Yesu Kristo si Mungu ,hata kwa imani ya wakristu wanaoijua dini yao kiundani kabisa wanalijua hilo.

Halafu wacha kukufulu ni wapi Mbingu na ardhi zilionyesha kumtii Raisi Samia Suluhu Hasani. wewe utakuwa mshilikina tu ,ndio wenye imani hizo za kichawi.

usishirikishe wakristo ktk upuuzi wako huu,kama huamini hili nawewe ni mkristo una shida sehem.
 
Mimi ni mkristu safi naomba ifahamike hivyo, Nimeokoka na nampenda sana Mungu Baba, Yesu kristu na Roho Mtakatifu,

Mungu wangu ananguvu kuliko nguvu zenyewe, hakuna linaloshindikana katika yeye,

Mungu wangu anataka imani tu na kila kitu kwako kitakuwa ni Ushindi na Pepo ni uhakika,

Uwepo wake huambatana na ishara mbalimbali kama hii ya mvua ghafla,

Mtakumbuka,hivi majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Hospitali ya Rufaa Bugando,

Wakati Mhe Rais akiendelea na hotuba yake alipofikia hatua ya kusema "Tuombe dua kuiombea mvua inyeshe " dakika zilezile mvua ikaanza kunyesha (angalia video).

Mkumbuke kunawatu wameusaka Urais kwa zaidi ya miongo mitatu sasa akiwemo Mhe Edward Ngoyayi Lowassa, Dkt. Slaa, Mhe Bernard Membe,Mhe Freeman Mbowe na wengine wengi.

Pamoja na msako wao huo wa Urais wa JMT lakini hawajawahi kupata Urais hata wa TFF.

Chaajabu, Rais Samia Suluhu Hassan hajawahi kuomba Urais popote lakini Mungu wa Mbinguni akamchagua yeye kirahisi tu,

Swali: Rais Samia Suluhu ni nani hata Mbingu na nchi zinamsikia na kuachilia mvua papo hapo?


|[Mungu wa Elia& Elisha

tunaomba mvua yenye neema tunakutukuza wewe peke yako katika Utatu mtakatifu]|




#SISI NI NANI HATA TUSIKUUNGE MKONO.

Mteule wa Mungu
 
Yesu Kristo si Mungu ,hata kwa imani ya wakristu wanaoijua dini yao kiundani kabisa wanalijua hilo.

Halafu wacha kukufulu ni wapi Mbingu na ardhi zilionyesha kumtii Raisi Samia Suluhu Hasani. wewe utakuwa mshilikina tu ,ndio wenye imani hizo za kichawi.
Wewe na don nalimison mtakua na undugunwa damu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mimi ni mkristu safi naomba ifahamike hivyo, Nimeokoka na nampenda sana Mungu Baba, Yesu kristu na Roho Mtakatifu,

Mungu wangu ananguvu kuliko nguvu zenyewe, hakuna linaloshindikana katika yeye,

Mungu wangu anataka imani tu na kila kitu kwako kitakuwa ni Ushindi na Pepo ni uhakika,

Uwepo wake huambatana na ishara mbalimbali kama hii ya mvua ghafla,

Mtakumbuka,hivi majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Hospitali ya Rufaa Bugando,

Wakati Mhe Rais akiendelea na hotuba yake alipofikia hatua ya kusema "Tuombe dua kuiombea mvua inyeshe " dakika zilezile mvua ikaanza kunyesha (angalia video).

Mkumbuke kunawatu wameusaka Urais kwa zaidi ya miongo mitatu sasa akiwemo Mhe Edward Ngoyayi Lowassa, Dkt. Slaa, Mhe Bernard Membe,Mhe Freeman Mbowe na wengine wengi.

Pamoja na msako wao huo wa Urais wa JMT lakini hawajawahi kupata Urais hata wa TFF.

Chaajabu, Rais Samia Suluhu Hassan hajawahi kuomba Urais popote lakini Mungu wa Mbinguni akamchagua yeye kirahisi tu,

Swali: Rais Samia Suluhu ni nani hata Mbingu na nchi zinamsikia na kuachilia mvua papo hapo?


|[Mungu wa Elia& Elisha
tunaomba mvua yenye neema tunakutukuza wewe peke yako katika Utatu mtakatifu]|





#SISI NI NANI HATA TUSIKUUNGE MKONO.
Bado mtamsifia hata akienda msalani,nuhu aliishia tanzania heri ukose hela sio akili
 
Mimi ni mkristu safi naomba ifahamike hivyo, Nimeokoka na nampenda sana Mungu Baba, Yesu kristu na Roho Mtakatifu,

Mungu wangu ananguvu kuliko nguvu zenyewe, hakuna linaloshindikana katika yeye,

Mungu wangu anataka imani tu na kila kitu kwako kitakuwa ni Ushindi na Pepo ni uhakika,

Uwepo wake huambatana na ishara mbalimbali kama hii ya mvua ghafla,

Mtakumbuka,hivi majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Hospitali ya Rufaa Bugando,

Wakati Mhe Rais akiendelea na hotuba yake alipofikia hatua ya kusema "Tuombe dua kuiombea mvua inyeshe " dakika zilezile mvua ikaanza kunyesha (angalia video).

Mkumbuke kunawatu wameusaka Urais kwa zaidi ya miongo mitatu sasa akiwemo Mhe Edward Ngoyayi Lowassa, Dkt. Slaa, Mhe Bernard Membe,Mhe Freeman Mbowe na wengine wengi.

Pamoja na msako wao huo wa Urais wa JMT lakini hawajawahi kupata Urais hata wa TFF.

Chaajabu, Rais Samia Suluhu Hassan hajawahi kuomba Urais popote lakini Mungu wa Mbinguni akamchagua yeye kirahisi tu,

Swali: Rais Samia Suluhu ni nani hata Mbingu na nchi zinamsikia na kuachilia mvua papo hapo?


|[Mungu wa Elia& Elisha
tunaomba mvua yenye neema tunakutukuza wewe peke yako katika Utatu mtakatifu]|





#SISI NI NANI HATA TUSIKUUNGE MKONO.
Endeleeni Kumpa Utukufu wa Mungu
Mungu Mwenye Wivu atakaposhuka na kumalizana nae Kama Yule mungu wenu wa Chuttle tusilaumiane tukinywa Beer
 
Mvua zimekaribia na zitanyesha nyingi sana nchi nzima kuanzia mwishoni mwa juma hili. Hakuna jipya hapo. CHAWA.
 
Anapigwa mkwara mtabiri wa halk ya hewa anatoa majibu lini mvua itanyesha safari inapangwa simple.
Na ole wake auze mechi.
 
Mimi ni mkristu safi naomba ifahamike hivyo, Nimeokoka na nampenda sana Mungu Baba, Yesu kristu na Roho Mtakatifu,

Mungu wangu ananguvu kuliko nguvu zenyewe, hakuna linaloshindikana katika yeye,

Mungu wangu anataka imani tu na kila kitu kwako kitakuwa ni Ushindi na Pepo ni uhakika,

Uwepo wake huambatana na ishara mbalimbali kama hii ya mvua ghafla,

Mtakumbuka,hivi majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Hospitali ya Rufaa Bugando,

Wakati Mhe Rais akiendelea na hotuba yake alipofikia hatua ya kusema "Tuombe dua kuiombea mvua inyeshe " dakika zilezile mvua ikaanza kunyesha (angalia video).

Mkumbuke kunawatu wameusaka Urais kwa zaidi ya miongo mitatu sasa akiwemo Mhe Edward Ngoyayi Lowassa, Dkt. Slaa, Mhe Bernard Membe,Mhe Freeman Mbowe na wengine wengi.

Pamoja na msako wao huo wa Urais wa JMT lakini hawajawahi kupata Urais hata wa TFF.

Chaajabu, Rais Samia Suluhu Hassan hajawahi kuomba Urais popote lakini Mungu wa Mbinguni akamchagua yeye kirahisi tu,

Swali: Rais Samia Suluhu ni nani hata Mbingu na nchi zinamsikia na kuachilia mvua papo hapo?


|[Mungu wa Elia& Elisha
tunaomba mvua yenye neema tunakutukuza wewe peke yako katika Utatu mtakatifu]|





#SISI NI NANI HATA TUSIKUUNGE MKONO.
Hata shetani anaweza kufanya miujiza na hii ndio ishara yao wananena kama malaika na wanatenda kama joka

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni mkristu safi naomba ifahamike hivyo, Nimeokoka na nampenda sana Mungu Baba, Yesu kristu na Roho Mtakatifu,

Mungu wangu ananguvu kuliko nguvu zenyewe, hakuna linaloshindikana katika yeye,

Mungu wangu anataka imani tu na kila kitu kwako kitakuwa ni Ushindi na Pepo ni uhakika,

Uwepo wake huambatana na ishara mbalimbali kama hii ya mvua ghafla,

Mtakumbuka,hivi majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Hospitali ya Rufaa Bugando,

Wakati Mhe Rais akiendelea na hotuba yake alipofikia hatua ya kusema "Tuombe dua kuiombea mvua inyeshe " dakika zilezile mvua ikaanza kunyesha (angalia video).

Mkumbuke kunawatu wameusaka Urais kwa zaidi ya miongo mitatu sasa akiwemo Mhe Edward Ngoyayi Lowassa, Dkt. Slaa, Mhe Bernard Membe,Mhe Freeman Mbowe na wengine wengi.

Pamoja na msako wao huo wa Urais wa JMT lakini hawajawahi kupata Urais hata wa TFF.

Chaajabu, Rais Samia Suluhu Hassan hajawahi kuomba Urais popote lakini Mungu wa Mbinguni akamchagua yeye kirahisi tu,

Swali: Rais Samia Suluhu ni nani hata Mbingu na nchi zinamsikia na kuachilia mvua papo hapo?


|[Mungu wa Elia& Elisha

tunaomba mvua yenye neema tunakutukuza wewe peke yako katika Utatu mtakatifu]|




#SISI NI NANI HATA TUSIKUUNGE MKONO.

Mungu yuko na Tanzania
 
Mimi ni mkristu safi naomba ifahamike hivyo, Nimeokoka na nampenda sana Mungu Baba, Yesu kristu na Roho Mtakatifu,

Mungu wangu ananguvu kuliko nguvu zenyewe, hakuna linaloshindikana katika yeye,

Mungu wangu anataka imani tu na kila kitu kwako kitakuwa ni Ushindi na Pepo ni uhakika,

Uwepo wake huambatana na ishara mbalimbali kama hii ya mvua ghafla,

Mtakumbuka,hivi majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Hospitali ya Rufaa Bugando,

Wakati Mhe Rais akiendelea na hotuba yake alipofikia hatua ya kusema "Tuombe dua kuiombea mvua inyeshe " dakika zilezile mvua ikaanza kunyesha (angalia video).

Mkumbuke kunawatu wameusaka Urais kwa zaidi ya miongo mitatu sasa akiwemo Mhe Edward Ngoyayi Lowassa, Dkt. Slaa, Mhe Bernard Membe,Mhe Freeman Mbowe na wengine wengi.

Pamoja na msako wao huo wa Urais wa JMT lakini hawajawahi kupata Urais hata wa TFF.

Chaajabu, Rais Samia Suluhu Hassan hajawahi kuomba Urais popote lakini Mungu wa Mbinguni akamchagua yeye kirahisi tu,

Swali: Rais Samia Suluhu ni nani hata Mbingu na nchi zinamsikia na kuachilia mvua papo hapo?


|[Mungu wa Elia& Elisha

tunaomba mvua yenye neema tunakutukuza wewe peke yako katika Utatu mtakatifu]|




#SISI NI NANI HATA TUSIKUUNGE MKONO.

YUKO NA MUNGU HUYU MAMA
 
Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameipongeza ATCL kwa kupanua biashara ya usafiri na usafirishaji ya anga, hasa baada ya ATCL kuongeza safari zake za kibiashara kwa karibu mara tatu.

Rais Samia ameipongeza zaidi ATCL kwa kurejesha Safari za Kenya Nairobi tena kwa gharama ndogo ya KSh37,525 au $334 sawa na TZS 770, Two ways.

Lazima tufahanu kuwa mwendo huu wa kasi wa ATCL ni kabla ya ujio wa ndege mpya tano za kisasa zinazotarajiwa kuingia nchini ndani ya kipindi kifupi kijacho, hakika hakuna kama Rais Samia.



Natangaza rasmi kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan,
 
Mimi ni mkristu safi naomba ifahamike hivyo, Nimeokoka na nampenda sana Mungu Baba, Yesu kristu na Roho Mtakatifu,

Mungu wangu ananguvu kuliko nguvu zenyewe, hakuna linaloshindikana katika yeye,

Mungu wangu anataka imani tu na kila kitu kwako kitakuwa ni Ushindi na Pepo ni uhakika,

Uwepo wake huambatana na ishara mbalimbali kama hii ya mvua ghafla,

Mtakumbuka,hivi majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Hospitali ya Rufaa Bugando,

Wakati Mhe Rais akiendelea na hotuba yake alipofikia hatua ya kusema "Tuombe dua kuiombea mvua inyeshe " dakika zilezile mvua ikaanza kunyesha (angalia video).

Mkumbuke kunawatu wameusaka Urais kwa zaidi ya miongo mitatu sasa akiwemo Mhe Edward Ngoyayi Lowassa, Dkt. Slaa, Mhe Bernard Membe,Mhe Freeman Mbowe na wengine wengi.

Pamoja na msako wao huo wa Urais wa JMT lakini hawajawahi kupata Urais hata wa TFF.

Chaajabu, Rais Samia Suluhu Hassan hajawahi kuomba Urais popote lakini Mungu wa Mbinguni akamchagua yeye kirahisi tu,

Swali: Rais Samia Suluhu ni nani hata Mbingu na nchi zinamsikia na kuachilia mvua papo hapo?


|[Mungu wa Elia& Elisha

tunaomba mvua yenye neema tunakutukuza wewe peke yako katika Utatu mtakatifu]|




#SISI NI NANI HATA TUSIKUUNGE MKONO.

Unajua jinsi JPM alivyoitwa Yesu na kusifiwa kijinga jinga na nini kilimpata.
 

Similar Discussions

21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom