Ni kweli mkuu, maana matumizi ya serikali yanaliwa kwa urefu wa kamba ya mlaji. Safi sana.Kama unafikira hivyo inaonyesha ni jinsi gani hujui matumizi ya pesa za serikali.
Hukuona umuhimu wa kwenda Zanzibar ? Kumbe sikuhizi Qatar Airways inatua Dodoma ?Rais Samia leo jioni alitoka Dodoma na kuagwa na viongozi wa Kitaifa akielekea Ufaransa, taarifa ya Ikulu ilisema hivyo.
Kumbe alipaa na kwenda zake Zanzibar kuaga kwao, kisha ndio akapaa kuelekea Ufaransa.
Binafsi sijaona umuhimu wa Rais kwenda Zanzibar ilhali Rais wa Zanzibar nae alikuwepo Dodoma, hayo ni matumizi mabaya ya kodi zetu!
View attachment 2114128
The lights are on but nobody's home and Not nobody is home.Hiyo ni idiom. Huwezi kuelewa .Jifunze kiingereza kabla hujajifanya kukosoa.Na huwezi kuileta nusu inakuwa haileti maana.Sikulaumu tuition zipo nyingi kajiongeze.
Hiyo nobody's home ni kifupi cha nobody is home.The lights are on but nobody's home and Not nobody is home.
Uwe unasoma na kuelewa vizuri, inaonekana walimu waki walipata sana tabuKwa hili la kusafiri namuunga mkono Hangaya , maana wakati wa mwendazake watu waliponda sana ooh mgonjwa mara anaogopa ndege etc. Kwenye hili muacheni asafiri na atafute connections haiwezekani mtu ujifungie ndani tu Tanzania sio kisiwa, aupige tu mwingi kama alivyokua baba JK kwa ni shing ngapi bana , tuwe na appreciation wakati mwingine, hata angekua hasafiri mgesema pia
Haya wahi clinic, usisahau kubeba ukwaju na maembe mabichi na kopo lako la kutemea mateNongwa za watanzania hazina tofauti na zile za waingereza, ni zile zile tu. Kwenda Zanzibar limekuwa kosa la kuandikiwa uzi!!.
Hizi akili za kimaskini.
Kichwa chako ni kama begi la kubebea menoMbona jiwe alivyoenda kujenga kwao na kuteua wa kwao hamkutoka na kusema.....Tulieni dawa iwaingie.....Mwacheni mama afanye anachojua..mkitaka subirini na nyie mkipata nafasi mfanye vile mnaona ni sahihi, mbali na hapo MWACHENI MAMA
Mnapoishiwa hoja mnakimbilia matusi kama vile yanauzwa.Haya wahi clinic, usisahau kubeba ukwaju na maembe mabichi na kopo lako la kutemea mate
Try to talk sense to a fool and he will call you foolish.Mnapoishiwa hoja mnakimbilia matusi kama vile yanauzwa.