Rais Samia, nakuomba rekebisha jeshi la polisi kwani uonevu umezidi

Muache kuishi kwa uhalifu na ujanja ujanja ili hayo mambo yaishe pili ukikamatwa ni haki yako kufikishwa mahakamani ili ukapate haki yako sasa nyie mkifanya yenu mnawashawishi hao watu msifikishwe mahakamani mnaogopa mvua, ushauri wangu kwa wahusika raia akikanyaga hapo peleka mahakamani msiwakilize watu kama mtoa mada baadae wanawachafua sana kwenye mitandao ya kijamii.
Siyo kila anayekamatwa anakuwa amevunja sheria yoyote.
Hilo lieleweke fika.
Kwanza si kila polisi anaijua sheria , hilo la pili.
Tatu , siyo siri, watu wanakamatwa kisiasa, na ndio maana kuna kesi nyingi tu za kubambikwa au kukomoana.
Kukataa kwamba hilo halipo atika jeshi la polisi ni kuukataa ukweli.
 
Tatizo lipo kwenye qualifications zinazotakiwa kuwa-recruit watu kuingia jeshi la polisi, kuna vijana wengi sana wamehitimu ngazi ya diploma na shahada, lakini unakuta jeshi limejaa watu wenye vyeti vya kidato cha nne tena feki, sijui unategemea nini hapo.
Mkuu hata wakiajiliwa hao wenye diploma na degree sijui kama polisi hao watabadilika niliwahi tembelea Udom nikaingia chooni baada ya kubanwa haja nilikuta wenye degree wamepiga machata kuta Kwa kinyesi sasa labda waajili ma Dr.
 
Jamaa zangu wa pande za Mbweni leo usiku wamezisikia risasi nyingi tu zikipigwa, muda huu wanasubiria habari za kilichotokea wakiwa na hofu ya kutisha.

Rais Samia watu wanamkumbuka JPM kwa jinsi alivyoweza kuwatia adabu hawa majambazi, sasa naona wameirudia kazi yao ya zamani wakiwa na kujiamini.

Rais usikubali watu wakaendelea kusema ungekuwa wakati wa JPM, ni dalili za mamlaka yako kuonekana kama vile hayana nguvu.
 
Nakuhakikishia ndugu mheshimiwa Rais ukiitisha kura ya maoni juu ya imani kwa Hili jeshi Basi asilimia Zaidi ya 70 ya wananchi watasema hawana Imani kabisa na jeshi ke polisi kwa sababu kuingia ndani kituoni ni bure na kutoka lazima utoe posho au ndo wanavyofundishwa huko CCP Kwamba watuchangamshe raia kwa kututoka chochote kitu.
  1. Hayati Mwl J K Nyerere alijitahidi akashindwa
  2. Mzee Ruxa naye alishindwa
  3. Hayati B W Mkapa naye hakuweza hata chembe
  4. Mkwere kadhalika hakuweza
  5. Mwendazake pamoja na ukali wake akaona akubali yaishe akasema wasafishie viatu
  6. Sijui kama Mama ataona ukweli wa adha hii
 
Jamaa zangu wa pande za Mbweni leo usiku wamezisikia risasi nyingi tu zikipigwa, muda huu wanasubiria habari za kilichotokea wakiwa na hofu ya kutisha.

Rais Samia watu wanamkumbuka JPM kwa jinsi alivyoweza kuwatia adabu hawa majambazi, sasa naona wameirudia kazi yao ya zamani wakiwa na kujiamini.

Rais usikubali watu wakaendelea kusema ungekuwa wakati wa JPM, ni dalili za mamlaka yako kuonekana kama vile hayana nguvu.
Polisi wapewe fungu wakomeshe huu ujambazi.
 
Siyo kila anayekamatwa anakuwa amevunja sheria yoyote.
Hilo lieleweke fika.
Kwanza si kila polisi anaijua sheria , hilo la pili.
Tatu , siyo siri, watu wanakamatwa kisiasa, na ndio maana kuna kesi nyingi tu za kubambikwa au kukomoana.
Kukataa kwamba hilo halipo atika jeshi la polisi ni kuukataa ukweli.
Hapana mkuu unaposema sio kila polisi anaijua sheria unakosea mafunzo ya usimamizi wa sheria wanapata pamoja sema shida yako unaamini cdm ndio wanajua sheria peke yao wakati wengi watungaji wa skendo na fitina nyingi na kuaminisha kuna watu hawajui sheria.
 
Natambua wanafanya kazi kubwa lakini hii dosari ya wao kuomba rushwa waziwazi inapaswa ikemewe na wewe Ili wananchi tuwe vifua mbele hata kutuomba rushwa wataogopa.

Hawa ndio mojawapo ya kundi la watendaji wanaochafuaga taswira ya viongozi wanasiasa mpaka wanaonekana wabaya.

Nakuhakikishia ndugu mheshimiwa Rais ukiitisha kura ya maoni juu ya imani kwa Hili jeshi Basi asilimia Zaidi ya 70 ya wananchi watasema hawana Imani kabisa na jeshi ke polisi kwa sababu kuingia ndani kituoni ni bure na kutoka lazima utoe posho au ndo wanavyofundishwa huko CCP Kwamba watuchangamshe raia kwa kututoka chochote kitu.
Hapa TAKUKURU huwezi kuwaona
 
Hapana mkuu unaposema sio kila polisi anaijua sheria unakosea mafunzo ya usimamizi wa sheria wanapata pamoja sema shida yako unaamini cdm ndio wanajua sheria peke yao wakati wengi watungaji wa skendo na fitina nyingi na kuaminisha kuna watu hawajui sheria.
Mimi CCM tena kada, ila si mnafiki.
Unafiki wa utkelezaji sera na viongozi walio CCM wengine hawanyanyui mdomo kukosoa maovu.

Magufuli kafanya madudu mengi wao kimya.
 
Jeshi la Polisi lina wasomi wengi sana.
Hivyo kudhani wasomi ndo wanatenda yanayokufurahisha ni Upumbavu.
Nyie ndio naita wajinga wajinga mliosoma lakini hamkuelimika kiakili.

Pamoja ya ulivyo, unaonekana unashinda vibanda vya waganga wa kienyeji, ukiagua hata ukipata homa ya malaria.

Kama huelewi kuwa usomi ni Mwanga wa kuelewa na kureason, na si kufukuza kila unayemwona kwa virungu, basi huna tofauti na kile machinga wasio na vyoo wanaacha mtaroni, excreta.
 
Back
Top Bottom