Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,415
- 21,110
Mzururaji
Anatumia kodi zetu vibaya snMzururaji
Mahufuli alikuwa King of Impunity au perpertual law breaker. Sikuamini alivyowaapisha kina Mwigulu Nchema na Dr Mollel barazani kwa nyumba yake.Kwanini ilikuwa nongwa kwa Hayati Magufuli kufanyia mambo kadha wa kadha huko kwao Chato, na inaonekana ni sawa kwa Samia kuelekeza makongamano na warsha mbalimbali huku akikusanya viongozi karibia wote wakuu wa kitaifa, na hakosolewi kama alivyokuwa akikosolewa Magufuli?!
Magufuli atabaki shujaa kwa wajinga ambao ndiyo Watanzania wengi. Kama ulikuwa unategemea taarifa za TBC 1 pekee basi huyo ni shujaa wako. Ila werevu wanajuwa Magufuli alikuwa mwongo, mwizi, muuaji na DIKTETAMungu Mpumzishe Kwa Amani Shujaa wetu John Joseph Pombe Magufuli
Alikuwa shetani katika mwili wa kibinadamu.Mahufuli alikuwa King of Impunity au perpertual law breaker. Sikuamini alivyowaapisha kina Mwigulu Nchema na Dr Mollel barazani kwa nyumba yake.
Yule mtu kwa kweli angetufikisha pabaya sana bila Mungu kuingilia kati pale Machi 17, 2021
Mkuu inatosha. Msamehe tu kama Tundu Lissu, wazazi wa Ben saa 8, mjane wa Azzory, Binti aliyeachwa yatima anayeishi na Lema kwa sasa, hata mimi vyeti fake niliyekuwa nimebakiza siku 5 kustaafu nikakosa kiinua mgongo changu.Alikuwa shetani katika mwili wa kibinadamu.
Magereza yangekuwa yamejaa wafungwa wa kesi za kumtukana rais.
Manina limekufa kifo kibaya cha laana
Fanyeni juu chini mtuletee picha yake hapa ili mizani ipimwe na jukwaa lililobobea katika "checks & balance" to challenge the double standards being currently practiced purportedly for unknown reasons.Kwanini ilikuwa nongwa kwa Hayati Magufuli kufanyia mambo kadha wa kadha huko kwao Chato, na inaonekana ni sawa kwa Samia kuelekeza makongamano na warsha mbalimbali huku akikusanya viongozi karibia wote wakuu wa kitaifa, na hakosolewi kama alivyokuwa akikosolewa Magufuli?!
Usichanganye mchele na pumba, Dikteta Magufuli alikuwa anajenga Chato kwa kupora fedha za umma bila utaratibu wakati Samia bado hajafanya hivyo!Kwanini ilikuwa nongwa kwa Hayati Magufuli kufanyia mambo kadha wa kadha huko kwao Chato, na inaonekana ni sawa kwa Samia kuelekeza makongamano na warsha mbalimbali huku akikusanya viongozi karibia wote wakuu wa kitaifa, na hakosolewi kama alivyokuwa akikosolewa Magufuli?!
Iko Siku Mungu atajibu holi
Siku si nyingi.
Mungu hanaga ubaguzii