama wa ziara zisizokua na tija?
Watanzania wengi wamejiajiri kwenye kilimo, uvuvi,ufugaji, utalii, misitu, biashara nkMama anataka muamke na kushindana, muache kuwa waoga waoga na wazembe wa kutupwa, muache kulialia.
Kwanza viwanda vyetu vitaunga kwenye gesi yenu hiyo moja kwa moja, hadi raha, ndio tutazalisha yaani tu basi.
Sio uzalendoSijawahi kuwaamini wakenya hata siku moja, vijamaa vijanja janja sana halafu full uzalendo usitegemee ukafungue biashara kenya halafu mkenya aache biashara za mkenya mwenzie akuungishe mtz! nehi
Wakenya waliumbwa na ibilisi."Mungu hakuumba wakenya,Mungu huyu mwema asingeweza kuumba watu Wezi kama wakenya" hon Robert mugabe
I like this lady so far.... she's seems to be pragmatic. Let's see how things pan out from here
Sijawahi kuwaamini wakenya hata siku moja, vijamaa vijanja janja sana halafu full uzalendo usitegemee ukafungue biashara kenya halafu mkenya aache biashara za mkenya mwenzie akuungishe mtz! nehi