Rais Samia: Mimi ni Mzanzibari

September 16 naibu waziri wa afya mwanaidi Ally khamisi alikuwa muleba hembu ingredients a tovuti ya wizara ya afya, wazee na watoto uone wameweka nn
october 13 naibu waziri wa afya dkt mollel alikua arusha akiongea na wanahabari kuhusu utekelezaji wa kampeni ya uviko
 
Mollel out silence silence
Hii ni jana
IMG_20211014_231615.jpg
 
Kuna watu wanabisha bila kufikiri Mimi huyu naibu nimemsikia leo kwenye habari tena Ana lafudhi ya kizanzibar nilipogoogle nikamkuta kweli ni naibu Mollel sikumuona na ukifungua tovuti ya wizara mollel hayupo
kijana mwanaidi ni upande wa maendeleo ya jamii jinsia na watoto, mollel ni afya tuliza moli
 
Hakuna makubwa mkuu, nisamehe tu.
HApo ni ufisadi tu mwanzo mwisho

Na sababu ni moja tu..
tanzania kwa sasa atuna dira ujue yanafwata matakwa ya mtawala aliepo kwa wakati usika apo ndo shida na watazania wengi tumegeuka machawa difa zote mamaaaa inasikitisha
 
tanzania kwa sasa atuna dira ujue yanafwata matakwa ya mtawala aliepo kwa wakati usika apo ndo shida na watazania wengi tumegeuka machawa difa zote mamaaaa inasikitisha
Tuendeleee kutetea demokrasia tu, ndio mkombozi wetu
 
Back
Top Bottom