mibiki mitali
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 238
- 392
Mollel out silence silenceSeptember 16 naibu waziri wa afya mwanaidi Ally khamisi alikuwa muleba hembu ingredients a tovuti ya wizara ya afya, wazee na watoto uone wameweka nn
Mollel out silence silenceSeptember 16 naibu waziri wa afya mwanaidi Ally khamisi alikuwa muleba hembu ingredients a tovuti ya wizara ya afya, wazee na watoto uone wameweka nn
october 13 naibu waziri wa afya dkt mollel alikua arusha akiongea na wanahabari kuhusu utekelezaji wa kampeni ya uvikoSeptember 16 naibu waziri wa afya mwanaidi Ally khamisi alikuwa muleba hembu ingredients a tovuti ya wizara ya afya, wazee na watoto uone wameweka nn
Hii ni janaMollel out silence silence
😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍kkkkk umempatia kweli kweli. Mollel ni Mzenj wa Moshi. Hivyo ni mzenj na Samia ni Mchaga wa Rombomollel ni mzanzibar?
Kuna watu wanabisha bila kufikiri Mimi huyu naibu nimemsikia leo kwenye habari tena Ana lafudhi ya kizanzibar nilipogoogle nikamkuta kweli ni naibu Mollel sikumuona na ukifungua tovuti ya wizara mollel hayupoMollel out silence silence
Angalia anaehojiwa saizi hapo itv ni hyo dada . Saiz sio Jana Wala mchana mkuu ni saiz itvHii ni janaView attachment 1974653
kijana mwanaidi ni upande wa maendeleo ya jamii jinsia na watoto, mollel ni afya tuliza moliKuna watu wanabisha bila kufikiri Mimi huyu naibu nimemsikia leo kwenye habari tena Ana lafudhi ya kizanzibar nilipogoogle nikamkuta kweli ni naibu Mollel sikumuona na ukifungua tovuti ya wizara mollel hayupo
mwanaidi ni naibu waziri upande wa maendeleo ya jamii jinsia na watoto, mollel ni afyaAngalia anaehojiwa saizi hapo itv ni hyo dada . Saiz sio Jana Wala mchana mkuu ni saiz itv
Hakuna makubwa mkuu, nisamehe tu.amka ww acha kulala makubwa yapi unayozungumzia
tanzania kwa sasa atuna dira ujue yanafwata matakwa ya mtawala aliepo kwa wakati usika apo ndo shida na watazania wengi tumegeuka machawa difa zote mamaaaa inasikitishaHakuna makubwa mkuu, nisamehe tu.
HApo ni ufisadi tu mwanzo mwisho
Na sababu ni moja tu..
Tuendeleee kutetea demokrasia tu, ndio mkombozi wetutanzania kwa sasa atuna dira ujue yanafwata matakwa ya mtawala aliepo kwa wakati usika apo ndo shida na watazania wengi tumegeuka machawa difa zote mamaaaa inasikitisha
Wapo Manaibu Waziri wawili na wote wanatekekeza ilani ya Chama Cha MapinduziView attachment 1974673
Hiyo website ya jamii.go.tz naona kama ilishawashinda, usikute waliweka kuongeza picha alivyoteuliwa ikaenda na kufuta picha na taarifa za Molel....ila kwenye kurasa zao rasmi wanatumia website ya moh.go.tzMwanzo |Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
some page description herewww.jamii.go.tz
Mbona Kwenye website yupo 1
View attachment 1974552
Kwa kauli hii ya Rais SSH maswali mengi nimejiuliza na sijapata jibu. Msaada wenu wanaJF:
Nini kimetokea hadi hadharani kutamka hivyo?
Je, kauli ni kuashiria Ukabila, Udini au Uzanzibari ndani ya moyo wake?
Naskia anaikemea bangi daaah bullshiiiiiiit
Usiwe mtumwa wa google ndugu. Akili za kuambiwa changanya na zakoNimekupa jina inawezekana wizara Ina manaibu wawili , taarifa ya habari ya it wamemsema ulienda Google ukitafuta naibu waziri wa afya linakuja Hilo jina la mwanaidi unachobisha ni Nini?
Ahsante sana, umeliumbua hilo mamamae zake!! Kuna mijitu inakera sana sana sana sana sana!huyo wako unamjua wewe mkuu View attachment 1974640
kijana mwanaidi ni upande wa maendeleo ya jamii jinsia na watoto, mollel ni afya tuliza moli
We hanithi tafuta mabwana wakushugulikieAhsante sana, umeliumbua hilo mamamae zake!! Kuna mijitu inakera sana sana sana sana sana!