paschal Burra
JF-Expert Member
- Jul 1, 2021
- 374
- 332
Mbona huongelei mateso wanaopitia mahabusu wote magerezani umemuona mbowe peke yake ndio binadamu anaeumia
Umeongea point sana ndugu yangu huyu jamaa anamlilia mbowe utafikiri baba yakeHuo ni ujinga namba Moja ulioandika mbowe anapitia mateso kama malipo ya aliyoyafanya Tena ni madogo sana hayo aeleze alikowaficha kina saanane na aeleze kwanini alimsababishia kifo wangwe kisa Kila anayetaka uenyekiti wa chadema apotee? Mzee sumaye kaponea chupuchupu baada ya kutaka kugombea uenyekiti na kuambiwa sumu haionjwi yote hayo mtoa mada huyajui mpaka unamlaumu mama huyu mwenye upendo wa Hali ya juu aliyekula kuiponya nchi hebu peleka mada zako za kihuni sehemu nyingine wadanganye watu wasiomjuwa mbowe huyo ni gaidi zaidi ya osama
Account za mbowe zimefunguliwa kipindi cha SSH.Binafsi mimi ni kijana mdogo sana. Naomba nisema Mh. Rais Samia shikamoo.
Mh. Rais nasikitishwa na mateso anayopitia mzee Mbowe kwa baraka za utawala wako, sikudhani wewe ungekuja kuongeza mikanganyiko ya kisiasa nchini.
Naomba ujiulize maswali yafuatayo kisha ufanye yakupendezayo mama angu.
1. Unadhani kikombe/mateso anayopitia mzee Mbowe unaweza kuyapitia wewe binafsi?
2. Unadhani kumsingizia mtu kutaiponya nafsi yako mama angu mpendwa?
3. Unadhani familia ya mzee Mbowe haimuhitaji kama ambavyo ya kwako inakuhitaji?
4. Kama kweli wewe mzalendo kwanini unaogopa katiba mpya?
5. Kama kweli mbingu ipo unahisi utairithi kwa kufumbia macho mateso ya wenzio?
6. Je, Wewe nafsi yako inakwambiaje kuhusu kesi ya mzee mbowe?
Hili nalo lichukue mama.
Hivi unajua kinachoendelea kwenye vifaa vya ujenzi? kama unajua, je, Unadhani maisha ya Watanzania umeyaboresha ili kuweza kumudu mfumuko wa bei ambao haujawahi kutokea kwa miaka 20?
Hii si yako.
IGP sirro kila nikitaka kuandika juu yako nashindwa mzee wangu, hivi Mzee Mbowe alikula nini chako umma ujue? Mbona chuki yako dhidi yake inakuwa kubwa sana?
Mbona ulivyopewa maelekezo kumkamata Gwajima uligoma? Nahisi ulisimamia taaluma yako, lakini inapokuja swala la Mbowe hujiulizi mara mbili bali unamshushia kikombe cha mateso haraka sana kuna nini kati yako na Mbowe? Mungu asikupungukie Mzee wangu Sirro ila unachokitenda sidhani kama kitakupa faraja.
Haki kwa maoni ya mtu au kwa mujibu wa sheria?YALIYOPO MAHAKAMANI TUJIFUNZE KUYAHESHIMU
Kesi itachakatwa kwa Shahid za upande zote,hatimaye HAKI itapatikana.
Wakati unaongelea mapato halali ya chadema, mapato ya dhuluma ya ccm unayaweka wapi?Usijifanye unazijua sana siasa kijana.
Watu wanaovamia siasa kwa mihemko ndio wanaishia kama kina Ben Saanane, Alphonce Mawazo, Lissu.
Vijana mihemko wa CHADEMA mnamwonaga Mbowe kama mungu, eti ni mkombozi, anajitolea, anapambania wanyonge sijui nini ???
CHADEMA mwaka 2010-15 ilikuwa inapata ruzuku zaidi ya Tsh 300M kwa miaka mitano.
Na baada ya 2015-20 baada ya wimbi la Mamvi, ikaanza kupata ruzuku ya Tsh 400M kila mwezi kwa miaka mitano.
Wabunge wote wa CHADEMA ni lazima kukichangia chama.
CHADEMA ekuwa ikipokea misaada kutoka chama rafiki kutoka Ujerumani cha CDU.
Lakini sasa hivi CHADEMA ina nini?
Ukitoa vile vigali vya PR?
Ndani ya hii miaka 10 tulichoshuhudia ni Mbowe kufungua mabiashara mapya DUBAI.
Hivi ninyi vijana mihemko mnadhani watu wote ni wajinga?
yaani hayo mkuu nimachache tu mbowe kawala sana hao wanaodemkia chagadema alifikia mpaka kula wakina dada wabunge wa viti maalumu madaraka yalimlevya halafu anatokea mtu anamuona mbowe kama malaika hana makosa yaani hakoseagi uchafu mtupu MBOWE NI GAIDI TUUsijifanye unazijua sana siasa kijana.
Watu wanaovamia siasa kwa mihemko ndio wanaishia kama kina Ben Saanane, Alphonce Mawazo, Lissu.
Vijana mihemko wa CHADEMA mnamwonaga Mbowe kama mungu, eti ni mkombozi, anajitolea, anapambania wanyonge sijui nini ???
CHADEMA mwaka 2010-15 ilikuwa inapata ruzuku zaidi ya Tsh 300M kwa miaka mitano.
Na baada ya 2015-20 baada ya wimbi la Mamvi, ikaanza kupata ruzuku ya Tsh 400M kila mwezi kwa miaka mitano.
Wabunge wote wa CHADEMA ni lazima kukichangia chama.
CHADEMA ekuwa ikipokea misaada kutoka chama rafiki kutoka Ujerumani cha CDU.
Lakini sasa hivi CHADEMA ina nini?
Ukitoa vile vigali vya PR?
Ndani ya hii miaka 10 tulichoshuhudia ni Mbowe kufungua mabiashara mapya DUBAI.
Hivi ninyi vijana mihemko mnadhani watu wote ni wajinga?
Sabaya ni jambazi wazi wazi angekuwa hajatenda ningemtetea vile vileMbona huongelei mateso anayopitia Sabaya au makosa yake nini kuwa mteule wa Magufuli
Don't personalize this issue - magereza na mahakama vimekuwepo miaka mingi sana! Hivyo usidhani zimejengwa kwa nia ya kusubiri kumtesa Mbowe! Mbowe anafuata mkondo uleule wa watu wote wenye tuhuma ambao lazima polisi na mahakama vihusike. Akipatikana hana hatia ataachiwa. Na mbona mahakama zetu zina tenda haki - rejea kesi ya Sibaya.Binafsi mimi ni kijana mdogo sana. Naomba nisema Mh. Rais Samia shikamoo.
Mh. Rais nasikitishwa na mateso anayopitia mzee Mbowe kwa baraka za utawala wako, sikudhani wewe ungekuja kuongeza mikanganyiko ya kisiasa nchini.
Naomba ujiulize maswali yafuatayo kisha ufanye yakupendezayo mama angu.
1. Unadhani kikombe/mateso anayopitia mzee Mbowe unaweza kuyapitia wewe binafsi?
2. Unadhani kumsingizia mtu kutaiponya nafsi yako mama angu mpendwa?
3. Unadhani familia ya mzee Mbowe haimuhitaji kama ambavyo ya kwako inakuhitaji?
4. Kama kweli wewe mzalendo kwanini unaogopa katiba mpya?
5. Kama kweli mbingu ipo unahisi utairithi kwa kufumbia macho mateso ya wenzio?
6. Je, Wewe nafsi yako inakwambiaje kuhusu kesi ya mzee mbowe?
Hili nalo lichukue mama.
Hivi unajua kinachoendelea kwenye vifaa vya ujenzi? kama unajua, je, Unadhani maisha ya Watanzania umeyaboresha ili kuweza kumudu mfumuko wa bei ambao haujawahi kutokea kwa miaka 20?
Hii si yako.
IGP sirro kila nikitaka kuandika juu yako nashindwa mzee wangu, hivi Mzee Mbowe alikula nini chako umma ujue? Mbona chuki yako dhidi yake inakuwa kubwa sana?
Mbona ulivyopewa maelekezo kumkamata Gwajima uligoma? Nahisi ulisimamia taaluma yako, lakini inapokuja swala la Mbowe hujiulizi mara mbili bali unamshushia kikombe cha mateso haraka sana kuna nini kati yako na Mbowe? Mungu asikupungukie Mzee wangu Sirro ila unachokitenda sidhani kama kitakupa faraja.
Rudia tena kusoma ushauri wangu hapo juu; mambo sio marahsi hivyo kama unavyofikiriAsante ila bado napinga Mbowe kuonewa!! Hata wewe ukionewa ntakataa
Is CHADEMA a "cult" and Mbowe a leader of that "cult". The way some individuals portray Mbowe it is as he is semigod leader of a cult. These individuals remind me Joseph Kibweteere, who was responsible for the death of over 1000 Ugandans. They also remind of James Warren Jones who was ordered over 900 his fellow American followers to kool aid ( cyanide-laced punch) and they followed without question: Jonestown: 13 Things You Should Know About Cult MassacreMaandishi yako haya mleta mada nimeyasoma mpk machozi yamenitoka.
Hakika nakuhakikishia laana zitawashukia wale wote uliowataja ktk mada hii na watajuta muda si mrefu.
Nothing goes unpaid.
Ni Imani yangu kuwa hapendi haya yaliyotokea na yanayo endelea ila mfumo uliokuwepo na jinsi ulivyokuwa umejijenga ndipo ilipo shida, najuaa anajua yanayoendelea hayapo sawa, anafanyaje, ila pia Kuna Ile kuonja mamlaka huku yakipambwa na wenye agenda zao binafsi ili kufanikisha malengo Yao binafsi.
Kujidanganyaje Kwa mfano.Unajidanganya sana mkuu.