Mhe Rais alitamka maneno haya hivi Karibuni Nimeona niulete hapa huu usemi ili Wanafasihi na Wataalamu wa Lugha ya Kiswahili Watumbie Mama hasa alikusudia nini kwa maneno haya "MOYO WANGU SI WA GILASI NI WA NYAMA ILIYOUMBWA NA MUNGU" lakini alitoa usemi huu kukiwa na vuguvugu la Spika aliyekuwa kuhusu kauli aliyoitoa ya mama kwenda kukoa 1.3tril.
Kwenu wadau wengine tunakiswahili kile cha burundi kenya na malawi hatuwezi ona ndani hapa.
Natangulisha shukurani.
Kwenu wadau wengine tunakiswahili kile cha burundi kenya na malawi hatuwezi ona ndani hapa.
Natangulisha shukurani.