Rais Samia ni mpango wa Mungu kuwavusha Watanzania

Tangu alipokamata madaraka mapema mwezi Machi Mwaka huu Mhe. Samia Suluhu hassan amesimama kama alama ya historia mpya katika siasa za Afrika mashariki.

Rais Samia ni Kiongozi anayesimamia sheria haki, kanuni na utaratibu bila uwoga wala ubaguzi.
kupaa zaidi.

Samia ni wa tofauti vizazi mtamsoma miaka mingi zaidi kwa jina lake na sifa zake kwa utendaji wake uliotukuka!
Mkuu mapessa, nimekubali, naunga mkono hoja Samia Mpango wa Mungu kwa Tanzania: Kwa Hili, Atabarikiwa!, Taifa Litabarikiwa!. Asante Mungu kwa Samia, Mungu Mbariki Samia, Mungu Ibariki Tanzania
P
 
Tatizo ni hizi sifa zako. Kweli unaamini huyu ni mpango was Mungu kutufanyia makuu haswa? Yeye mwenye kupakwa mafuta mwenyewe anasema je?
Mkuu brazaj , kwa vile YEYE huzungumza kupitia watu tofauti tofauti, nao wakiambiwa kitu wanasema na mimi ninachoambiwa nasema, mwisho wa siku, ni wakati muafaka ukifika YEYE husema, na mtu usipo sikia, kisha yeye kutenda!.

Kwenye urais wa Samia, hakuna mtu yoyote alijua kuwa kuna siku rais wa JMT anaweza kufa akiwa madarakani!, hivyo siku zote Makamo wa rais alikuwa anateuliwa tuu bila kumhesabia anaweza kuja kuwa rais wa JMT kwasababu hakuna mtu aliyewahi kufikiri kuwa rais wa JMT anaweza kufa madarakani!, hivyo ma VP wetu tulikuwa tunajiteulia tuu kwa hoja ya yeyote ili mradi rais ukitoka upande mmoja wa JMT, VP atoke upande wa pili.

Hivyo naamini hata wakati Samia ni VP wa JPM, hakuna siku aliwahi kuwaza kuwa kuna siku JPM anaweza kuchomoka kwa kuitwa kwa Baba yake na yeye kuwa rais wa JMT!, hivyo ilivyotokea JPM akaitwa kwa Baba yake na Samia akawa rais, watu wote wanajua imetokea tuu!, kumbe kiukweli hakuna kitu chochote chini ya mbingu kinacho tokea tuu, kila kinachotokea ni kilipangwa na kutokea kwake ni mipango ya Mungu!.

Pamoja na kila kinachotokea ni mpango wa Mungu, lakini kuna watu walitoa "kauli umba " zenye nguvu ya uumbaji ndani yake, zilizo muumbia huo urais wa JMT kwa kauli hizo kumuomba Mungu, wakamuumbia urais wa JMT ili Samia awe rais na kweli Mungu akasikia hizo kauli, zikamuumbia Samia urais wa JMT hivyo ninavyo annika hapa, usikute hata Samia mwenyewe hajui imekuwaje kuweje mara ghafla yeye sasa ni rais wa JMT!, anajihesabu amekuwa rais wa JMT kwa kudra tuu za Mwenyeenzi Mungu, yaani kwake ni kama imetokea tuu akawa ni yeye!, kumbe hajui sio imetokea tuu kwa kudra tuu za Mwenyeezi Mungu, it's a premeditated events, kuna watu waliumba kwa kaul umba, na kauli umba hizo zikaumba na kutokea kilichomtokea!.

Kwanza anza kwa kuangalia ni lini watu wa kauli umba, walianza kumspot Mama Samia, na kumuumbia kauli umba!. Angalia hili bandiko ni la lini? New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!.
Wanabodi,
Bado niko hapa mjini Dodoma, nikijivinjari katika viwanja vya Bunge kwa haya na yale.

Japo mpaka sasa kitendawili cha Waziri Mkuu bado hakijatenguliwa, nimeonelea niwatajie baadhi ya majina mapya kwenye new cabinet.

2. Mwingine ni Samia Suluhu Hassan.
Huyu mama ni very powerful in Zanzibar na miongoni mwa wanawake wachache wa shoka kutoka Zanzibar. Ni Mjumbe wa CC na NEC wa CCM, a very high profile woman from Zanzibar, baada ya kuhudumu kwa miaka 10 kwenye Baraza la Wawakilishi, sasa ameingia Bunge la JMT, atapewa important portfolio kumuandaa ama kuwa rais wa Zanzibar kisha kuja bara, au kuwa VP 2015 na mwisho kuja kuwa rais wa JMT!.
Pasco
Bandiko hili ni la 2010, angalia hiyo 2010 tulisema nini kumhusu Samia, na nini kilikuja kutokea... mkiambiwa baadhi ya kauli zinaumba, mjue ni kweli kauli huumba!.

Kisha 2015 Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?
Kauli Umba ya kuunda VP mwananke kwa Tanzania
Kufuatia kilio cha muda mrefu cha wanawake kunyimwa fursa, je ni kweli tunao wanawake wenye sifa na uwezo wa kutupeleka kwenye 50/50?. Hebu na tuanzie na wanawake wenye sifa za urais, je tunao?

Hebu tuwakumbuke the top ten female politicians in Tanzania, na nafasi wanazoshika! Je, wamefikaje hapo, kwa kupanda wenyewe, au wamebebwa ndipo wakafika hapo? Je, wana sifa za urais?
  1. Top No.1 ni Mhe. Samia Suluhu Hassan.
    Huyu mama ni very powerful in Zanzibar na miongoni mwa wanawake wachache wa shoka kutoka Zanzibar. Ni Mjumbe wa CC na NEC wa CCM.
    Very high profile woman from Zanzibar, baada ya kuhudumu kwa miaka 10 kwenye Baraza la Wawakilishi, ameingia Bunge la JMT for 5 years sasa ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamo wa Rais. Ndiye alikuwa Makamo Mwenyekiti wa Bunge la Katiba. Huyu ni presidential material, sasa ni kumuandaa kwanza kuwa rais wa Zanzibar kwa kumpumzisha Dr. Shein kipindi chake cha pili, kisha 2020 aje urais wa Muungano, ili hili ifanyike, itabidi, CCM iachane na ule utaratibu wake wa two terms za urais, kwasababu kusubiria 2025, kwa huyu mama itakuwa too little too late, age itakuwa imemtupa mkono.
Natoa wito kwa wanawake, kama ni kweli mna uwezo, jitokezeni kwenye urais, ili hata msiposimamishwa, angalau 2015, tuwe na makamo rais mwanamke, au Waziri Mkuu Mwanamke!

Paskali.
Tanzania ilipata VP, mwanamke kwa mara ya kwanza, baada ya uchaguzi wa 2015, kuna wengi wanadhani ilijitokea tuu, Tanzania kuwa na VP mwanamke!, hawajui kuwa huo u VP wa mwanamke, kuna watu wenye kauli zenye powers za kuumba, walitoa kauli umba za kutaka tupate VP mwanamke, toka Machi 8, 2015!.

Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”
kiukweli huyu ni mwanamke wa kupigiwa mfano, mtanisamehe sina maneno ya Kiswahili ya kujitosheleza kumuelezea, she is just so womanly, so genuine, so simple, very humble na down to earth!, ana a very rare charisma, which is very hard to find kwa viongozi wetu wengi wa kisasa.

She is just everything a woman needs to be!. Ingekuwa ni amri yangu ningetaka wanawake wenye uongozi, madaraka na mamlaka waige mfano wa Mwanamke huyu and to be honest I wish if Mungu angemua, huyu mama ndio akawa, then amini usiamini tutakuwa na Tanzania nzuri 100 times kuliko Tanzania hii tulionayo sasa!.

Ingekuwa ni amri yangu, ningemwambia tuu naniliu aamue 2020 asigombee his second term, na badala yake, ampishe ili awe huyu mama!.

Mungu ambariki sana Mama Samia na kuwabariki wanawake wote leo siku ya Wanawake Duniani.

Paskali
Hii ni kauli umba ya kumuumbia mtu urais wa JMT.

na hili "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
Angalia kwa makini hii kauli umba hapa iliumba nini?
Makamo wa Rais wa JMT, Mhe. Samia Suluhu Hassan anauzungumzia Muungano, kiukweli huyu Mama Samia anauzumguza vizuri muungano huku akiongea kwa heshima, taratibu, kwa utulivu na unyenyekevu, na anaongea vizuri mpaka raha, na kwa wale wenzangu na mimi wenye udhaifu na macho fulani, kiukweli Mwenyenzi Mungu amemjaalia macho mashaalah, huchoki kumsikiliza, utatamani aendelee tuu kuongea na kipindi kisiishe!.

Kwa hoja za muungano Mama Samia alizoshusha, ningekuwa ni uwezo wangu, ningeshauri October 2020, Mama Samia ndiye ampokee Dr. Shein kule Zanzibar, ili 2025, aje ampokee Magufuli, maana kwa maoni yangu, kwa uongeaji huu, huyu mama ndiye Mzanzibari pekee anayekubalika kuweza kuchagulika kuwa rais wa JMT kutokea Zanzibar, vinginevyo Wazanzibari wausahau kabisa urais wa Muungano, wao mwisho wao ni umakamo wa rais pekee.

Kwa hoja kama hizi za huyu mama Samia, kama age sio issue sana, si huyu mama atatufaa sana 2025 au tuwashauri kwa vile Magufuli analamika sana kuhusu urais, mara ni mateso, mara ni kazi ngumu, mara ni mzigo mzito, tumshauri rais Magufuli, kwa vile Samia anatosha sana, hivyo tumpunguzie mateso, hana haja ya kuendelea na mateso, mzigo mzito na kazi ngumu ya urais, na hata kama ni wale tausi au wanyama wa Magogoni, au yale majabali ya Chamwino, tutamjengea Chato na kumuomba bora apumzike tuu mapema, na kumpisha Mama Samia ndio amalizie ngwe yake iliyobakia?.

Paskali
Hapa kuna mtu ameumbiwa urais wa JMT kwa kauli tuu!.

Naamini kama JPM angesoma hapa, halafu akaamua tangu ile ile ,2020 angempisha Samia, you never know by now labda...

Baada ya Samia kuwa rais wetu, sasa focus ni 2025, jee ataendelea...
Kwanza tumeanza na kauli umba ya wish Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Kisha Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke

Not a word more, not a word less!.
P
 
Alichaguliwa na nani
Yaonyesha kumbe wewe ni mmoja wa yale majinga ambayo hayapigagi kura!. Kama ulipiga kura 2020 lazima ulimuona ndiye alikuwa running mate wa JPM!, kila aliyemchagua JPM, amemchagua na Samia!. Sema sasa endepo litatokea la kutokea, VP wa sasa akaukwaa urais , hapo sasa ndio utakuwa right na justification ya kuuliza amechaguliwa na nani?, but not Samia!.
P
 
Mkuu brazaj , kwa vile YEYE huzungumza kupitia watu tofauti tofauti, nao wakiambiwa kitu wanasema na mimi ninachoambiwa nasema, mwisho wa siku, ni wakati muafaka ukifika YEYE husema, na mtu usipo sikia, kisha yeye kutenda!.

Kwenye urais wa Samia, hakuna mtu yoyote alijua kuwa kuna siku rais wa JMT anaweza kufa akiwa madarakani!, hivyo siku zote Makamo wa rais alikuwa anateuliwa tuu bila kumhesabia anaweza kuja kuwa rais wa JMT kwasababu hakuna mtu aliyewahi kufikiri kuwa rais wa JMT anaweza kufa madarakani!, hivyo ma VP wetu tulikuwa tunajiteulia tuu kwa hoja ya yeyote ili mradi rais ukitoka upande mmoja wa JMT, VP atoke upande wa pili.

Hivyo naamini hata wakati Samia ni VP wa JPM, hakuna siku aliwahi kuwaza kuwa kuna siku JPM anaweza kuchomoka kwa kuitwa kwa Baba yake na yeye kuwa rais wa JMT!, hivyo ilivyotokea JPM akaitwa kwa Baba yake na Samia akawa rais, watu wote wanajua imetokea tuu!, kumbe kiukweli hakuna kitu chochote chini ya mbingu kinacho tokea tuu, kila kinachotokea ni kilipangwa na kutokea kwake ni mipango ya Mungu!.

Pamoja na kila kinachotokea ni mpango wa Mungu, lakini kuna watu walitoa "kauli umba " zenye nguvu ya uumbaji ndani yake, zilizo muumbia huo urais wa JMT kwa kauli hizo kumuomba Mungu, wakamuumbia urais wa JMT ili Samia awe rais na kweli Mungu akasikia hizo kauli, zikamuumbia Samia urais wa JMT hivyo ninavyo annika hapa, usikute hata Samia mwenyewe hajui imekuwaje kuweje mara ghafla yeye sasa ni rais wa JMT!, anajihesabu amekuwa rais wa JMT kwa kudra tuu za Mwenyeenzi Mungu, yaani kwake ni kama imetokea tuu akawa ni yeye!, kumbe hajui sio imetokea tuu kwa kudra tuu za Mwenyeezi Mungu, it's a premeditated events, kuna watu waliumba kwa kaul umba, na kauli umba hizo zikaumba na kutokea kilichomtokea!.

Kwanza anza kwa kuangalia ni lini watu wa kauli umba, walianza kumspot Mama Samia, na kumuumbia kauli umba!. Angalia hili bandiko ni la lini? New Cabinet: Baadhi ya Majina ni Haya Hapa!.

Bandiko hili ni la 2010, angalia hiyo 2010 tulisema nini kumhusu Samia, na nini kilikuja kutokea... mkiambiwa baadhi ya kauli zinaumba, mjue ni kweli kauli huumba!.

Kisha 2015 Siku ya Wanawake Duniani: Je, tuna Wanawake wenye sifa za Presidential Material?
Kauli Umba ya kuunda VP mwananke kwa Tanzania

Tanzania ilipata VP, mwanamke kwa mara ya kwanza, baada ya uchaguzi wa 2015, kuna wengi wanadhani ilijitokea tuu, Tanzania kuwa na VP mwanamke!, hawajui kuwa huo u VP wa mwanamke, kuna watu wenye kauli zenye powers za kuumba, walitoa kauli umba za kutaka tupate VP mwanamke, toka Machi 8, 2015!.

Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!”

Hii ni kauli umba ya kumuumbia mtu urais wa JMT.

na hili "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
Angalia kwa makini hii kauli umba hapa iliumba nini?

Hapa kuna mtu ameumbiwa urais wa JMT kwa kauli tuu!.

Naamini kama JPM angesoma hapa, halafu akaamua tangu ile ile ,2020 angempisha Samia, you never know by now labda...

Baada ya Samia kuwa rais wetu, sasa focus ni 2025, jee ataendelea...
Kwanza tumeanza na kauli umba ya wish Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Kisha Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke

Not a word more, not a word less!.
P

Kwamba kuwa urais kama mpango wa Mungu hilo mbona halina ubishi?

Hilo si ni sawa na urais wa Nyerere, Mwinyi, JK, au Magu?

Mbona ni mpango wa Mungu wewe kuwa kama ulivyo, Mimi kuwa kama nilivyo au awaye yote kuwa kama alivyo au kufanya anachofanya?

Kinachogomba ni huu usemi wa kuwa "ili aje kutukomboa."

Kwani kina Ben, Azory, Lijenje na wengi wengine waliolipa malipo taslimu wako wapi au ndugu jamaa na marafiki zao wanasema je? Kwamba mama hawajui mabaradhuli waliohusika?

Maovu mangapi waliyopita nayo awamu ile? Ana utayari wowote kutoa uwajibikaji kamili kwa wahusika wote pasi na kuangalia sura zao?

Vipi wanaoendelea kusota magerezani kama masalia ya maovu yale?

Vipi wahanga wote wa awamu ile? Au kazi inaendelea?

Kumbuka sote si walamba asali labda ninyi wenzetu.

Inafahamika kwa walamba asali tokea pande za msoga, mama ni mkombozi kweli kweli na tena kwa mpango wa Mungu.

Hiiiiiiii bagosha.

Kulikoni ndugu kwani nawe ni mmoja wao?
 
Back
Top Bottom