Rais Samia: Nawatakia Heri ya Christmas na Mwaka Mpya Watanzania wote, nawaomba 2022 tuzidi kuwa Wamoja

Nawatakia Watanzania wote Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya. Tusherehekee kwa furaha, amani, utulivu na kiasi. Tuendelee kuwa wamoja katika mwaka 2022, tukifanya kazi kwa weledi wa hali ya juu, kwa uzalendo na kwa nidhamu, ili tuendelee kupiga hatua mbele zaidi kimaendeleo.

View attachment 2056731
Krismasi haiwahusu watanzania wote lakini na wewe mwenyeo pia ushungi na uislamu ndio imani yako, waislamu hatuamini chochote kwenye krismasi
 
Nawatakia Watanzania wote Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya. Tusherehekee kwa furaha, amani, utulivu na kiasi. Tuendelee kuwa wamoja katika mwaka 2022, tukifanya kazi kwa weledi wa hali ya juu, kwa uzalendo na kwa nidhamu, ili tuendelee kupiga hatua mbele zaidi kimaendeleo.

View attachment 2056731
Kaziindelee Tanzania na Mama Samia Suluhu Hassan,

Tunamtakia pia X-mass njema
 
Toka lini anakutafutia pesa kwa ajili ya Tz?. Pesa inakusanywa tu toka mkononi mwako. Matako we
Matako ni wewe unayekuja na uzi usio na kichwa wala miguu. Rais ni mtu mkubwa sana ni cheo cha juu sana sio mtu anayesubiri atume wishes kama vile wewe usio na kazi.
 
Nawatakia Watanzania wote Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya. Tusherehekee kwa furaha, amani, utulivu na kiasi. Tuendelee kuwa wamoja katika mwaka 2022, tukifanya kazi kwa weledi wa hali ya juu, kwa uzalendo na kwa nidhamu, ili tuendelee kupiga hatua mbele zaidi kimaendeleo.

View attachment 2056731
Mkuu Ustaadhi ikhlas angalia hizo salaam, huyo ni dini gani?. Niliwahi kusikia kuna baadhi ya Masheikh wanaitwa Sheikh ubwabwa!, usije wewe kuwa ni mmoja wao?
kwa mujibu wa mafundisho ni haramu kwa muislamu tena ni shirki kubwa kusherehekea krismas pia ni haramu kupokea chakula, zawadi au kitu chchte ambacho msingi wake ni kusherehekea sikukuu hii,pia haifai kwa musilamu ku mu wish asie kuwa muislam heri ya krismas,
,jf ni ukumbi wa kuhabarishana, kuelimishana na kuburudishana, kwa vile humu baadhi ni Waislamu na sisi wengine sio Waislamu, sasa kwa faida ya wengi humu, unaweza kutuekea hicho kifungu kinachokataza Muislam, kumu wish asie Muislam, heri ya Krismas?.

Heri ya Krismasi.
P.
 
Nawatakia Watanzania wote Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya. Tusherehekee kwa furaha, amani, utulivu na kiasi. Tuendelee kuwa wamoja katika mwaka 2022, tukifanya kazi kwa weledi wa hali ya juu, kwa uzalendo na kwa nidhamu, ili tuendelee kupiga hatua mbele zaidi kimaendeleo.

View attachment 2056731
Kuna wakati ccm Huwa na Hali ya uungwana na utu au ni unafiki??
 
Matako ni wewe unayekuja na uzi usio na kichwa wala miguu. Rais ni mtu mkubwa sana ni cheo cha juu sana sio mtu anayesubiri atume wishes kama vile wewe usio na kazi.
We ni yule mhangaza uliyechelewa unayeendekeza ubaguzi wa vyama, hizi uliwabagua wahaya wenzio kisa mna mgodi wa nikel? We jamaa ni hewa
 
Mkuu Ustaadhi ikhlas angalia hizo salaam, huyo ni dini gani?. Niliwahi kusikia kuna baadhi ya Masheikh wanaitwa Sheikh ubwabwa!, usije wewe kuwa ni mmoja wao?

,jf ni ukumbi wa kuhabarishana, kuelimishana na kuburudishana, kwa vile humu baadhi ni Waislamu na sisi wengine sio Waislamu, sasa kwa faida ya wengi humu, unaweza kutuekea hicho kifungu kinachokataza Muislam, kumu wish asie Muislam, heri ya Krismas?.

Heri ya Krismasi.
P.
Good question
 
Matako ni wewe unayekuja na uzi usio na kichwa wala miguu. Rais ni mtu mkubwa sana ni cheo cha juu sana sio mtu anayesubiri atume wishes kama vile wewe usio na kazi.
Wewee kenge unadandia tren kwa mbele,nani ameanzisha uzi?. Nenda kapata buku 7 sasa. Nasikia siku hizi mmepandishiwa,kwa kazi hii ya kutetea hoja tu hata kipumba pumba?. Ni mkubwa kwako unaelipwa kwa ajili ya hiyo.
 
Matako ni wewe unayekuja na uzi usio na kichwa wala miguu. Rais ni mtu mkubwa sana ni cheo cha juu sana sio mtu anayesubiri atume wishes kama vile wewe usio na kazi.

9AC0128C-CC11-41E5-97A9-E54BEEE1DAE4.jpeg
 
Nawatakia Watanzania wote Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya. Tusherehekee kwa furaha, amani, utulivu na kiasi. Tuendelee kuwa wamoja katika mwaka 2022, tukifanya kazi kwa weledi wa hali ya juu, kwa uzalendo na kwa nidhamu, ili tuendelee kupiga hatua mbele zaidi kimaendeleo.

View attachment 2056731
Hatuwezi kuendeleza kitu ambacho hakipo. Watanzania, kwa Tanzania hatupo wamoja. Tumegawanyika katika makundi makubwa mawili:

1) Wapo wanaopenda na kushabikia uovu dhidi ya wengine. Uonevu kama ule wa kuwabambikia kesi Mbowe na makomandoo wa Jeshi.

2) Wapo wanaopenda nchi yetu iongozwe kwa haki na watu wake watendewe haki, bila ya kujali watu hao tunatofauti katika tunayoyaamini kwa kiasi gani.

Makundi haya mawili hayawezi kuwa na Umoja kwa sababu wanatenganishwa na mto mkubwa, baina ya shetani na Mungu.

Watu wanaopenda haki, hata kama wakitengwa namna gani, kamwe wasikubali kuunganika na waovu, kwa mwavuli wa umoja.

Nafasi ya umoja kwa Watanzania, ni kwa waovu kuungana na watu wa haki. Rais kama anataka kuwa miongoni mwa watu wa haki, atangaze kujitenga na uovu ambao anauishi kwa sasa. Vinginevyo, watu wa haki wataendelea kumwomba Mungu awapatie kiongozi atakayewaongoza kwa haki.
 
Nimeamini hawa Viongozi husoma JF kwa hakika.

Rais Samia kwa mfano baada ya kupigiwa kelele humu kwa kutotoa salamu za kheri ya Noel katika kurasa zake za mitandao ya kijamii hatmaye kama dakika 30 zilizopita amewatakiwa Noel njema Watanzania jambo ambalo ni zuri na ni utamaduni uliozoeleka tokea enzi kufanywa na Viongozi wetu.
Saa nyingine watendaji wanamuangusha, mi naamini lazima kuna katibu wake anaehuaika na taarifa za mitandaoni, Salamu kama hizi sio lazima aambiwe ni kutimiza wajibu tu! Na hataulizwa kwa kuandika hiyo salamu.
 
Hatulilii salamu bali tunamkumbusha aendelee kuiga utamaduni ulioasisiwa na watangulizi wake ili kuepuka hizo sintofahamu.

Mfano Noel ilianza jana jioni ajabu yeye anakuja kutoa salamu saa 4 asubuhi leo tena baada ya watu kuhoji!
Mbona alishapost tangu Jana asubuhi hata ka mumekosa excuse msimnange kwa kutunga
 
Propaganda zote zilizofanywa na vyama vya upinzani toka 2008 enzi za Lowasa, mpaka 2020 enzi za Magufuli hazikuzaa matunda yoyote kwenye nchi hii zaidi ya kuwatia aibu tu waeneza propaganda hao. Angalia watu waliofanya propaganda zaidi ya miaka kumi walivyoambulia aibu ktk mikutano yao. Ila ww endelea tu ili watoto wako waende chooni mkuu, hata hilo bando la buku utalotumiwa kwa siku sio dogo.

View attachment 2056654

View attachment 2056655

View attachment 2056656
Kwa nini basi mnaogopa KATIBA mpya,bora?
 
Ile chumvi ndo nailambalamba sahivi.. mkuu chukua jibapa usheherekee mi nasheherekea coz Kuna mtu kaninong'oneza kuwa mimi ni anko yake na kirithimathi..
Ukimaliza kuneng'eneka huku siasani

Tunakusubiria kule uje umalizie kiporo chako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom