Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,962
- Thread starter
- #21
Hiyo taarifa imetolewa wiki iliyopita jumatano, Ina maana huo ukame umetokea ndani ya wiki moja?Hawakuongopa,ni ukweli kwamba kama hakuna Hali ya dharura kama ukame uwezo wa mitambo at full capacity ni Mkubwa kuliko mahitaji.
Sasa ukame umeondoa zaidi ya mgwat 300 sasa ziada ni mgwt 150 ,kwa hali hii lazima upungufu utokee.