Ubinadam KaziBinadamu
mollel ni mzanzibar?Amemweka naibu waziri wa afya mzanzibar wakati sio wizara ya kimuungano
Kaangalie naibu waziri ni Nani Sasa hivi ni kimyakimyamollel ni mzanzibar?
ni mollelKaangalie naibu waziri ni Nani Sasa hivi ni kimyakimya
chanzo chako cha habari huwa ni kipi🤔Amemweka naibu waziri wa afya mzanzibar wakati sio wizara ya kimuungano
Siyo mollel hata Mimi nilijua mollel ila taarifa ya habari katajwa naibu mwingine wa like kutoka Zanzibar ikabidi nigoogle ndio nikamkutani mollel
Anaitwa mwanaidi Ally khamisini mollel
Nimeshakupa jina fatilia uone Kama nimekudanganyachanzo chako cha habari huwa ni kipi🤔
Kauli ipi kenge manyoya wewe?View attachment 1974552
Kwa kauli hii ya Rais SSH maswali mengi nimejiuliza na sijapata jibu. Msaada wenu wanaJF:
Nini kimetokea hadi hadharani kutamka hivyo?
Je, kauli ni kuashiria Ukabila, Udini au Uzanzibari ndani ya moyo wake?
huyo wako unamjua wewe mkuuNimeshakupa jina fatilia uone Kama nimekudanganya
Umeangalia taarifa ya habari ya saa mbili, nenda Google andika naibu waziri wa afya utaona jina gani linakujahuyo wako unamjua wewe mkuu View attachment 1974640
naibu waziri wa Afya ni mollel na juzi aliongea na waandishi wa habari akiwa ArushaUmeangalia taarifa ya habari ya saa mbili, nenda Google andika naibu waziri wa afya utaona jina gani linakuja
Nimekupa jina inawezekana wizara Ina manaibu wawili , taarifa ya habari ya it wamemsema ulienda Google ukitafuta naibu waziri wa afya linakuja Hilo jina la mwanaidi unachobisha ni Nini?naibu waziri wa Afya ni mollel na juzi aliongea na waandishi wa habari akiwa Arusha
hii ilikua ni jana oktoba 13Umeangalia taarifa ya habari ya saa mbili, nenda Google andika naibu waziri wa afya utaona jina gani linakuja
Huyo haponaibu waziri wa Afya ni mollel na juzi aliongea na waandishi wa habari akiwa Arusha
September 16 naibu waziri wa afya mwanaidi Ally khamisi alikuwa muleba hembu ingredients a tovuti ya wizara ya afya, wazee na watoto uone wameweka nnhii ilikua ni jana oktoba 13View attachment 1974650