voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,550
- 11,879
Sasa hivi Makamba anazunguka nchi nzima akieneza kampeni yake ya "Zuia mama na Moshi"
Kiuhalisia hilo ni jukumu la waziri wa Afya ambaye ni Ummy Mwalimu.
Makamba badala ya kutembea nchini akisikiliza na kuzitafutia ufumbuzi, kero za wananchi dhidi "Tanesco" shirika lililoko chini ya wizara yake.
Yeye amegeuka kuwa Dalali wa gesi ya Rostam Aziz ya mitungi ya kijani hiyo "Taifa Gas"
Huku akiitumia slogan ya
"Madhara ya Moshi kwa Mama Mtumia Kuni"
Na hili analifanya mbele ya Rais Samia.
Hata sasa ambapo wako pamoja kwenye ziara ya kampeni ya.
"Mama simika mguu"
inayoendelea huko Geita na Kigoma.
Vema basi Samia akambadilishia wizara kijana Pendwa ili akapige ndege wawili kwa jiwe moja....yaani serikalini na pia kwa Rostam.
Yangu ni hayo kwa sasa.
Asubuhi njema!
Kiuhalisia hilo ni jukumu la waziri wa Afya ambaye ni Ummy Mwalimu.
Makamba badala ya kutembea nchini akisikiliza na kuzitafutia ufumbuzi, kero za wananchi dhidi "Tanesco" shirika lililoko chini ya wizara yake.
Yeye amegeuka kuwa Dalali wa gesi ya Rostam Aziz ya mitungi ya kijani hiyo "Taifa Gas"
Huku akiitumia slogan ya
"Madhara ya Moshi kwa Mama Mtumia Kuni"
Na hili analifanya mbele ya Rais Samia.
Hata sasa ambapo wako pamoja kwenye ziara ya kampeni ya.
"Mama simika mguu"
inayoendelea huko Geita na Kigoma.
Vema basi Samia akambadilishia wizara kijana Pendwa ili akapige ndege wawili kwa jiwe moja....yaani serikalini na pia kwa Rostam.
Yangu ni hayo kwa sasa.
Asubuhi njema!