Mna roho mbaya sana ndio maana hamwendeleiSiku utakapo hitaji kitu ukaambiwa kinamilikiwa na wachavhe na wewe ukakosa na kuwa kama mgeni kwenye nchi yako ndo ukae kimya usirudi kugomba humu
Vigezo lazima vizingatiwe
Mna roho mbaya sana ndio maana hamwendeleiSiku utakapo hitaji kitu ukaambiwa kinamilikiwa na wachavhe na wewe ukakosa na kuwa kama mgeni kwenye nchi yako ndo ukae kimya usirudi kugomba humu
Vigezo lazima vizingatiwe
Mama kumbe anamsomaga kigogooo... leo ndo nimejua..Rais Samia Suluhu Hassan amesema anakwenda kufungua Nchi akisema, "Mmekuwa mkinitukana sana kwenye mitandao! Unakwenda kubomoa yaliyojengwa kwa muda mrefu".
Akizungumza na Wafanyabiashara wa Tanzania Nchini Kenya Mei 05, 2021 Rais amesema anaamini hakuna Nchi inayoendelea ikiwa peke yake.
Ameeleza, anajiandaa kufanya mkutano na Sekta Binafsi kuzungumzia kero mbalimbali zikiwemo za Kodi, Vibali vya Kazi (Work Permits), kuchelewa kupata ardhi kwenye Uwekezaji ili kuona namna ya kuziondoa.
Rais amesema maeneo ya kujenga Uchumi yapo lakini mchakato umekuwa ukienda polepole, akitolea mfano eneo la "Industrial Parks" alilosema haoni sababu kwanini zinazuiwa.
Msikilize hapa:
Mbona amesema na sheria zitabadilishwa au hukusikia?She is hopeless and one term president!Badala ya kujishughulisha na kufuta zile sheria kandamizi za uwekezaji za mambo ya task force na kadhalika ambazo alizitunga yeye pamoja na Magufuli anaongea vitu ambavyo ni non-sense.
Hakuna mwekezaji ambae atarudi kuwekeza Tanzania kwa sheria zile!Nchi ilifungwa kwa sheria kandamizi za uwekezaji kwa hiyo inapaswa kufunguliwa kwa kufutwa sheria hizo kandamizi.
achana nalo... fafanua; "hatutakaa tuinuke tena"; kama lini tuliwahi kuinuka?
Kama kuwa hovyo ni kuwa na hela mfukoni, wacha iwe ya hovyo. Nendeni kaburini kwa baba yenu mkalie huko. Sisi tupo na mama mpaka 2035Kama hatukuwahi kuinuka, basi tutakwenda chini zaidi.
Maana anayoyafanya leo, JK aliyafanya miaka 10 na nchi ikawa ya hovyo kabisa.
wasukuma mnataka tuishi kama masheitwani eh? mna roho za kichawi hamtaki watu wapate neema. hoyeda afka ka woosKama hatukuwahi kuinuka, basi tutakwenda chini zaidi.
Maana anayoyafanya leo, JK aliyafanya miaka 10 na nchi ikawa ya hovyo kabisa.
Sadists. Wana roho za kimasikini hasa punda hawaMataga na jiwe wao ni ibilisi hasa. Wao kwa Watanzania kuwa na furaha ni huzuni kwao. Mashetani hasa hawa.
Huu ubinafsishaji haukua na weledi, ndo mana viwanda vingine walijibinafsishia na kushindwa kuviendeleza ,na wengi walijibinafsishia walikuwa hawana mitaji ,Walisema historia hiwa inajirudia. Sasa alianza Nyerere, watu wakawa wananunua kwa foleni. Wahujumu uchumi wakawindwa. Uchumi ukawa kama umedumaa. Akaja Mwinyi akafungulia 'ruksa'. Mambo yakapoa. Akaja Mkapa akabinafsisha na kuweka misingi fulani sawa kama vile malaka za umma. Akaja JK, ila sijajua alifanya nini hasa. Pengine alifanya mengi sana ila hakuwa anajitangaza huyu. Kisha akaja bulldoza. Kabana sana uchumi hadi watu wakalia na kufariki. Sasa kaja Samia anabanua uchumi na watu wanafurahi
Nyie watu mnaomuabudi jiwe nataka mnipe Takwimu JK ndani ya miaka mitao ya kwanza 2005 hadi 2010 alikuza uchumi kwa asilimia ngapi na alikopa kiasi gani, na Magufuli kwa miaka yake 5 ya kwanza alikuza kwa asilimia ngapia na alikopa kiasi gani. Kama hatukuwahi kuinuka, basi tutakwenda chini zaidi.
Maana anayoyafanya leo, JK aliyafanya miaka 10 na nchi ikawa ya hovyo kabisa.
Aendelee tu kuwadharau na majibu yake atayapata 2025.kama mnajidanganya kwamba kilichotokea kwenye msiba wa JPM kilikuwa ni maigizo mkawapuuza Watanzania masikini mkawa bize na hao 'wawekezaji'majibu mtayapata next electionMama wacha achape kazi, hao watoto wa marehemu wanaosumbuliwa na jinamizi LA baba yao asiwasikilize awapuuze ajue sisi wanae tuna matumaini makubwa sana na yeye. Hao lengo lao wanataka kumtoa kwenye reli ili asitufikishe nchi ya ahadi.
Hauna akili wewe, mama kafanya jambo gani la maana mpaka sasa ebu tuambie, acheni ushabiki vitumbua ata kama milikuwa mnamchukia mwendazake lakini hisiwe kwa kiwango hicho.Mama kwa miezi miwili hii amefanya mambo mengi yaliyomshinda JPM kwa miaka mitano.
Unazani hao CCM wana akili wamesahau mwaka 2015 ccm ilikuwa imekufa lakini huyo mwendazake ndio aliyeinua li chama lao lakini wamemsahau, ngoja tusubiri muda utasema.Aendelee tu kuwadharau na majibu yake atayapata 2025.kama mnajidanganya kwamba kilichotokea kwenye msiba wa JPM kilikuwa ni maigizo mkawapuuza Watanzania masikini mkawa bize na hao 'wawekezaji'majibu mtayapata next election
kama ccm leo wameamua kwa makusudi mazima ya kumpuuza mtu aliyewanusuru 2015 na kujiona sasa ni muda wa kuirudisha nchi kule kulipowafanya wakachukiwa then waendelee tu majibu watayapata. Yaani hata akili ya kujiongeza wameishiwa kabisa, Léo rais anayetokana na ccm wanaopiga matarumbeta ya kushangilia ni wapinzani wenu kisiasa..... yaani ghafla tu wapinzani wameipenda ccm na nyie kama mazoba mmeunga tela kushangilia !!!
kumbe tatizo lako ni hela tu.Kama kuwa hovyo ni kuwa na hela mfukoni, wacha iwe ya hovyo. Nendeni kaburini kwa baba yenu mkalie huko. Sisi tupo na mama mpaka 2035
Akifungua fursa, kila mtu atapata hela. We unataka nini? Ok.. utakuwa unapenda vitu kama Magu, Basi ngoja tukupe uwanja wa chatokumbe tatizo lako ni hela tu.
lini mama ataanza kutoa hela
vitu ni pesa ila pesa si wakati wote inakuwa vitu.Akifungua fursa, kila mtu atapata hela. We unataka nini? Ok.. utakuwa unapenda vitu kama Magu, Basi ngoja tukupe uwanja wa chato
tunamchukia kama alivyokuwa anatuchukia watanzania kwa kutuletea magaidi wasiojulikanaHauna akili wewe, mama kafanya jambo gani la maana mpaka sasa ebu tuambie, acheni ushabiki vitumbua ata kama milikuwa mnamchukia mwendazake lakini hisiwe kwa kiwango hicho.