Pagan Amum
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 1,932
- 4,395
Moja ya shirika linalohitaji reshufle kubwa sana ni DAWASA. watendaji wamezoea kufanya kazi kwa mazoea. CEO wao ndio usiseme. Hana uwezo, anaishi kwa mazoea ya awamu ya tano.... kisa he was favorite
Zaidi ya wakandarasi 20. Wazabuni 14 wanaidai shirika hilo toka December mwaka Jana. na wengne zaidi ya miaka miwili.
Kila ukiulizia unaambiwa unalipwa soon. Soon. Soon. ukifatilia hazina unaona kabisa fedha walizoomba approval kwa ajili ya malipo hayo wamepewa. Sasa unashangaa wanapelekwa wapi fedha?...
Rais wetu mpemdwa najua kwa sasa uko katika kuperuz CV za watu mbalimbali hili ni moja ya shirika ambalo usilisahau. CEO wake hana uwezo kabisa.
Zaidi ya wakandarasi 20. Wazabuni 14 wanaidai shirika hilo toka December mwaka Jana. na wengne zaidi ya miaka miwili.
Kila ukiulizia unaambiwa unalipwa soon. Soon. Soon. ukifatilia hazina unaona kabisa fedha walizoomba approval kwa ajili ya malipo hayo wamepewa. Sasa unashangaa wanapelekwa wapi fedha?...
Rais wetu mpemdwa najua kwa sasa uko katika kuperuz CV za watu mbalimbali hili ni moja ya shirika ambalo usilisahau. CEO wake hana uwezo kabisa.