Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,893
- 4,595
Ningetamani hoja zako hizi zikitane na mtu anaejitambua ili aweze kufanya upembuzi yakinifu.
Lakini kwa bahati mbaya unaelekeza hoja kwa mtu ambae hapo alipo ni kwa kudra tu za Mungu hajui lolote kuhusu hiyo nafasi aliyoipata kwa kudra.
Analoambiwa yeye ndio huliamini maana cha kupambanulia sioni kama anacho.
Kina sirro waliomlisha mbigiri za kwamba Mbowe ni gaidi wanamjua fika.
Hadi hapo watakapo fikiri vinginevyo na wamjulishe kwamba uchunguzi wetu wa kina umebaini tofauti na mawazo yetu ya nyuma. Mbowe siyo gaidi ndio hapo na mama nae utamsikia akisema Mbowe sii gaidi.
Sii gaidi kwa maana amejiridhisha bali tu kwamba ni kauli aliyolishwa.
Sarakasi za sirro ni kutaka kuficha uhuru wa haki ya kuhoji akijishtukia kama ikiwepo basi yeye ni mhanga wa mauaji yote yaliyofanywa kipindi cha Magu.
Hivyo ameamua kutotoa nafasi ya maridhiano lisijewepo suala la jopo la kimahakama kuchunguza madhila ya awamu iliyopita.
Lakini kwa bahati mbaya unaelekeza hoja kwa mtu ambae hapo alipo ni kwa kudra tu za Mungu hajui lolote kuhusu hiyo nafasi aliyoipata kwa kudra.
Analoambiwa yeye ndio huliamini maana cha kupambanulia sioni kama anacho.
Kina sirro waliomlisha mbigiri za kwamba Mbowe ni gaidi wanamjua fika.
Hadi hapo watakapo fikiri vinginevyo na wamjulishe kwamba uchunguzi wetu wa kina umebaini tofauti na mawazo yetu ya nyuma. Mbowe siyo gaidi ndio hapo na mama nae utamsikia akisema Mbowe sii gaidi.
Sii gaidi kwa maana amejiridhisha bali tu kwamba ni kauli aliyolishwa.
Sarakasi za sirro ni kutaka kuficha uhuru wa haki ya kuhoji akijishtukia kama ikiwepo basi yeye ni mhanga wa mauaji yote yaliyofanywa kipindi cha Magu.
Hivyo ameamua kutotoa nafasi ya maridhiano lisijewepo suala la jopo la kimahakama kuchunguza madhila ya awamu iliyopita.