Rais Samia, nasikitishwa na mateso anayopitia Mbowe katika utawala wako

Mbona huongelei mateso wanaopitia mahabusu wote magerezani umemuona mbowe peke yake ndio binadamu anaeumia
 
Huo ni ujinga namba Moja ulioandika mbowe anapitia mateso kama malipo ya aliyoyafanya Tena ni madogo sana hayo aeleze alikowaficha kina saanane na aeleze kwanini alimsababishia kifo wangwe kisa Kila anayetaka uenyekiti wa chadema apotee? Mzee sumaye kaponea chupuchupu baada ya kutaka kugombea uenyekiti na kuambiwa sumu haionjwi yote hayo mtoa mada huyajui mpaka unamlaumu mama huyu mwenye upendo wa Hali ya juu aliyekula kuiponya nchi hebu peleka mada zako za kihuni sehemu nyingine wadanganye watu wasiomjuwa mbowe huyo ni gaidi zaidi ya osama
Umeongea point sana ndugu yangu huyu jamaa anamlilia mbowe utafikiri baba yake
 
Binafsi mimi ni kijana mdogo sana. Naomba nisema Mh. Rais Samia shikamoo.

Mh. Rais nasikitishwa na mateso anayopitia mzee Mbowe kwa baraka za utawala wako, sikudhani wewe ungekuja kuongeza mikanganyiko ya kisiasa nchini.

Naomba ujiulize maswali yafuatayo kisha ufanye yakupendezayo mama angu.

1. Unadhani kikombe/mateso anayopitia mzee Mbowe unaweza kuyapitia wewe binafsi?

2. Unadhani kumsingizia mtu kutaiponya nafsi yako mama angu mpendwa?

3. Unadhani familia ya mzee Mbowe haimuhitaji kama ambavyo ya kwako inakuhitaji?

4. Kama kweli wewe mzalendo kwanini unaogopa katiba mpya?

5. Kama kweli mbingu ipo unahisi utairithi kwa kufumbia macho mateso ya wenzio?

6. Je, Wewe nafsi yako inakwambiaje kuhusu kesi ya mzee mbowe?

Hili nalo lichukue mama.

Hivi unajua kinachoendelea kwenye vifaa vya ujenzi? kama unajua, je, Unadhani maisha ya Watanzania umeyaboresha ili kuweza kumudu mfumuko wa bei ambao haujawahi kutokea kwa miaka 20?

Hii si yako.

IGP sirro kila nikitaka kuandika juu yako nashindwa mzee wangu, hivi Mzee Mbowe alikula nini chako umma ujue? Mbona chuki yako dhidi yake inakuwa kubwa sana?

Mbona ulivyopewa maelekezo kumkamata Gwajima uligoma? Nahisi ulisimamia taaluma yako, lakini inapokuja swala la Mbowe hujiulizi mara mbili bali unamshushia kikombe cha mateso haraka sana kuna nini kati yako na Mbowe? Mungu asikupungukie Mzee wangu Sirro ila unachokitenda sidhani kama kitakupa faraja.
Account za mbowe zimefunguliwa kipindi cha SSH.
SSH alikua tayari kukutana na upinzani, ajabu wakaanza kumtukana na kumtisha..
Nasikia mbowe hata simu aligoma kupokea,,,
Kesi inayomuweka mbowe ndani ni kesi iliyokuwa imetokea enzi za JPM,,, maana yake SSH hawezi kuingilia mahakama, ni kinyume cha sheria,, japo angetaka angeweza kutumia influence yake yakaisha, lakini anawezaje wakati kutwa mnamtukana na kumtolea maneno ya vijembe?, Hata mimi ningekuwa ningefumba macho tu,
Jifunzeni kuwa wastaarabu kwanza, SSH ni mtu amelelewa katika dini na maadili mema hawezi kuonea mtu ,,,
Mbowe huko aliko hateseki wala nini,, ndo maana yuko tu na afya nzuri,,
Chungeni kauli zenu
 
Usijifanye unazijua sana siasa kijana.

Watu wanaovamia siasa kwa mihemko ndio wanaishia kama kina Ben Saanane, Alphonce Mawazo, Lissu.

Vijana mihemko wa CHADEMA mnamwonaga Mbowe kama mungu, eti ni mkombozi, anajitolea, anapambania wanyonge sijui nini ???

CHADEMA mwaka 2010-15 ilikuwa inapata ruzuku zaidi ya Tsh 300M kwa miaka mitano.

Na baada ya 2015-20 baada ya wimbi la Mamvi, ikaanza kupata ruzuku ya Tsh 400M kila mwezi kwa miaka mitano.

Wabunge wote wa CHADEMA ni lazima kukichangia chama.

CHADEMA ekuwa ikipokea misaada kutoka chama rafiki kutoka Ujerumani cha CDU.

Lakini sasa hivi CHADEMA ina nini?

Ukitoa vile vigali vya PR?

Ndani ya hii miaka 10 tulichoshuhudia ni Mbowe kufungua mabiashara mapya DUBAI.

Hivi ninyi vijana mihemko mnadhani watu wote ni wajinga?
Wakati unaongelea mapato halali ya chadema, mapato ya dhuluma ya ccm unayaweka wapi?
 
Usijifanye unazijua sana siasa kijana.

Watu wanaovamia siasa kwa mihemko ndio wanaishia kama kina Ben Saanane, Alphonce Mawazo, Lissu.

Vijana mihemko wa CHADEMA mnamwonaga Mbowe kama mungu, eti ni mkombozi, anajitolea, anapambania wanyonge sijui nini ???

CHADEMA mwaka 2010-15 ilikuwa inapata ruzuku zaidi ya Tsh 300M kwa miaka mitano.

Na baada ya 2015-20 baada ya wimbi la Mamvi, ikaanza kupata ruzuku ya Tsh 400M kila mwezi kwa miaka mitano.

Wabunge wote wa CHADEMA ni lazima kukichangia chama.

CHADEMA ekuwa ikipokea misaada kutoka chama rafiki kutoka Ujerumani cha CDU.

Lakini sasa hivi CHADEMA ina nini?

Ukitoa vile vigali vya PR?

Ndani ya hii miaka 10 tulichoshuhudia ni Mbowe kufungua mabiashara mapya DUBAI.

Hivi ninyi vijana mihemko mnadhani watu wote ni wajinga?
yaani hayo mkuu nimachache tu mbowe kawala sana hao wanaodemkia chagadema alifikia mpaka kula wakina dada wabunge wa viti maalumu madaraka yalimlevya halafu anatokea mtu anamuona mbowe kama malaika hana makosa yaani hakoseagi uchafu mtupu MBOWE NI GAIDI TU
 
Binafsi toka uchaguzi mkuu 2020 kuisha kwa staili yake nafsi yangu ilipata huzuni kuu. Roho wa Mungu aliniambia kuwa miaka 5 inayofuata (2021 - 2025) Ni wakati wa Mungu muumba Mbingu na nchi kutenda. Nina imani kubwa sana na Mungu ninayemwamini kuwa tunakwenda kushuhudia matendo yake makuu.

Niwaambie Watanzania wenzangu kuwa hiki sio kipindi cha kuhuzunika wala kuogopo, ni kipindi cha kutoa sadaka za shukrani.
Kuna makubwa yanakwenda kutokea na kutendeka ndani ya nchi hii.

Kila mwenye pumzi na aseme Amen.


#Wacha inyeshe tuone panapovuja
#Mwenye kudhulumu na aendelee kudhulumu.
#Mwenye kutenda haki na aendelee kutenda haki.
#Waliozoeya kuiba kura na waendelee kuiba
 
Binafsi mimi ni kijana mdogo sana. Naomba nisema Mh. Rais Samia shikamoo.

Mh. Rais nasikitishwa na mateso anayopitia mzee Mbowe kwa baraka za utawala wako, sikudhani wewe ungekuja kuongeza mikanganyiko ya kisiasa nchini.

Naomba ujiulize maswali yafuatayo kisha ufanye yakupendezayo mama angu.

1. Unadhani kikombe/mateso anayopitia mzee Mbowe unaweza kuyapitia wewe binafsi?

2. Unadhani kumsingizia mtu kutaiponya nafsi yako mama angu mpendwa?

3. Unadhani familia ya mzee Mbowe haimuhitaji kama ambavyo ya kwako inakuhitaji?

4. Kama kweli wewe mzalendo kwanini unaogopa katiba mpya?

5. Kama kweli mbingu ipo unahisi utairithi kwa kufumbia macho mateso ya wenzio?

6. Je, Wewe nafsi yako inakwambiaje kuhusu kesi ya mzee mbowe?

Hili nalo lichukue mama.

Hivi unajua kinachoendelea kwenye vifaa vya ujenzi? kama unajua, je, Unadhani maisha ya Watanzania umeyaboresha ili kuweza kumudu mfumuko wa bei ambao haujawahi kutokea kwa miaka 20?

Hii si yako.

IGP sirro kila nikitaka kuandika juu yako nashindwa mzee wangu, hivi Mzee Mbowe alikula nini chako umma ujue? Mbona chuki yako dhidi yake inakuwa kubwa sana?

Mbona ulivyopewa maelekezo kumkamata Gwajima uligoma? Nahisi ulisimamia taaluma yako, lakini inapokuja swala la Mbowe hujiulizi mara mbili bali unamshushia kikombe cha mateso haraka sana kuna nini kati yako na Mbowe? Mungu asikupungukie Mzee wangu Sirro ila unachokitenda sidhani kama kitakupa faraja.
Don't personalize this issue - magereza na mahakama vimekuwepo miaka mingi sana! Hivyo usidhani zimejengwa kwa nia ya kusubiri kumtesa Mbowe! Mbowe anafuata mkondo uleule wa watu wote wenye tuhuma ambao lazima polisi na mahakama vihusike. Akipatikana hana hatia ataachiwa. Na mbona mahakama zetu zina tenda haki - rejea kesi ya Sibaya.
 
Maandishi yako haya mleta mada nimeyasoma mpk machozi yamenitoka.

Hakika nakuhakikishia laana zitawashukia wale wote uliowataja ktk mada hii na watajuta muda si mrefu.

Nothing goes unpaid.
Is CHADEMA a "cult" and Mbowe a leader of that "cult". The way some individuals portray Mbowe it is as he is semigod leader of a cult. These individuals remind me Joseph Kibweteere, who was responsible for the death of over 1000 Ugandans. They also remind of James Warren Jones who was ordered over 900 his fellow American followers to kool aid ( cyanide-laced punch) and they followed without question: Jonestown: 13 Things You Should Know About Cult Massacre
.
 
Ni Imani yangu kuwa hapendi haya yaliyotokea na yanayo endelea ila mfumo uliokuwepo na jinsi ulivyokuwa umejijenga ndipo ilipo shida, najuaa anajua yanayoendelea hayapo sawa, anafanyaje, ila pia Kuna Ile kuonja mamlaka huku yakipambwa na wenye agenda zao binafsi ili kufanikisha malengo Yao binafsi.

Unajidanganya sana mkuu.
 
Back
Top Bottom