DOKEZO Rais Samia, Mwanao Abdulhalim Amer adaiwa kuwapa tabu sana maofisa wa TRA kutekeleza majukumu yao Kariakoo

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Status
Not open for further replies.

Perry

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
10,043
2,000
Abdullahim Amer ni jina la mtoto wa kiume wa Rais Samia.

Huyu kijana ana biashara ya kuuza matairi ya magari pale livingstone Kariakoo. Toka mama yake aingie madarakani amekuwa tatizo sana kwa maofisa wa TRA wanaojaribu kutekeleza majukumu yao pale Kariakoo kwa sababu anafanya biashara pasipokufuata taratibu na miongozo ya nchi yetu, hatoi risiti kwa wateja wake wala yeye mwenyewe hajali hilo anashirikiana na kampuni za wachina kukwepa kodi.

Mfano tukio la hivi karibuni ni la bwana Abdulhalim kununua mzigo wa matairi kwenye kampuni flani ya wachina iko Mikocheni inaitwa Hiview international co ltd bila risiti, ule mzigo kufika Kariakoo maofisa wa TRA wakaukamata kwa sababu haukuwa na risiti wala invoice WALA DOCUMENT yoyote. So baada ya masaa kama mawili hivi ya kuzozana pale, wale maofisa wakapigiwa simu kutoka juu wakaambiwa wauachie huo mzigo haraka sana kwani ni wa mtoto wa mheshmiwa.

Kuna kesi nyingi za aina hiyo ambazo huyu kijana amekuwa akizifanya na anapokuwa anatafutwa na vyombo husika basi hutumia jina la mama yake kujinasua. Sijasema kwamba Rais Samia anahusika na huu upuuzi wa mwanae ila jina lake kutumika kumnasua kila akipata majanga inaleta mashaka sana kwani haya mambo wananchi wa kawaida wanayaona live na yanaleta mkanganyiko sana pale Kariakoo.

Kwa hiyo mama Samia najua humu kuna machawa wako wengi tu, jaribu kukaa na mwanao umrekebishe, hizo vurugu zake hapo Kariakoo zinawapa shida sana maofisa kutekeleza majukumu yao.
 
Haya mambo kwa nchi yetu utasikia watu wankuambia acha kufuatilia mambo ya watu,lakini kwa nchi za wenzetu huko duniani ni jambo la aibu na fedheha kwa mtoto wa kiongozi mkuu wa nchi kuhusishwa kwenye mambo ya ukwepaji kodi na upuuzu mwingine unaofanana na huo.

Halafu hiyo familia ya Samia wanavyojifanya wapenda haki,inakuaje wanaruhusu mambo kama haya kwa sababu sio mara ya kwanza kusikia habari za huyo kijana wake hapo kariakoo akisumbuana na maofisa wa TRA?
 
haya mambo kwa nchi yetu utasikia watu wankuambia acha kufuatilia mambo ya watu,lakini kwa nchi za wenzetu huko duniani ni jambo la aibu na fedheha kwa mtoto wa kiongozi mkuu wa nchi kuhusishwa kwenye mambo ya ukwepaji kodi na upuuzu mwingine unaofanana na huo.
halafu hiyo familia ya Samia wanavyojifanya wapenda haki,inakuaje wanaruhusu mambo kama haya kwa sababu sio mara ya kwanza kusikia habari za huyo kijana wake hapo kariakoo akisumbuana na maofisa wa TRA?
💯 only in Tz
 
Umezuka.mtindo siku hizi hasa kwa viongozi wakiona madudu au Jambo baya katika uongoz au Jambo linalohusiana na Rais utasikia

RAIS HATA HAJUI HAYA YANAYOTOKEA ILA BAADH YA WATENDAJI WAKE SIO WAADILIFU

Kiukweli Hilo halikwepeki maadam order imetoka juu bas Rais ndye yupo juu amehusika kwa 100% Wala msimtoe



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Yaani mtoto wa Rais anafanya biashara ya kimasikini ya kuuza matajiri na bado mnaletwa nongwa...
Mlitaka awe kama mtoto wa Museven ndo mridhike ?punguzeni nongwa .
Hapo kkoo wafanya biashara wote wanacheza michezo na watu wa TRA
Yajayo yanafurahisha....mapapa wameshamdaka sasa hivi ndio king pin kudai cha juu mradi yoote inayoendelea anaenda front kydaka cha juu...muda ni mwalimu mzuri utasikia mengi ....Tafuta pop corn kabisa...LNG yeye na RA na JM...wako front subiri tu
 
Mtoto wa Rais kufanya dili zinazoonekana kama za kusukuma tairi, naona kama kajishusha sana...

Kuna Rais wanaye ulikuwa hata hujui wanapiga dili gani...

Hata hivyo ni vyema akafuata sheria, sababu inahubiriwa kwamba hakuna aliye juu ya sheria japo kiafrika ni ngumu...
 
Yaani mtoto wa Rais anafanya biashara ya kimasikini ya kuuza matajiri na bado mnaletwa nongwa...
Mlitaka awe kama mtoto wa Museven ndo mridhike ?punguzeni nongwa .
Hapo kkoo wafanya biashara wote wanacheza michezo na watu wa TRA
Kuna wakati unapwaya sana mkuu.
Hoja sio ukubwa wa biashara bali kulichafua jina la mama yake kwa kutohwshimu sheria
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom