cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,324
Niliona Jana kwenye page ya ikulu mawasiliano asubuhi kuhusu kutakia watanzania sikukuu njema, hata Dr Mipango naye alipost hyo jana asubuhi.Weka hiyo tweet yake ya jana tuone hapa
Hafu sioni kupost au kutokupost kuwa ni big issue Hadi watu mshupalie hivo