Rais Samia, nchi haijengwi kwa kuzurura

Mpendwa Mama Samia,

Nchi hii haiwezi kujengwa kwa kuomba omba. Nchi inajengwa kwa kazi, bidii, na nidhamu ya utumishi wa umma.

Nchi yetu imebarikiwa kila aina ya rasilimali: Maji, Mito, Mabwawa makubwa, maziwa, madini ya kila aina, gesi, mafuta, chakula, nishati, ardhi kubwa yenye rutuba, nguvu kazi watu, mbuga, misitu, na kila aina ya rasilimali.

Kwa mambo hayo yote, hatuwezi kubabaikia wawekezaji. Wao ndio wanapaswa kutubabaikia sisi.

Kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza. Kama tunavyo vitu vizuri, lazima waje wenyewe. Hizi ni basic principles za uchumi.

The Higher they demand, the better the price we get.

Unapojitembeza hovyo kwa wazungu kila kukicha wewe uko angani unaonekana Rais wa bei nafuu tu... Hamna watakachokupa zaidi ya kukutwika dozi za machanjo ya corona.

Halafu pia huko kuzunguka kwenda Ulaya mimi sijaona lolote la maana zaidi ya kunywa JUISI na wazungu tu na kuongea nao VIINGEREZA VISIVYOELEWEKA unabaki kuitikia tu YES YES YES YES YES... huku unatikisa kichwa kana kwamba unawaelewa kumbe hamna lolote!

Ukimaliza kunywa JUISI Ulaya unarudi unatuambia umetoka kutafuta wawekezaji!!!!!!

Hatuwezi kuendelea kama nchi kwa kuabudu wazungu. Lazima tutambue thamani tuliyo nayo na tujifunze kujitegemea. Itatuongezea potential.

Hii dependency syndrome inaua nchi. Ndio maana mnakabidhi wachina bandari kwa miaka hamsini na kwa bei chee ya kitapeli. Ati wahisani!!

Hatuwezi kuwa maomba omba milele. Jenga nchi! Tuache kuzurura hovyo!
Well said.
Umegongelea pale penyewe.
Anatakiwa ajifunze kwa jiraani yake
Paul KAGAME. Hata Uhuru yuko powa na maendeleo wanayo.
Sisi kulilia wakati kila kitu iko!
Shida kubwa ni watendaji nao wahovyo! Hata wabunge hawajui kazi zao wakiongozwa na Rundungai wao!!
 
Ona hili zuzu linavyoabudu mabeberu!

Wezesha wazawa wawe na mitaji na TECHNICAL KNOW HOW! Watawekeza na kuzalisha ajira kwa wananchi!

Sio kila beberu ni muwekezaji! Hata mtu mweusi anaweza kuwekeza pia!!

Build the economy, acha ulegevu wa kuhusudu mabeberu, hawawezi kuwasaidienii!

Mabeberu yapo kwa ajili ya kunyonya na kuvuna, sio KUWEKEZA! Ndio maana hayazingatii LOCAL CONTENT na TECHNOLOGY TRANSFER! Yanachota tu madini na gases zetu na kutokomea.

Hakuna WANACHOWEKEZA hapo, wizi mtupu!!

Si ajabu hata maana ya KUWEKEZA hujui wewe, umekaririshwa tu misamiati ya kipuuzi na wanasiasa usiyoelewa maana yake!
Wewe ni mburula huna ulijialo,vipi wewe umekatazwa kuchota? Wazawa wanawezeshwa kwa kupewa pesa au? Huna akili tafuta wa kujadili nae ujinga wako.
 
Anza wewe kwa kuonyesha mfano hiyo technology uliyonayo. Umesoma je elimu yako imeisaidia nini nchi kwenye suala la kuepukana na dependency? Watu mnajifanya mnaakili sana kwenye kukosoa lkn in reality unashindwa kuongoza hata familia yako. Hii dunia huwezi kuepukana na intergration in economic issues. Una ardhi,huna vitendea kazi ita mtu alime mgawane faida kuliko kuicha ardhi bure na kujisifu ' nina ardhi' kubwa wakati haikuingizii hata mia. Nonsence!!!

34EFD328-85F7-47C6-91C3-9291C4D1CD9A.jpeg
 
Mpendwa Mama Samia,

Nchi hii haiwezi kujengwa kwa kuomba omba. Nchi inajengwa kwa kazi, bidii, na nidhamu ya utumishi wa umma.

Nchi yetu imebarikiwa kila aina ya rasilimali: Maji, Mito, Mabwawa makubwa, maziwa, madini ya kila aina, gesi, mafuta, chakula, nishati, ardhi kubwa yenye rutuba, nguvu kazi watu, mbuga, misitu, na kila aina ya rasilimali.

Kwa mambo hayo yote, hatuwezi kubabaikia wawekezaji. Wao ndio wanapaswa kutubabaikia sisi.

Kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza. Kama tunavyo vitu vizuri, lazima waje wenyewe. Hizi ni basic principles za uchumi.

The Higher they demand, the better the price we get.

Unapojitembeza hovyo kwa wazungu kila kukicha wewe uko angani unaonekana Rais wa bei nafuu tu... Hamna watakachokupa zaidi ya kukutwika dozi za machanjo ya corona.

Halafu pia huko kuzunguka kwenda Ulaya mimi sijaona lolote la maana zaidi ya kunywa JUISI na wazungu tu na kuongea nao VIINGEREZA VISIVYOELEWEKA unabaki kuitikia tu YES YES YES YES YES... huku unatikisa kichwa kana kwamba unawaelewa kumbe hamna lolote!

Ukimaliza kunywa JUISI Ulaya unarudi unatuambia umetoka kutafuta wawekezaji!!!!!!

Hatuwezi kuendelea kama nchi kwa kuabudu wazungu. Lazima tutambue thamani tuliyo nayo na tujifunze kujitegemea. Itatuongezea potential.

Hii dependency syndrome inaua nchi. Ndio maana mnakabidhi wachina bandari kwa miaka hamsini na kwa bei chee ya kitapeli. Ati wahisani!!

Hatuwezi kuwa maomba omba milele. Jenga nchi! Tuache kuzurura hovyo!
Period
 
Mpendwa Mama Samia,

Nchi hii haiwezi kujengwa kwa kuomba omba. Nchi inajengwa kwa kazi, bidii, na nidhamu ya utumishi wa umma.

Nchi yetu imebarikiwa kila aina ya rasilimali: Maji, Mito, Mabwawa makubwa, maziwa, madini ya kila aina, gesi, mafuta, chakula, nishati, ardhi kubwa yenye rutuba, nguvu kazi watu, mbuga, misitu, na kila aina ya rasilimali.

Kwa mambo hayo yote, hatuwezi kubabaikia wawekezaji. Wao ndio wanapaswa kutubabaikia sisi.

Kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza. Kama tunavyo vitu vizuri, lazima waje wenyewe. Hizi ni basic principles za uchumi.

The Higher they demand, the better the price we get.

Unapojitembeza hovyo kwa wazungu kila kukicha wewe uko angani unaonekana Rais wa bei nafuu tu... Hamna watakachokupa zaidi ya kukutwika dozi za machanjo ya corona.

Halafu pia huko kuzunguka kwenda Ulaya mimi sijaona lolote la maana zaidi ya kunywa JUISI na wazungu tu na kuongea nao VIINGEREZA VISIVYOELEWEKA unabaki kuitikia tu YES YES YES YES YES... huku unatikisa kichwa kana kwamba unawaelewa kumbe hamna lolote!

Ukimaliza kunywa JUISI Ulaya unarudi unatuambia umetoka kutafuta wawekezaji!!!!!!

Hatuwezi kuendelea kama nchi kwa kuabudu wazungu. Lazima tutambue thamani tuliyo nayo na tujifunze kujitegemea. Itatuongezea potential.

Hii dependency syndrome inaua nchi. Ndio maana mnakabidhi wachina bandari kwa miaka hamsini na kwa bei chee ya kitapeli. Ati wahisani!!

Hatuwezi kuwa maomba omba milele. Jenga nchi! Tuache kuzurura hovyo!
Tatizo anaaminishwa na yule mzee wa msoga. Tembea na bakuli nchi iendelee!
Kuna makampuni makubwa wanashindwa kuwatoza kodi. Wanakimbilia vidagaa kwenye tozo za kila aina. Matumizi serikalini ni makubwa mno. Hawataki kubana huko ili waishi kama wana wa mfalme. Kutumia hata akili ya kuzalisha solar au wind energy ni kazi. Wao ni visingizio kwa kwenda mbele. Toka lini mzungu akakupenda?!
Tulia nyumbani endesha nchi kwa utawala bora na usimamizi uliotukuka kuliko kwenda kula bata na kusingizia umetumwa na raia wako uombe ombe kama…..
 
Mpendwa Mama Samia,

Nchi hii haiwezi kujengwa kwa kuomba omba. Nchi inajengwa kwa kazi, bidii, na nidhamu ya utumishi wa umma.

Nchi yetu imebarikiwa kila aina ya rasilimali: Maji, Mito, Mabwawa makubwa, maziwa, madini ya kila aina, gesi, mafuta, chakula, nishati, ardhi kubwa yenye rutuba, nguvu kazi watu, mbuga, misitu, na kila aina ya rasilimali.

Kwa mambo hayo yote, hatuwezi kubabaikia wawekezaji. Wao ndio wanapaswa kutubabaikia sisi.

Kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza. Kama tunavyo vitu vizuri, lazima waje wenyewe. Hizi ni basic principles za uchumi.

The Higher they demand, the better the price we get.

Unapojitembeza hovyo kwa wazungu kila kukicha wewe uko angani unaonekana Rais wa bei nafuu tu... Hamna watakachokupa zaidi ya kukutwika dozi za machanjo ya corona.

Halafu pia huko kuzunguka kwenda Ulaya mimi sijaona lolote la maana zaidi ya kunywa JUISI na wazungu tu na kuongea nao VIINGEREZA VISIVYOELEWEKA unabaki kuitikia tu YES YES YES YES YES... huku unatikisa kichwa kana kwamba unawaelewa kumbe hamna lolote!

Ukimaliza kunywa JUISI Ulaya unarudi unatuambia umetoka kutafuta wawekezaji!!!!!!

Hatuwezi kuendelea kama nchi kwa kuabudu wazungu. Lazima tutambue thamani tuliyo nayo na tujifunze kujitegemea. Itatuongezea potential.

Hii dependency syndrome inaua nchi. Ndio maana mnakabidhi wachina bandari kwa miaka hamsini na kwa bei chee ya kitapeli. Ati wahisani!!

Hatuwezi kuwa maomba omba milele. Jenga nchi! Tuache kuzurura hovyo!
Kumbuka yeye ni jinsi ya kike ambayo hata kama fedha anayo bado ataomba. Kama walivyo wengi pesa yake ni yake tu ya mwanaume ni ya wote
 
Hii dunia huwezi kuepukana na intergration in economic issues!
Economic issues my foot!

Hatutaki economic issues za kuchota madini yetu huku wananchi wanabaki kwenye umasikini wa kutisha.

Wanaonufaika na madini ya nchi hii ni mabeberu pamoja na genge la wahuni wachache ambao wameamua kuipiga nchi mnada kwa manufaa yao na vizazi vyao.

Ukienda Geita vumbi tupu, stendi ya mabasi imejaa matope kila mahali, barabara hazipitiki... na kuna Mgodi Mkubwa wa Dhahabu Afrika uko hapo!! GGM!

Ati oooh economic issues! Mara sijui economic integration!!

What are those issues which can not benefit the ordinary people!?

Hakuna cha economic integration hapo... Hiyo ni integration ya mabeberu na wahuni wanaonufaika na utapeli wa madini yetu. WIZI MTUPU!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom