Rais Samia, nasikitishwa na mateso anayopitia Mbowe katika utawala wako

Binafsi mimi ni kijana mdogo sana. Naomba nisema Mh. Rais Samia shikamoo.

Mh. Rais nasikitishwa na mateso anayopitia mzee Mbowe kwa baraka za utawala wako,,,sikudhani wewe Mama ungukuja kuongeza mikanganyiko ya kisiasa nchini.

Naomba ujiulize maswali yafuatayo kisha ufanye yakupendezayo mama angu.

1. Unadhani kikombe/mateso anayopitia mzee Mbowe unaweza kuyapitia wewe binafsi?

2. Unadhani kumsingizia mtu kutaiponya nafsi yako mama angu mpendwa?

3. Unadhani familia ya mzee Mbowe haimuhitaji kama ambavyo ya kwako inakuhitaji?

4. Kama kweli wewe mzalendo kwanini unaogopa katiba mpya?

5. Kama kweli mbingu ipo unahisi utairithi kwa kufumbia macho mateso ya wenzio?

6. Je, Wewe nafsi yako inakwambiaje kuhusu kesi ya mzee mbowe?

Hili nalo lichukue mama.

Hivi unajua kinachoendelea kwenye vifaa vya ujenzi??? kama unajua,je? Unadhani maisha ya wtz umeyaboresha ili kuweza kumudu mfumuko wa bei ambao haujawahi kutokea kwa miaka 20??

Hii si yako.

IGP sirro kila nkitaka kuandika juu yako nashindwa mzee wangu,,hivi Mzee mbowe alikula nini chako umma ujue?? Mbona chuki yako dhidi yake inakuwa kubwa sana??

Mbona ulivyopewa maelekezo kumkamata gwajima uligoma??? Nahisi ulisimamia taaluma yako,,,Lkn inapokuja swala la Mbowe hujiulizi mara mbili bali unamshushia kikombe cha mateso haraka sana kuna nini kati yako na Mh.Mbowe???Mungu asikupungukie Mzee wangu Sirro ila unachokitenda sidhani kama kitakupa faraja.
Natamani nione uzee wa mbowe mpaka siku ya kuondoka kwake duniani.
 
Binafsi mimi ni kijana mdogo sana. Naomba nisema Mh. Rais Samia shikamoo.

Mh. Rais nasikitishwa na mateso anayopitia mzee Mbowe kwa baraka za utawala wako,,,sikudhani wewe Mama ungukuja kuongeza mikanganyiko ya kisiasa nchini.

Naomba ujiulize maswali yafuatayo kisha ufanye yakupendezayo mama angu.

1. Unadhani kikombe/mateso anayopitia mzee Mbowe unaweza kuyapitia wewe binafsi?

2. Unadhani kumsingizia mtu kutaiponya nafsi yako mama angu mpendwa?

3. Unadhani familia ya mzee Mbowe haimuhitaji kama ambavyo ya kwako inakuhitaji?

4. Kama kweli wewe mzalendo kwanini unaogopa katiba mpya?

5. Kama kweli mbingu ipo unahisi utairithi kwa kufumbia macho mateso ya wenzio?

6. Je, Wewe nafsi yako inakwambiaje kuhusu kesi ya mzee mbowe?

Hili nalo lichukue mama.

Hivi unajua kinachoendelea kwenye vifaa vya ujenzi??? kama unajua,je? Unadhani maisha ya wtz umeyaboresha ili kuweza kumudu mfumuko wa bei ambao haujawahi kutokea kwa miaka 20??

Hii si yako.

IGP sirro kila nkitaka kuandika juu yako nashindwa mzee wangu,,hivi Mzee mbowe alikula nini chako umma ujue?? Mbona chuki yako dhidi yake inakuwa kubwa sana??

Mbona ulivyopewa maelekezo kumkamata gwajima uligoma??? Nahisi ulisimamia taaluma yako,,,Lkn inapokuja swala la Mbowe hujiulizi mara mbili bali unamshushia kikombe cha mateso haraka sana kuna nini kati yako na Mh.Mbowe???Mungu asikupungukie Mzee wangu Sirro ila unachokitenda sidhani kama kitakupa faraja.
Ni Imani yangu kuwa hapendi haya yaliyotokea na yanayo endelea ila mfumo uliokuwepo na jinsi ulivyokuwa umejijenga ndipo ilipo shida, najuaa anajua yanayoendelea hayapo sawa, anafanyaje, ila pia Kuna Ile kuonja mamlaka huku yakipambwa na wenye agenda zao binafsi ili kufanikisha malengo Yao binafsi.
 
Binafsi mimi ni kijana mdogo sana. Naomba nisema Mh. Rais Samia shikamoo.

Mh. Rais nasikitishwa na mateso anayopitia mzee Mbowe kwa baraka za utawala wako,,,sikudhani wewe Mama ungukuja kuongeza mikanganyiko ya kisiasa nchini.

Naomba ujiulize maswali yafuatayo kisha ufanye yakupendezayo mama angu.

1. Unadhani kikombe/mateso anayopitia mzee Mbowe unaweza kuyapitia wewe binafsi?

2. Unadhani kumsingizia mtu kutaiponya nafsi yako mama angu mpendwa?

3. Unadhani familia ya mzee Mbowe haimuhitaji kama ambavyo ya kwako inakuhitaji?

4. Kama kweli wewe mzalendo kwanini unaogopa katiba mpya?

5. Kama kweli mbingu ipo unahisi utairithi kwa kufumbia macho mateso ya wenzio?

6. Je, Wewe nafsi yako inakwambiaje kuhusu kesi ya mzee mbowe?

Hili nalo lichukue mama.

Hivi unajua kinachoendelea kwenye vifaa vya ujenzi??? kama unajua,je? Unadhani maisha ya wtz umeyaboresha ili kuweza kumudu mfumuko wa bei ambao haujawahi kutokea kwa miaka 20??

Hii si yako.

IGP sirro kila nkitaka kuandika juu yako nashindwa mzee wangu,,hivi Mzee mbowe alikula nini chako umma ujue?? Mbona chuki yako dhidi yake inakuwa kubwa sana??

Mbona ulivyopewa maelekezo kumkamata gwajima uligoma??? Nahisi ulisimamia taaluma yako,,,Lkn inapokuja swala la Mbowe hujiulizi mara mbili bali unamshushia kikombe cha mateso haraka sana kuna nini kati yako na Mh.Mbowe???Mungu asikupungukie Mzee wangu Sirro ila unachokitenda sidhani kama kitakupa faraja.

Umeandika vyema ila kumbuka maonyo ya parallel power:

Kama CCM siyo adui -- mchawi wetu ni nani?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Usijifanye unazijua sana siasa kijana.

Watu wanaovamia siasa kwa mihemko ndio wanaishia kama kina Ben Saanane, Alphonce Mawazo, Lissu.

Vijana mihemko wa CHADEMA mnamwonaga Mbowe kama mungu, eti ni mkombozi, anajitolea, anapambania wanyonge sijui nini ???

CHADEMA mwaka 2010-15 ilikuwa inapata ruzuku zaidi ya Tsh 300M kwa miaka mitano.

Na baada ya 2015-20 baada ya wimbi la Mamvi, ikaanza kupata ruzuku ya Tsh 400M kila mwezi kwa miaka mitano.

Wabunge wote wa CHADEMA ni lazima kukichangia chama.

CHADEMA ekuwa ikipokea misaada kutoka chama rafiki kutoka Ujerumani cha CDU.

Lakini sasa hivi CHADEMA ina nini ???

Ukitoa vile vigali vya PR ????

Ndani ya hii miaka 10 tulichoshuhudia ni Mbowe kufungua mabiashara mapya DUBAI.

Hivi ninyi vijana mihemko mnadhani watu wote ni wajinga ???
Mku mm ccm 100. na vikao vya kata ni mmoja Wapo.
Lakini kwa maandiko yako imenibidi nichangie kwani yanaumiza sana ndugu ila nakuomba kwa hili swala usitumie sana. naneno makali. Kumbuka kana watu wanaumia juu kiongozi wao.
Mku Tzs600,,000/= inaweza kusababisha Ugaidi kweli.
Tujitafakari Mbowe ni mtanzania
 
Mku mm ccm 100. na vikao vya kata ni mmoja Wapo.
Lakini kwa maandiko yako imenibidi nichangie kwani yanaumiza sana ndugu ila nakuomba kwa hili swala usitumie sana. naneno makali. Kumbuka kana watu wanaumia juu kiongozi wao.
Mku Tzs600,,000/= inaweza kusababisha Ugaidi kweli.
Tujitafakari Mbowe ni mtanzania
Laki 6 ni hela ya kula bata weekend.
 
Binafsi mimi ni kijana mdogo sana. Naomba nisema Mh. Rais Samia shikamoo.

Mh. Rais nasikitishwa na mateso anayopitia mzee Mbowe kwa baraka za utawala wako,,,sikudhani wewe Mama ungukuja kuongeza mikanganyiko ya kisiasa nchini.

Naomba ujiulize maswali yafuatayo kisha ufanye yakupendezayo mama angu.

1. Unadhani kikombe/mateso anayopitia mzee Mbowe unaweza kuyapitia wewe binafsi?

2. Unadhani kumsingizia mtu kutaiponya nafsi yako mama angu mpendwa?

3. Unadhani familia ya mzee Mbowe haimuhitaji kama ambavyo ya kwako inakuhitaji?

4. Kama kweli wewe mzalendo kwanini unaogopa katiba mpya?

5. Kama kweli mbingu ipo unahisi utairithi kwa kufumbia macho mateso ya wenzio?

6. Je, Wewe nafsi yako inakwambiaje kuhusu kesi ya mzee mbowe?

Hili nalo lichukue mama.

Hivi unajua kinachoendelea kwenye vifaa vya ujenzi??? kama unajua,je? Unadhani maisha ya wtz umeyaboresha ili kuweza kumudu mfumuko wa bei ambao haujawahi kutokea kwa miaka 20??

Hii si yako.

IGP sirro kila nkitaka kuandika juu yako nashindwa mzee wangu,,hivi Mzee mbowe alikula nini chako umma ujue?? Mbona chuki yako dhidi yake inakuwa kubwa sana??

Mbona ulivyopewa maelekezo kumkamata gwajima uligoma??? Nahisi ulisimamia taaluma yako,,,Lkn inapokuja swala la Mbowe hujiulizi mara mbili bali unamshushia kikombe cha mateso haraka sana kuna nini kati yako na Mh.Mbowe???Mungu asikupungukie Mzee wangu Sirro ila unachokitenda sidhani kama kitakupa faraja.
Mbowe ni rais ajaye kama Aikande Hichilema acha apitie machungu kwanza awe Rais anayejua jela kunafananaje
 
Atatoka ila sio haraka namna hii, bila shaka atashinda kesi kama kweli kabambikwa. Ila akitoka ajitahidi kuwa na nidhamu kwa rais wa nchi maana naona alimchukulia poa. Hii ni afrika
 
Mku mm ccm 100. na vikao vya kata ni mmoja Wapo.
Wewe ni CCM. Mimi sina chama.
Lakini kwa maandiko yako imenibidi nichangie kwani yanaumiza sana ndugu ila nakuomba kwa hili swala usitumie sana. naneno makali. Kumbuka kana watu wanaumia juu kiongozi wao.
Maumivu ni pande mbili za maisha. Huwezi kupata furaha siku zote.

Hata kwenye safari ya siasa huyo mbowe watu wengi sana, huku yeye na wafuasi wake wakifyrahia
Mku Tzs600,,000/= inaweza kusababisha Ugaidi kweli.
Tujitafakari Mbowe ni mtanzania
Kwani ugaidi ni nini ?
 
Usijifanye unazijua sana siasa kijana.

Watu wanaovamia siasa kwa mihemko ndio wanaishia kama kina Ben Saanane, Alphonce Mawazo, Lissu.

Vijana mihemko wa CHADEMA mnamwonaga Mbowe kama mungu, eti ni mkombozi, anajitolea, anapambania wanyonge sijui nini ???

CHADEMA mwaka 2010-15 ilikuwa inapata ruzuku zaidi ya Tsh 300M kwa miaka mitano.

Na baada ya 2015-20 baada ya wimbi la Mamvi, ikaanza kupata ruzuku ya Tsh 400M kila mwezi kwa miaka mitano.

Wabunge wote wa CHADEMA ni lazima kukichangia chama.

CHADEMA ekuwa ikipokea misaada kutoka chama rafiki kutoka Ujerumani cha CDU.

Lakini sasa hivi CHADEMA ina nini ???

Ukitoa vile vigali vya PR ????

Ndani ya hii miaka 10 tulichoshuhudia ni Mbowe kufungua mabiashara mapya DUBAI.

Hivi ninyi vijana mihemko mnadhani watu wote ni wajinga ???
Mbona umeandika upupu,mwana JF kaongea na mama, wewe hukujua alichasema au hujui kusoma na kuandika,mambo ya ruzuku tena ya uongo yamekujaje hapa.

Huyo uliyemwomba akuandikie kaandika tofauti na ulivyotaka.Hasara ya kutokujua kusoma na kuandika.Rudi kasome aeiou
 
Mbona umeandika upupu,mwana JF kaongea na mama, wewe hukujua alichasema au hujui kusoma na kuandika,mambo ya ruzuku tena ya uongo yamekujaje hapa.

Huyo uliyemwomba akuandikie kaandika tofauti na ulivyotaka.Hasara ya kutokujua kusoma na kuandika.Rudi kasome aeiou
Huna akili
 
Binafsi mimi ni kijana mdogo sana. Naomba nisema Mh. Rais Samia shikamoo.

Mh. Rais nasikitishwa na mateso anayopitia mzee Mbowe kwa baraka za utawala wako,,,sikudhani wewe Mama ungukuja kuongeza mikanganyiko ya kisiasa nchini.

Naomba ujiulize maswali yafuatayo kisha ufanye yakupendezayo mama angu.

1. Unadhani kikombe/mateso anayopitia mzee Mbowe unaweza kuyapitia wewe binafsi?

2. Unadhani kumsingizia mtu kutaiponya nafsi yako mama angu mpendwa?

3. Unadhani familia ya mzee Mbowe haimuhitaji kama ambavyo ya kwako inakuhitaji?

4. Kama kweli wewe mzalendo kwanini unaogopa katiba mpya?

5. Kama kweli mbingu ipo unahisi utairithi kwa kufumbia macho mateso ya wenzio?

6. Je, Wewe nafsi yako inakwambiaje kuhusu kesi ya mzee mbowe?

Hili nalo lichukue mama.

Hivi unajua kinachoendelea kwenye vifaa vya ujenzi??? kama unajua,je? Unadhani maisha ya wtz umeyaboresha ili kuweza kumudu mfumuko wa bei ambao haujawahi kutokea kwa miaka 20??

Hii si yako.

IGP sirro kila nkitaka kuandika juu yako nashindwa mzee wangu,,hivi Mzee mbowe alikula nini chako umma ujue?? Mbona chuki yako dhidi yake inakuwa kubwa sana??

Mbona ulivyopewa maelekezo kumkamata gwajima uligoma??? Nahisi ulisimamia taaluma yako,,,Lkn inapokuja swala la Mbowe hujiulizi mara mbili bali unamshushia kikombe cha mateso haraka sana kuna nini kati yako na Mh.Mbowe???Mungu asikupungukie Mzee wangu Sirro ila unachokitenda sidhani kama kitakupa faraja.
Huyu bibi arudi kwao anatuharibia nchi yetu.
 
Binafsi mimi ni kijana mdogo sana. Naomba nisema Mh. Rais Samia shikamoo.

Mh. Rais nasikitishwa na mateso anayopitia mzee Mbowe kwa baraka za utawala wako,,,sikudhani wewe Mama ungukuja kuongeza mikanganyiko ya kisiasa nchini.

Naomba ujiulize maswali yafuatayo kisha ufanye yakupendezayo mama angu.

1. Unadhani kikombe/mateso anayopitia mzee Mbowe unaweza kuyapitia wewe binafsi?

2. Unadhani kumsingizia mtu kutaiponya nafsi yako mama angu mpendwa?

3. Unadhani familia ya mzee Mbowe haimuhitaji kama ambavyo ya kwako inakuhitaji?

4. Kama kweli wewe mzalendo kwanini unaogopa katiba mpya?

5. Kama kweli mbingu ipo unahisi utairithi kwa kufumbia macho mateso ya wenzio?

6. Je, Wewe nafsi yako inakwambiaje kuhusu kesi ya mzee mbowe?

Hili nalo lichukue mama.

Hivi unajua kinachoendelea kwenye vifaa vya ujenzi??? kama unajua,je? Unadhani maisha ya wtz umeyaboresha ili kuweza kumudu mfumuko wa bei ambao haujawahi kutokea kwa miaka 20??

Hii si yako.

IGP sirro kila nkitaka kuandika juu yako nashindwa mzee wangu,,hivi Mzee mbowe alikula nini chako umma ujue?? Mbona chuki yako dhidi yake inakuwa kubwa sana??

Mbona ulivyopewa maelekezo kumkamata gwajima uligoma??? Nahisi ulisimamia taaluma yako,,,Lkn inapokuja swala la Mbowe hujiulizi mara mbili bali unamshushia kikombe cha mateso haraka sana kuna nini kati yako na Mh.Mbowe???Mungu asikupungukie Mzee wangu Sirro ila unachokitenda sidhani kama kitakupa faraja.
Huo ni ujinga namba Moja ulioandika mbowe anapitia mateso kama malipo ya aliyoyafanya Tena ni madogo sana hayo aeleze alikowaficha kina saanane na aeleze kwanini alimsababishia kifo wangwe kisa Kila anayetaka uenyekiti wa chadema apotee? Mzee sumaye kaponea chupuchupu baada ya kutaka kugombea uenyekiti na kuambiwa sumu haionjwi yote hayo mtoa mada huyajui mpaka unamlaumu mama huyu mwenye upendo wa Hali ya juu aliyekula kuiponya nchi hebu peleka mada zako za kihuni sehemu nyingine wadanganye watu wasiomjuwa mbowe huyo ni gaidi zaidi ya osama
 
Binafsi mimi ni kijana mdogo sana. Naomba nisema Mh. Rais Samia shikamoo.

Mh. Rais nasikitishwa na mateso anayopitia mzee Mbowe kwa baraka za utawala wako,,,sikudhani wewe Mama ungukuja kuongeza mikanganyiko ya kisiasa nchini.

Naomba ujiulize maswali yafuatayo kisha ufanye yakupendezayo mama angu.

1. Unadhani kikombe/mateso anayopitia mzee Mbowe unaweza kuyapitia wewe binafsi?

2. Unadhani kumsingizia mtu kutaiponya nafsi yako mama angu mpendwa?

3. Unadhani familia ya mzee Mbowe haimuhitaji kama ambavyo ya kwako inakuhitaji?

4. Kama kweli wewe mzalendo kwanini unaogopa katiba mpya?

5. Kama kweli mbingu ipo unahisi utairithi kwa kufumbia macho mateso ya wenzio?

6. Je, Wewe nafsi yako inakwambiaje kuhusu kesi ya mzee mbowe?

Hili nalo lichukue mama.

Hivi unajua kinachoendelea kwenye vifaa vya ujenzi??? kama unajua,je? Unadhani maisha ya wtz umeyaboresha ili kuweza kumudu mfumuko wa bei ambao haujawahi kutokea kwa miaka 20??

Hii si yako.

IGP sirro kila nkitaka kuandika juu yako nashindwa mzee wangu,,hivi Mzee mbowe alikula nini chako umma ujue?? Mbona chuki yako dhidi yake inakuwa kubwa sana??

Mbona ulivyopewa maelekezo kumkamata gwajima uligoma??? Nahisi ulisimamia taaluma yako,,,Lkn inapokuja swala la Mbowe hujiulizi mara mbili bali unamshushia kikombe cha mateso haraka sana kuna nini kati yako na Mh.Mbowe???Mungu asikupungukie Mzee wangu Sirro ila unachokitenda sidhani kama kitakupa faraja.
Acha upumbavu wa hadharani wewe.
Kesi ipo mahakamani, yeye kausika vipi hapo kati??? Au hamjui mihimili ya utawala haipaswi kuingiliana, alaa! Shubamiiit
 
Binafsi mimi ni kijana mdogo sana. Naomba nisema Mh. Rais Samia shikamoo.

Mh. Rais nasikitishwa na mateso anayopitia mzee Mbowe kwa baraka za utawala wako,,,sikudhani wewe Mama ungukuja kuongeza mikanganyiko ya kisiasa nchini....
Dogo, Natamani kujua kiwango chako cha Elimu
 
Back
Top Bottom