Krismasi haiwahusu watanzania wote lakini na wewe mwenyeo pia ushungi na uislamu ndio imani yako, waislamu hatuamini chochote kwenye krismasiNawatakia Watanzania wote Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya. Tusherehekee kwa furaha, amani, utulivu na kiasi. Tuendelee kuwa wamoja katika mwaka 2022, tukifanya kazi kwa weledi wa hali ya juu, kwa uzalendo na kwa nidhamu, ili tuendelee kupiga hatua mbele zaidi kimaendeleo.
View attachment 2056731
Kaziindelee Tanzania na Mama Samia Suluhu Hassan,Nawatakia Watanzania wote Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya. Tusherehekee kwa furaha, amani, utulivu na kiasi. Tuendelee kuwa wamoja katika mwaka 2022, tukifanya kazi kwa weledi wa hali ya juu, kwa uzalendo na kwa nidhamu, ili tuendelee kupiga hatua mbele zaidi kimaendeleo.
View attachment 2056731
Toka lini anakutafutia pesa kwa ajili ya Tz?. Pesa inakusanywa tu toka mkononi mwako. Matako weKama muda huo alikuwa anafanya shughuli za kutafuta pesa kwa ajili ya Tanzania?. Acheni nongwa za kipumbavu.
yap, aendelee kuwa hivyo!! watz tumeumbiwa upendo !!!Mama ni msikivu.
Matako ni wewe unayekuja na uzi usio na kichwa wala miguu. Rais ni mtu mkubwa sana ni cheo cha juu sana sio mtu anayesubiri atume wishes kama vile wewe usio na kazi.Toka lini anakutafutia pesa kwa ajili ya Tz?. Pesa inakusanywa tu toka mkononi mwako. Matako we
Mkuu Ustaadhi ikhlas angalia hizo salaam, huyo ni dini gani?. Niliwahi kusikia kuna baadhi ya Masheikh wanaitwa Sheikh ubwabwa!, usije wewe kuwa ni mmoja wao?Nawatakia Watanzania wote Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya. Tusherehekee kwa furaha, amani, utulivu na kiasi. Tuendelee kuwa wamoja katika mwaka 2022, tukifanya kazi kwa weledi wa hali ya juu, kwa uzalendo na kwa nidhamu, ili tuendelee kupiga hatua mbele zaidi kimaendeleo.
View attachment 2056731
,jf ni ukumbi wa kuhabarishana, kuelimishana na kuburudishana, kwa vile humu baadhi ni Waislamu na sisi wengine sio Waislamu, sasa kwa faida ya wengi humu, unaweza kutuekea hicho kifungu kinachokataza Muislam, kumu wish asie Muislam, heri ya Krismas?.kwa mujibu wa mafundisho ni haramu kwa muislamu tena ni shirki kubwa kusherehekea krismas pia ni haramu kupokea chakula, zawadi au kitu chchte ambacho msingi wake ni kusherehekea sikukuu hii,pia haifai kwa musilamu ku mu wish asie kuwa muislam heri ya krismas,
Kuna wakati ccm Huwa na Hali ya uungwana na utu au ni unafiki??Nawatakia Watanzania wote Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya. Tusherehekee kwa furaha, amani, utulivu na kiasi. Tuendelee kuwa wamoja katika mwaka 2022, tukifanya kazi kwa weledi wa hali ya juu, kwa uzalendo na kwa nidhamu, ili tuendelee kupiga hatua mbele zaidi kimaendeleo.
View attachment 2056731
We ni yule mhangaza uliyechelewa unayeendekeza ubaguzi wa vyama, hizi uliwabagua wahaya wenzio kisa mna mgodi wa nikel? We jamaa ni hewaMatako ni wewe unayekuja na uzi usio na kichwa wala miguu. Rais ni mtu mkubwa sana ni cheo cha juu sana sio mtu anayesubiri atume wishes kama vile wewe usio na kazi.
Good questionMkuu Ustaadhi ikhlas angalia hizo salaam, huyo ni dini gani?. Niliwahi kusikia kuna baadhi ya Masheikh wanaitwa Sheikh ubwabwa!, usije wewe kuwa ni mmoja wao?
,jf ni ukumbi wa kuhabarishana, kuelimishana na kuburudishana, kwa vile humu baadhi ni Waislamu na sisi wengine sio Waislamu, sasa kwa faida ya wengi humu, unaweza kutuekea hicho kifungu kinachokataza Muislam, kumu wish asie Muislam, heri ya Krismas?.
Heri ya Krismasi.
P.
Wewee kenge unadandia tren kwa mbele,nani ameanzisha uzi?. Nenda kapata buku 7 sasa. Nasikia siku hizi mmepandishiwa,kwa kazi hii ya kutetea hoja tu hata kipumba pumba?. Ni mkubwa kwako unaelipwa kwa ajili ya hiyo.Matako ni wewe unayekuja na uzi usio na kichwa wala miguu. Rais ni mtu mkubwa sana ni cheo cha juu sana sio mtu anayesubiri atume wishes kama vile wewe usio na kazi.
Matako ni wewe unayekuja na uzi usio na kichwa wala miguu. Rais ni mtu mkubwa sana ni cheo cha juu sana sio mtu anayesubiri atume wishes kama vile wewe usio na kazi.
Hatuwezi kuendeleza kitu ambacho hakipo. Watanzania, kwa Tanzania hatupo wamoja. Tumegawanyika katika makundi makubwa mawili:Nawatakia Watanzania wote Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya. Tusherehekee kwa furaha, amani, utulivu na kiasi. Tuendelee kuwa wamoja katika mwaka 2022, tukifanya kazi kwa weledi wa hali ya juu, kwa uzalendo na kwa nidhamu, ili tuendelee kupiga hatua mbele zaidi kimaendeleo.
View attachment 2056731
Saa nyingine watendaji wanamuangusha, mi naamini lazima kuna katibu wake anaehuaika na taarifa za mitandaoni, Salamu kama hizi sio lazima aambiwe ni kutimiza wajibu tu! Na hataulizwa kwa kuandika hiyo salamu.Nimeamini hawa Viongozi husoma JF kwa hakika.
Rais Samia kwa mfano baada ya kupigiwa kelele humu kwa kutotoa salamu za kheri ya Noel katika kurasa zake za mitandao ya kijamii hatmaye kama dakika 30 zilizopita amewatakiwa Noel njema Watanzania jambo ambalo ni zuri na ni utamaduni uliozoeleka tokea enzi kufanywa na Viongozi wetu.
Mbona alishapost tangu Jana asubuhi hata ka mumekosa excuse msimnange kwa kutungaHatulilii salamu bali tunamkumbusha aendelee kuiga utamaduni ulioasisiwa na watangulizi wake ili kuepuka hizo sintofahamu.
Mfano Noel ilianza jana jioni ajabu yeye anakuja kutoa salamu saa 4 asubuhi leo tena baada ya watu kuhoji!
Kwa nini basi mnaogopa KATIBA mpya,bora?Propaganda zote zilizofanywa na vyama vya upinzani toka 2008 enzi za Lowasa, mpaka 2020 enzi za Magufuli hazikuzaa matunda yoyote kwenye nchi hii zaidi ya kuwatia aibu tu waeneza propaganda hao. Angalia watu waliofanya propaganda zaidi ya miaka kumi walivyoambulia aibu ktk mikutano yao. Ila ww endelea tu ili watoto wako waende chooni mkuu, hata hilo bando la buku utalotumiwa kwa siku sio dogo.
View attachment 2056654
View attachment 2056655
View attachment 2056656
Weka hiyo tweet yake ya jana tuone hapaMbona alishapost tangu Jana asubuhi hata ka mumekosa excuse msimnange kwa kutunga
Ukimaliza kuneng'eneka huku siasaniIle chumvi ndo nailambalamba sahivi.. mkuu chukua jibapa usheherekee mi nasheherekea coz Kuna mtu kaninong'oneza kuwa mimi ni anko yake na kirithimathi..