JAPUONY
JF-Expert Member
- Jul 16, 2010
- 383
- 186
Mkuu wa Wilaya ya Musoma amemuweka ndani Polisi Afisa Elimu wa Wilaya ya Musoma Mwl Kalugendo kwa uonevu ati kwa sababu Afisa Elimu huyo alichelewa kuhudhuria Kikao chake cha Chama kilichopangwa kupokea taarifa ya Maendeleo ya Wilaya ya Musoma.
Mkuu huyu wa Wilaya anaenda kinyume na Maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan ambaye amepiga Marufuku Wakuu wake wa Wilaya kuwaweka Wananchi ndani hovyo bila sababu maalum.
Samia chunguza na kuchukua hatua tafadhali!! Mabega naona yameanza kuwapanda baadhi ya Wateule wako.
Mkuu huyu wa Wilaya anaenda kinyume na Maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan ambaye amepiga Marufuku Wakuu wake wa Wilaya kuwaweka Wananchi ndani hovyo bila sababu maalum.
Samia chunguza na kuchukua hatua tafadhali!! Mabega naona yameanza kuwapanda baadhi ya Wateule wako.