Maneno Meier
JF-Expert Member
- May 12, 2013
- 2,469
- 1,697
- Thread starter
- #681
Wamekulla pesa zetu. Asitudanye. Tunataka teen macho ya machina . Muhunda wa ndege. Sio kama za Kenya
Wamekulla pesa zetu. Asitudanye. Tunataka teen macho ya machina . Muhunda wa ndege. Sio kama za Kenya
Dada kasema pesa kidogo. Na miradi mingi sana. Dada bwana...Dah nguvu zimeniishia! Kama hayo ma design ya karne ya 19 ndio Kodi zetu zinaenda nunua! Moyo wangu hauna amani kabisa! Nilikuwa na matumaini makubwa sana! Kuona vitu vya kisasa Kama kule China, Europe! Mtoa mada nimekata tamaa kama wewe!
Mwambie dada kuwa wafanya biashara sio watu wa kuwachekea na kuwanyenyekea. Mfanya biashara yeyote yule hataki kulipa kodi. Na ndiyo maana wakina Bezos na matajiri wengine wanaziacha products zao ziwe manufactured Asia na kwingine kwenye unafuu wa kodi na Mishahara kuliko Amerika na Europe.Dada kasema pesa kidogo. Na miradi mingi sana. Dada bwana...
Mkali kuliko marehemu KAKA. Shauri yakoMwambie dada kuwa wafanya biashara sio watu wa kuwachekea na kuwanyenyekea. Mfanya biashara yeyote yule hataki kulipa kodi. Na ndiyo maana wakina Bezos na matajiri wengine wanaziacha products zao ziwe manufactured Asia na kwingine kwenye unafuu wa kodi na Mishahara kuliko Amerika na Europe.