Ze Bulldozer
JF-Expert Member
- Jun 12, 2020
- 1,002
- 524
Mimi ni mkristu safi naomba ifahamike hivyo, Nimeokoka na nampenda sana Mungu Baba, Yesu kristu na Roho Mtakatifu,
Mungu wangu ananguvu kuliko nguvu zenyewe, hakuna linaloshindikana katika yeye,
Mungu wangu anataka imani tu na kila kitu kwako kitakuwa ni Ushindi na Pepo ni uhakika,
Uwepo wake huambatana na ishara mbalimbali kama hii ya mvua ghafla,
Mtakumbuka,hivi majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Hospitali ya Rufaa Bugando,
Wakati Mhe Rais akiendelea na hotuba yake alipofikia hatua ya kusema "Tuombe dua kuiombea mvua inyeshe " dakika zilezile mvua ikaanza kunyesha (angalia video).
Mkumbuke kunawatu wameusaka Urais kwa zaidi ya miongo mitatu sasa akiwemo Mhe Edward Ngoyayi Lowassa, Dkt. Slaa, Mhe Bernard Membe,Mhe Freeman Mbowe na wengine wengi.
Pamoja na msako wao huo wa Urais wa JMT lakini hawajawahi kupata Urais hata wa TFF.
Chaajabu, Rais Samia Suluhu Hassan hajawahi kuomba Urais popote lakini Mungu wa Mbinguni akamchagua yeye kirahisi tu,
Swali: Rais Samia Suluhu ni nani hata Mbingu na nchi zinamsikia na kuachilia mvua papo hapo?
|[Mungu wa Elia& Elisha
tunaomba mvua yenye neema tunakutukuza wewe peke yako katika Utatu mtakatifu]|
#SISI NI NANI HATA TUSIKUUNGE MKONO.
Mungu wangu ananguvu kuliko nguvu zenyewe, hakuna linaloshindikana katika yeye,
Mungu wangu anataka imani tu na kila kitu kwako kitakuwa ni Ushindi na Pepo ni uhakika,
Uwepo wake huambatana na ishara mbalimbali kama hii ya mvua ghafla,
Mtakumbuka,hivi majuzi wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Hospitali ya Rufaa Bugando,
Wakati Mhe Rais akiendelea na hotuba yake alipofikia hatua ya kusema "Tuombe dua kuiombea mvua inyeshe " dakika zilezile mvua ikaanza kunyesha (angalia video).
Mkumbuke kunawatu wameusaka Urais kwa zaidi ya miongo mitatu sasa akiwemo Mhe Edward Ngoyayi Lowassa, Dkt. Slaa, Mhe Bernard Membe,Mhe Freeman Mbowe na wengine wengi.
Pamoja na msako wao huo wa Urais wa JMT lakini hawajawahi kupata Urais hata wa TFF.
Chaajabu, Rais Samia Suluhu Hassan hajawahi kuomba Urais popote lakini Mungu wa Mbinguni akamchagua yeye kirahisi tu,
Swali: Rais Samia Suluhu ni nani hata Mbingu na nchi zinamsikia na kuachilia mvua papo hapo?
|[Mungu wa Elia& Elisha
tunaomba mvua yenye neema tunakutukuza wewe peke yako katika Utatu mtakatifu]|
#SISI NI NANI HATA TUSIKUUNGE MKONO.