Rais Samia: Mgao wa maji unatokana na ubishi na ukaidi wa binadamu pia na kudra za mwenyezi Mungu

Labda tu niwaibie siri kidogo hizi mambo za umeme na maji ni mipango ambayo soon tu mtaona nini hasa lengo
 
Janga gani na wewe? Yaani huoni haya mabadiliko ya tabia ya nchi? Joto kali sana na maeneo mengine kama Morogoro mvua haijanyesha kabisa, na hii ni November inaenda mwishoni. Yeye afanyeje kama maji yamepungua kutokana na sababu hizo? Kazi tu kukariri corus bila ya kufanya tafakari.
Kama Serikali haijui la kufanya basi hiyo no hatari zaidi. Chini ya ardhi kuna maji mara ishirini ya maji kwenye uso wa nchi. Hata Hilo hawawezi Bali kulalamika mifugo na kilimo. Sasa maji yatakuwa na maana gani Kwa nchi iwapo hayatumiki kwa ajili ya kilimo, mifugo na shughuli nyingine za maisha (livelihoods) ya binadamu?!
 
Dar es Salaam kuna mgao mkubwa wa maji kwa sababu mto Ruvu umevamiwa na binadamu na kuchepusha maji.

Pili maelfu ya mifugo yanayoingizwa kwenye mito kunywa maji yamepunguza kiasi cha maji kwani ng'ombe mmoja kwa mfano hunywa lita 40 za maji kwa siku.

Tatu ni ukataji miti hovyo hali inayoharibu ikolojia ya nchi.

Nne ni tatizo la tabia nchi.

Hivyo mgao wa maji hauepukiki

Na kwahiyo naagiza Wakuu wote wa mikoa kuweka ulinzi katika mito yote ili kulinda maji ya watu wetu.

========

Rais Samia Suluhu Hassan amesema anatambua Miji mingi mikubwa inakabiliwa na uhaba wa maji unaopelekea mgao wa maji na upungufu wa umeme

Amesema hiyo imetokana na mambo mawili makubwa ambayo ni Ubishi na ukaidi wa wanadamu na Kudra za Mungu

Amefafanua, "Bado kuna wananchi wengi wameendelea kuvamia vyanzo vya maji kwa kuyachepusha kwa ajili ya matumizi mengine. Pia, kuna watu wanalima karibu na vyanzo vya maji. Haya yote yanapelekea Vyanzo vya Maji kupungua"

"Nimefatana na viongozi wote hawa wa dini kwanza, kufuatana na viongozi wa dini wote hawa ni baraka kama kuna mapepo huko njiani yanapeperuka, pili nimeipa heshima Mwanza, tutaanza hapa dua za kuomba mvua zenye neema kwa Taifa letu"-Rais Samia.
Mbinu mlizotumia five years ago kwanini mstumie hiyo hiyo maana mambo yenu hayajabsdirika
 
Anaeleza habari ya Dar kukosa maji, mbona haelezi Mwanza kukosa maji na ziwa lipo hapo jirani?
Wewe ni mjinga, mwenye chuki na boya.Amesema anatambua miji mingi mikubwa,do you understand wewe kiazi?

Pili hayo maji ya Ziwa yanasukumwa kwa ushuzi wako au kwa umeme? Kama umeme ni shida utasukuma vipi maji kutoka hapo kwenye intake na kwenye main line zote na maji yajae kwenye matanki?

Mlienda shule kukuza makalio sio bongo zenu.
 
Dar es Salaam kuna mgao mkubwa wa maji kwa sababu mto Ruvu umevamiwa na binadamu na kuchepusha maji.

Pili maelfu ya mifugo yanayoingizwa kwenye mito kunywa maji yamepunguza kiasi cha maji kwani ng'ombe mmoja kwa mfano hunywa lita 40 za maji kwa siku.

Tatu ni ukataji miti hovyo hali inayoharibu ikolojia ya nchi.

Nne ni tatizo la tabia nchi.

Hivyo mgao wa maji hauepukiki

Na kwahiyo naagiza Wakuu wote wa mikoa kuweka ulinzi katika mito yote ili kulinda maji ya watu wetu.

========

Rais Samia Suluhu Hassan amesema anatambua Miji mingi mikubwa inakabiliwa na uhaba wa maji unaopelekea mgao wa maji na upungufu wa umeme

Amesema hiyo imetokana na mambo mawili makubwa ambayo ni Ubishi na ukaidi wa wanadamu na Kudra za Mungu

Amefafanua, "Bado kuna wananchi wengi wameendelea kuvamia vyanzo vya maji kwa kuyachepusha kwa ajili ya matumizi mengine. Pia, kuna watu wanalima karibu na vyanzo vya maji. Haya yote yanapelekea Vyanzo vya Maji kupungua"

"Nimefatana na viongozi wote hawa wa dini kwanza, kufuatana na viongozi wa dini wote hawa ni baraka kama kuna mapepo huko njiani yanapeperuka, pili nimeipa heshima Mwanza, tutaanza hapa dua za kuomba mvua zenye neema kwa Taifa letu"-Rais Samia.
Enzi za JPM wanadamu waliacha ubishi?
 
Ng'ombe mmoja anakunywa lita 40 kwa siku ama kweli mama kafungua nchi wallah!!
Kuna team kubwa ipo humu jf, either kimakusudi au bahati mbaya, ambayo ina hakikisha negative energy ina spread kwa watu kuliko positive energy, ndo maana unaeza ongea kitu kinacho make sense lakini bado mtu akaku criticise
 
Naona mama Ange kaaa kimya,

Watu huku tunahaaha, maji hakuna, wala sio mgao,. Umeme mgao kwa masaa,

Halafu Raisi ana ongea bila kuonyesha solution, hata ya uongo tu atutie matumaini.

Ningekua mimi ningesema hivi!

1. Walio chepusha maji mifereji ifungwe, naomba report ndani ya siku 2.
2. Tozo na kodi kwenye viwanda vya maji ya kunywa zimesamehewa kwa kipindi cha mwaka mmoja, hivo basi, Bei ya maji ya chupa itapungua kwa asilimia 30.
3.Mchakato wa kununua mtambo wa kusafisha maji ya bahari umekwisha anza Ili kuzuia Hali hii isijitokeze tena.
4.Nimetoa week moja kwa Waziri wa maji na umeme(nishati), kuhakikisha adha hii inaisha kabisa, Kama hawataweza basi watakua wamejitengua.

Mama, usiamini kila kitu, huenda unahujumiwa. Tumbua wa wili watatu uone mambo yanavo kwenda.(hua namuomba mungu Hawa manyangau wasije kushawishi au kukutegea wakakuingiza kwenye dili zao chafu Kama zile za Richmond na Epa
 
Janga gani na wewe? Yaani huoni haya mabadiliko ya tabia ya nchi? Joto kali sana na maeneo mengine kama Morogoro mvua haijanyesha kabisa, na hii ni November inaenda mwishoni. Yeye afanyeje kama maji yamepungua kutokana na sababu hizo? Kazi tu kukariri corus bila ya kufanya tafakari.
Acha kutete ujinga wewe tuba maziwa mangapi? Tuna mito mingapi isiyokauka kwa vipindi vyote vya mwaka? Kwanini wasitoe maji kwenye vyanzo vya uhakika? Ninyi mnaona tuna viongizi apo?
 
Kwa hiyo ziwa victoria nalo limekauka sababu ya ukame? Au unafikiri wote wanategemea maji ya kutoka kwenye mito?

Maji ya mradi wa ziwa Victoria nayo hayatoki Sasa hivi, hebu tupe sababu
Kanda ya ziwa mna ng'ombe wengi wanakunywa maji na kukausha ziwa
 
Mnamsingizia Mungu bure. Tanzania kwa Afrika inapitwa na Congo tu kwa kuwa na maji baridi Mengi. Sasa mnataka nini awafanyie?

Kinachoendelea hapa ni mfano halisi wa "In abundance of water the fool is thirsty."

Tatizo siyo Mungu wala ukaidi, tatizo ni uzembe.
Tynaongozwa na vipofu lakini wabishi wanajifanya wanaona matokeo wote shimoni
 
Mnaimiza vijana wajiajiri kupitia kilimo, Kijan akipambana kuchimba mfereji kuchukua maji ya mto kwa ajili ya umwagiliaji wa shamba lake leo hii anaonekana Mbaya.

Hiyo mifereji mnayoiziba maji yasiende kumwagilia mashamba ya watu wamejiajiri kupitia kilimo, mazao yao yatakauka watakosa chakula njaa itawakumba kipato chao kitashuka matokeo yake Ndoa zitavunjika na family.

Wakianza kuuza vitu Kuwa wamachinga vibanda vyao mnavunja na kuwafukuza mjini hawa vijana waende wapi

Rais na watendaji wako mnakula vizuri hiyo mifereji mnao zuia maji wezenu wanategemea kilimo
Mungu anawaona
Miaka yote hiyo mifereji ya maji kwa ajili ya umwangiliaji ilikuwa hakuna
Waandamane waondoe mizigo Ikulu
 
Acha kutete ujinga wewe tuba maziwa mangapi? Tuna mito mingapi isiyokauka kwa vipindi vyote vya mwaka? Kwanini wasitoe maji kwenye vyanzo vya uhakika? Ninyi mnaona tuna viongizi apo?
Sasa unamlaumu rais Samia kwa lipi? Ulitaka ndani ya mwaka mmoja wa urais wake awe ameshavuta maji kutoka katika hayo maziwa unayoyasema? Unafikiri sawasawa kweli? Sote tunakubaliana kuwa serikali kwa ujumla wake ilipaswa iwe imeshafanya jambo tangu hapo nyuma, lakini kushusha lawama za hali ya sasa kwa rais Samia peke yake ni chorus zilezile za kumchukia.
 
Screenshot_20221118-120746~2.png
 
Back
Top Bottom