Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,797
Mpendwa Rais wangu umejitahidi sana kututoa hofu wa Tanzania kuwa unaweza na jinsia yako sio kitu cha kushindwa kuongoza jahazi na tumekubali na kukupokea kwa mikono miwili yawekana kabisa ukaja kuwa mkombozi wetu kwa nchi yetu.
Naamini kwa muda mrefu taifa lilikosa mtu kama wewe na moderating factor katika Governance.
Kuna tahadhali tunayo sisi wananchi wako hasa kuhusu wawekezaji wanaokuja kukuona na kutoa maomba mbali mbali. Na mfano mzuri ni Dangote, hatujui aliomba nini zaidi mbali ya aliyotunukiwa mpaka muda huu.
DOCUMENTS NDIYO ZITASEMA UKWELI KAMA HAYA YAFUATAYO ALIZAWADIWA DANGOTE BURE.
1) @ &#%*^/#%_=÷×+
2) Mliimpa ardhi bure bila kulipia senti tano.
3) Mliimpa eneo la kuchimba lime bure bila kulipia senti tano.
4) Milimpa bure eneo la kuchimba gypsum bila kulipia senti tano.
5) Mlimmpa uhuru wa kuingia wafanyakazi anavyoona na wengi hawakupata na vibali.
6) Mlimsaidia kuingia magari ya kusambaza sementi bure bila kulipia ushuru mbali ya mntambo.
7) Alipo lalamika kuhusu coal makaa ya mawe mliimpa bure ili achimbe mwenyewe bila kujali sheria ya madini inasameje.
8) Alipata tax holiday ya miaka mitano, afanye biashara yake bila kulipa kodi.
9) Mlimpelekea bomba lá gesi mpaka kiwandani kwake wakati wawekezaji wengine hugharamia wenyewe.
10) Kiwanda bado ni kidogo kuliko Twiga Cement (wazo) ambao yote hayo walilipia kuwapata na hata kodi ya ardhi wao wanalipa.
11) Je, hii ya kuzoea bure kuna fanya malipo ya statuary contributions kama NHIF, NSSF, WORKERS COMPENSATION FUNDS, na michango mingine pamoja na Corporate social responsibility aone atapata bure?
Mkidai kodi halisi anasema anapata hasara yaani mumempa kila kitu bure na sasa anapata hasara na wazalishaji wengine kodi na kulipia huduma zote na kodi kama Twiga Cement, Simba Cement, Mbeya ya cement na viwanda vingine 19 vya kuzalisha cement. Viwanda vyote vingine vinapata faida na kulipa kodi. Haya tutafika.
Marais waliopita ama walikuwa too soft ama extremists lakini mama kuingia kwako tunaamini kuna mazuri yanakuja. Kwa uchache tuu tunaomba ujielekeza kwenye mambo machache muhimu lakini ndio yatakuwa game changer kwa nchi yetu.
Naamini kwa muda mrefu taifa lilikosa mtu kama wewe na moderating factor katika Governance.
Kuna tahadhali tunayo sisi wananchi wako hasa kuhusu wawekezaji wanaokuja kukuona na kutoa maomba mbali mbali. Na mfano mzuri ni Dangote, hatujui aliomba nini zaidi mbali ya aliyotunukiwa mpaka muda huu.
DOCUMENTS NDIYO ZITASEMA UKWELI KAMA HAYA YAFUATAYO ALIZAWADIWA DANGOTE BURE.
1) @ &#%*^/#%_=÷×+
2) Mliimpa ardhi bure bila kulipia senti tano.
3) Mliimpa eneo la kuchimba lime bure bila kulipia senti tano.
4) Milimpa bure eneo la kuchimba gypsum bila kulipia senti tano.
5) Mlimmpa uhuru wa kuingia wafanyakazi anavyoona na wengi hawakupata na vibali.
6) Mlimsaidia kuingia magari ya kusambaza sementi bure bila kulipia ushuru mbali ya mntambo.
7) Alipo lalamika kuhusu coal makaa ya mawe mliimpa bure ili achimbe mwenyewe bila kujali sheria ya madini inasameje.
8) Alipata tax holiday ya miaka mitano, afanye biashara yake bila kulipa kodi.
9) Mlimpelekea bomba lá gesi mpaka kiwandani kwake wakati wawekezaji wengine hugharamia wenyewe.
10) Kiwanda bado ni kidogo kuliko Twiga Cement (wazo) ambao yote hayo walilipia kuwapata na hata kodi ya ardhi wao wanalipa.
11) Je, hii ya kuzoea bure kuna fanya malipo ya statuary contributions kama NHIF, NSSF, WORKERS COMPENSATION FUNDS, na michango mingine pamoja na Corporate social responsibility aone atapata bure?
Mkidai kodi halisi anasema anapata hasara yaani mumempa kila kitu bure na sasa anapata hasara na wazalishaji wengine kodi na kulipia huduma zote na kodi kama Twiga Cement, Simba Cement, Mbeya ya cement na viwanda vingine 19 vya kuzalisha cement. Viwanda vyote vingine vinapata faida na kulipa kodi. Haya tutafika.
Marais waliopita ama walikuwa too soft ama extremists lakini mama kuingia kwako tunaamini kuna mazuri yanakuja. Kwa uchache tuu tunaomba ujielekeza kwenye mambo machache muhimu lakini ndio yatakuwa game changer kwa nchi yetu.