Rais Samia na CCM wakumbushwe historia kama hawajui haya yalitokea

Lituye

JF-Expert Member
Dec 27, 2015
1,862
5,679
Samia akumbushwe kuwa mwaka 1997 aliyekuwa Rais wa Zambia Keneth Kaunda ambaye alihisi Chama chake kitatawala milele na kuwanyanyasa wapinzani wake alikamatwa na kuwekwa gerezani huko Zambia. Kaunda aligoma kula na kunywa akiwa gerezani baada ya kuonjeshwa sehemu ndogo tuu ya ukatili aliokuwa akiwatendea wengine.

Wakumbushwe kuwa Nyerere alisafiri na mkewe mama Maria mpaka Lusaka Zambia kuonana na Rais wa wakati huo Chiluba kumshawishi amwachie na baadae wakaenda kuonana na Kaunda akiwa gerezani. Nyerere aliwaeleza Wana habari kuwa alifanikiwa kumshawishi Kaunda kuacha mgomo wa kula na kunywa na walikunywa wote juisi na biskuti wakiwa hapo gerezani.

Samia akumbushwe pia kuwa Mbowe ameoa na kubarikiwa kuwa na familia inayo mpenda Sana. Pia Mbowe ni mwenyekiti wa Chama Cha upinzani kikubwa hapa nchini na anapendwa Sana na wanachama wake. Mbowe anahitaji kuwa na familia yake Kama yeye Samia anavyoipenda familia yake mpaka wengine kuwapa vyeo ktk Serikali yake.

Samia aelezwe wazi kuwa Watanganyika sio wajinga. Amewaaonea huruma WAZANZIBARI wenzake ndugu zake wa damu mashehe wa uamsho akawaachia huru kwa kesi ya Ugaidi lakini hana huruma kwa kubambikia Watanganyika kesi ya Ugaidi ileile alio iona ni mbaya kwa ndugu zake.

CC. Chifu Hangaya
 
Hata wakati ule Kaunda anatiwa nguvuni, Zambia ilikuwa na mahakama lakini Nyerere hakusubiria Mahakama akaona ni vizuri Mambo ya kisiasa yakamalizwa kisiasa. Nyerere akaenda kuwapatinisha Chiluba na Kaunda hatimaye Kaunda aliachiwa huru.
Mambo ya Kaunda unayaingizaje humu we nae , Kwa hyo kama ni Gaidi aachwe Tu kisa huruma za mifano mfu ya Zambia , nenda Mahakamani katoe ushahidi wenye nguvu kuwa Mbowe siyo Gaidi naye ataachiwa aungane na familia yake unayodai inampenda
 
Mambo ya Kaunda unayaingizaje humu we nae , Kwa hyo kama ni Gaidi aachwe Tu kisa huruma za mifano mfu ya Zambia , nenda Mahakamani katoe ushahidi wenye nguvu kuwa Mbowe siyo Gaidi naye ataachiwa aungane na familia yake unayodai inampenda
Kasome kitabu Cha profesa Emanuel Mbogo kiitwacho "Morani".

Anasema hivi Ushahidi ni Sanaa wanayotumia walaji dhidi ya wanyonge Bali mantiki ni saana wanayo tumia wanyonge dhidi ya walaji.

Wewe kwanza hata hujui makosa aliyokamatiwa Kaunda dogo halafu unajifanya kuonesha unajua. Kwa taarifa yako Kaunda alikamatwa kwa Makosa yanayo husu kupindua nchi au Uhaini. Kesi hiyo hukumu yake ni kunyongwa pimbi mmoja wewe.
 
Hata wakati ule Kaunda anatiwa nguvuni, Zambia ilikuwa na mahakama lakini Nyerere hakusubiria Mahakama akaona ni vizuri Mambo ya kisiasa yakamalizwa kisiasa. Nyerere akaenda kuwapatanisha Chiluba na Kaunda hatimaye Kaunda aliachiwa huru.
Mazingira yapo tofauti kidogo ila hata hivyo mpaka sasa sioni kwann kesi imepewa jina la ugaidi. Tafsiri ya ugaidi ni pana na hatari mno, kuna walakini walakini.
 
Acha sheria ifate mkondo wake. Kama hatakutwa na hatia ataachiwa.

Kwani walioko jela hawapendi kuishi huru na familia zao?

Kama Mbowe kaonewa ni vipi hupazi sauti kwa wengine waliobambikiwa kesi?
 
Samia akumbushwe kuwa mwaka 1997 aliyekuwa Rais wa Zambia Keneth Kaunda ambaye alihisi Chama chake kitatawala milele na kuwanyanyasa wapinzani wake alikamatwa na kuwekwa gerezani huko Zambia. Kaunda aligoma kula na kunywa akiwa gerezani baada ya kuonjeshwa sehemu ndogo tuu ya ukatili aliokuwa akiwatendea wengine.

Wakumbushwe kuwa Nyerere alisafiri na mkewe mama Maria mpaka Lusaka Zambia kuonana na Rais wa wakati huo Chiluba kumshawishi amwachie na baadae wakaenda kuonana na Kaunda akiwa gerezani. Nyerere aliwaeleza Wana habari kuwa alifanikiwa kumshawishi Kaunda kuacha mgomo wa kula na kunywa na walikunywa wote juisi na biskuti wakiwa hapo gerezani.

Samia akumbushwe pia kuwa Mbowe ameoa na kubarikiwa kuwa na familia inayo mpenda Sana. Pia Mbowe ni mwenyekiti wa Chama Cha upinzani kikubwa hapa nchini na anapendwa Sana na wanachama wake. Mbowe anahitaji kuwa na familia yake Kama yeye Samia anavyoipenda familia yake mpaka wengine kuwapa vyeo ktk Serikali yake.

Samia aelezwe wazi kuwa Watanganyika sio wajinga. Amewaaonea huruma WAZANZIBARI wenzake ndugu zake wa damu mashehe wa uamsho akawaachia huru kwa kesi ya Ugaidi lakini hana huruma kwa kubambikia Watanganyika kesi ya Ugaidi ileile alio iona ni mbaya kwa ndugu zake.
CC. Chifu :Hangaya
Usije ukadhani chief hanfaya huo ukweli haujui anaujua sana

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Mambo ya Kaunda unayaingizaje humu we nae , Kwa hyo kama ni Gaidi aachwe Tu kisa huruma za mifano mfu ya Zambia , nenda Mahakamani katoe ushahidi wenye nguvu kuwa Mbowe siyo Gaidi naye ataachiwa aungane na familia yake unayodai inampenda
Gaidi alimbaka mama yako?
 
Samia akumbushwe kuwa mwaka 1997 aliyekuwa Rais wa Zambia Keneth Kaunda ambaye alihisi Chama chake kitatawala milele na kuwanyanyasa wapinzani wake alikamatwa na kuwekwa gerezani huko Zambia. Kaunda aligoma kula na kunywa akiwa gerezani baada ya kuonjeshwa sehemu ndogo tuu ya ukatili aliokuwa akiwatendea wengine.

Wakumbushwe kuwa Nyerere alisafiri na mkewe mama Maria mpaka Lusaka Zambia kuonana na Rais wa wakati huo Chiluba kumshawishi amwachie na baadae wakaenda kuonana na Kaunda akiwa gerezani. Nyerere aliwaeleza Wana habari kuwa alifanikiwa kumshawishi Kaunda kuacha mgomo wa kula na kunywa na walikunywa wote juisi na biskuti wakiwa hapo gerezani.

Samia akumbushwe pia kuwa Mbowe ameoa na kubarikiwa kuwa na familia inayo mpenda Sana. Pia Mbowe ni mwenyekiti wa Chama Cha upinzani kikubwa hapa nchini na anapendwa Sana na wanachama wake. Mbowe anahitaji kuwa na familia yake Kama yeye Samia anavyoipenda familia yake mpaka wengine kuwapa vyeo ktk Serikali yake.

Samia aelezwe wazi kuwa Watanganyika sio wajinga. Amewaaonea huruma WAZANZIBARI wenzake ndugu zake wa damu mashehe wa uamsho akawaachia huru kwa kesi ya Ugaidi lakini hana huruma kwa kubambikia Watanganyika kesi ya Ugaidi ileile alio iona ni mbaya kwa ndugu zake.

CC. Chifu Hangaya

No wonder Hichilema ni humble down to the earth:

IMG_20211026_221742_205.jpg
 
Back
Top Bottom