Rais Samia mfute kazi Waziri Mkenda; anakuchafua nje ndani

tpaul

JF-Expert Member
Feb 3, 2008
18,362
12,380
Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kumchosha mtu yeyote. Nawapongeza Baraza la Mitihani (NECTA) kwa kufanya kazi nzuri ya kufichua uovu uliofanywa na Shule ya Chalinze Islamic Modern School kuwabadilishia wanafunzi 7 namba za mitihani kwa sababu wanazozijua wao wenyewe.

Lakini nasikitika kusema kwamba kazi hii nzuri iliyofanywa na NECTA kufichua uovu imetiwa shubiri na waziri wa elimu Adolf Mkenda kwa kutoa adhabu ndogo sana kwa wahusika waliotaka kuharibu mustakabali wa maisha ya mabinti wadogo wasiokuwa na hatia.

Nilitegemea Mkenda aifutilie mbali shule hii badala yake ametoa adhabu ya kufungia kituo cha mitihani. Adhabu hii ni sawa na bure kwani kufuta kituo cha mitihani huku wanafunzi wa shule hiyo wakipangiwa kituo kingine cha kufanyia mitihani hakuwezi kuwazuia kuendelea na mchezo wao wa kubadilisha namba za mitihani za wanafunzi. Suluhisho la kudumu ni kuifungia shule moja kwa moja isiendelee kutoa elimu ili liwe fundisho mujarabu kwa wahalifu wengine wanaofanya mchezo huu usiofaa.

Watoto hao waliobadilshiwa namba za mitihani wangeonekana wamefeli maisha yao yangewaribikia wakati hawana hatia yoyote. Inauma sana. Nashauri viongozi wa kiislamu waingilie kati wamlazimishe mumiliki wa shule aondoke neno Islamic kwenye jina la shule anautia aibu uislamu na kuonea watoto waislamu wenye akili kama hao wasichana wa kiislamu waliowabadilishia namba.

Kumekuwa na tuhuma kuwa vyuo vikuu vinajaa wakristo tu kwa sababu eti waislamu wengi wanafelishwa sekondari kumbe kwenye shule zenyewe za waislamu kuna tatizo. Sasa hao vilaza waliofanyiwa mitihani na wanafunzi wenye akili isingegundulika mapema wangeenda sekondari na hao wenye akili wangebaki nyumbani. Na hao waliofanyiwa mitihani hata kidato cha sita wasingetoboa.

Mitihani ya form four (CSE) tu wangeweza kupata division zero na kuongeza idadi ya waislamu wanaopata division zero sekondari. Na kuwajengea waislamu siasa kali ni hoja zisizokuwa na mashiko kuwa waislamu wanafelishwa sekondari. Kumbe vilaza walipelekwa tu na viongozi wa shule za kiislamu wenye majina ya kiislamu wasionna hofu ya Allah wamehongwa kupitisha watoto nusu kaputi kwa kudhulumu wale wenye jitihada na wanaomlingania Allah kama huyo msichana.

USHAURI
Namshauri Mh Rais mama Samia Suluhu Hassan amfute kazi waziri wa elimu Adolf Mkenda kwa kushindwa kusimamia haki. Ameshindwa kufanya kazi yake sawasawa na pia amedhalilisha dini. Haiwezekani amchafue rais wetu nje, ndani halafu wapenda haki tukae kimya.

Kwa habari zaidi kuhusu hii skandali, soma makala zifuatazo:
Profesa Mkenda asema wanafunzi saba walibadilishiwa namba za mtihani
Shule ya Chalinze Modern Islamic yafungiwa kwa muda usiojulikana
 

denooJ

JF-Expert Member
Mar 31, 2020
15,114
55,237
Ni sahihi kufungia kituo cha mtihani, badala ya kuifuta shule kwasababu..

- Wasimamizi wa mitihani sehemu nyingine hawatakuwa hao wa hapo palipofungiwa.

- Hiyo shule imeshajichafulia sifa yake, kuna uwezekano mkubwa wazazi wenye watoto pale wakawaondoa watoto wao next year, hata wale waliokuwa na mpango wa kupeleka watoto wao hawatawapeleka tena.

- Hao wasimamizi/walimu wa kituo kilichofungiwa hawawezi kuaminika kwenda kusimamia sehemu nyingine.

- Kuifutilia mbali hiyo shule, leo wanafunzi wakiwa wanaelekea kumaliza mwaka wa masomo, kutawaletea usumbufu wazazi wasiohusika na huo ujinga uliofanywa na wachache, kuwahamisha watoto wao.

Sioni sababu ya kumfuta kazi waziri wa Elimu, hatua aliyochukua kwangu inatosha, muhimu mwenye shule akajieleze kwa wizara ni hatua gani atachukua kuhakikisha hilo tatizo halijirudii, maelezo yake yasiporidhisha, wizara iamue itavyoona inafaa.
 

tpaul

JF-Expert Member
Feb 3, 2008
18,362
12,380
Chuki binafsi dhidi ya waziri peleka kwa mumeo, waziri syo mahakama, waziri syo katibu mkuu utumishi, na pia syo muamuzi wa mwisho.
Tuliza kalio unisome vizuri wewe mama; usihemke bila sababu. Ndiyo maana hii kesi nimeipeleka kwa Rais moja kwa moja au ulitaka niiliete kwa basha wako wee mbwa pori?
 

Sixpax

JF-Expert Member
Sep 11, 2021
241
183
Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kumchosha mtu yeyote. Nawapongeza Baraza la Mitihani (NECTA) kwa kufanya kazi nzuri ya kufichua uovu uliofanywa na Shule ya Chalinze Islamic Modern School kuwabadilishia wanafunzi 7 namba za mitihani kwa sababu wanazozijua wao wenyewe.

Lakini nasikitika kusema kwamba kazi hii nzuri iliyofanywa na NECTA kufichua uovu imetiwa shubiri na waziri wa elimu Adolf Mkenda kwa kutoa adhabu ndogo sana kwa wahusika waliotaka kuharibu mustakabali wa maisha ya mabinti wadogo wasiokuwa na hatia.

Nilitegemea Mkenda aifutilie mbali shule hii badala yake ametoa adhabu ya kufungia kituo cha mitihani. Adhabu hii ni sawa na bure kwani kufuta kituo cha mitihani huku wanafunzi wa shule hiyo wakipangiwa kituo kingine cha kufanyia mitihani hakuwezi kuwazuia kuendelea na mchezo wao wa kubadilisha namba za mitihani za wanafunzi. Suluhisho la kudumu ni kuifungia shule moja kwa moja isiendelee kutoa elimu ili liwe fundisho mujarabu kwa wahalifu wengine wanaofanya mchezo huu usiofaa.

Watoto hao waliobadilshiwa namba za mitihani wangeonekana wamefeli maisha yao yangewaribikia wakati hawana hatia yoyote. Inauma sana. Nashauri viongozi wa kiislamu waingilie kati wamlazimishe mumiliki wa shule aondoke neno Islamic kwenye jina la shule anautia aibu uislamu na kuonea watoto waislamu wenye akili kama hao wasichana wa kiislamu waliowabadilishia namba.

Kumekuwa na tuhuma kuwa vyuo vikuu vinajaa wakristo tu kwa sababu eti waislamu wengi wanafelishwa sekondari kumbe kwenye shule zenyewe za waislamu kuna tatizo. Sasa hao vilaza waliofanyiwa mitihani na wanafunzi wenye akili isingegundulika mapema wangeenda sekondari na hao wenye akili wangebaki nyumbani. Na hao waliofanyiwa mitihani hata kidato cha sita wasingetoboa.

Mitihani ya form four (CSE) tu wangeweza kupata division zero na kuongeza idadi ya waislamu wanaopata division zero sekondari. Na kuwajengea waislamu siasa kali ni hoja zisizokuwa na mashiko kuwa waislamu wanafelishwa sekondari. Kumbe vilaza walipelekwa tu na viongozi wa shule za kiislamu wenye majina ya kiislamu wasionna hofu ya Allah wamehongwa kupitisha watoto nusu kaputi kwa kudhulumu wale wenye jitihada na wanaomlingania Allah kama huyo msichana.

USHAURI
Namshauri Mh Rais mama Samia Suluhu Hassan amfute kazi waziri wa elimu Adolf Mkenda kwa kushindwa kusimamia haki. Ameshindwa kufanya kazi yake sawasawa na pia amedhalilisha dini. Haiwezekani amchafue rais wetu nje, ndani halafu wapenda haki tukae kimya.

Kwa habari zaidi kuhusu hii skandali, soma makala zifuatazo:
Profesa Mkenda asema wanafunzi saba walibadilishiwa namba za mtihani
Shule ya Chalinze Modern Islamic yafungiwa kwa muda usiojulikana
Pia nape amtoe tunapigwa tukiweka vocha sh 100 unaambiwa kuna huduma ulijiunga ambavyosiokweli nape achia wizara tafadhali nakuomba
 

jkipaji

JF-Expert Member
Sep 22, 2019
3,776
4,775
Ni sahihi kufungia kituo cha mtihani, badala ya kuifuta shule kwasababu..

- Wasimamizi wa mitihani sehemu nyingine hawatakuwa hao wa hapo palipofungiwa.

- Hiyo shule imeshajichafulia sifa yake, kuna uwezekano mkubwa wazazi wenye watoto pale wakawaondoa watoto wao next year, hata wale waliokuwa na mpango wa kupeleka watoto wao hawatawapeleka tena.

- Hao wasimamizi/walimu wa kituo kilichofungiwa hawawezi kuaminika kwenda kusimamia sehemu nyingine.

- Kuifutilia mbali hiyo shule, leo wanafunzi wakiwa wanaelekea kumaliza mwaka wa masomo, kutawaletea usumbufu wazazi wasiohusika na huo ujinga uliofanywa na wachache, kuwahamisha watoto wao.

Sioni sababu ya kumfuta kazi waziri wa Elimu, hatua aliyochukua kwangu inatosha, muhimu mwenye shule akajieleze kwa wizara ni hatua gani atachukua kuhakikisha hilo tatizo halijirudii, maelezo yake yasiporidhisha, wizara iamue itavyoona inafaa.
Mi naona mamlaka zote zinatupiana mpira tu, hapo kuna kosa kubwa la Jinai, kind of frauds, wahusika wote wapandishwe kizimbani,hakuna kufunga shule!!
 

Black Mirror

JF-Expert Member
Oct 17, 2019
637
796
Kiufupi hiyo shule itaporomoka vilivyo kwa sasa, naamini Januari itakuwa nadra sana mzazi kumpeleka mwanaye hapo
 

Samiaagain2025

JF-Expert Member
Dec 2, 2020
2,421
2,517
Tambua kuwa baraza la mitihani la Tanzania,kwa sheria iliyolianzisha,ya mwaka 1973;Ni chombo chenye mamlaka kamili na sheria zake nyingi haziathiriwi na taasisi zingine.
Hivyo adhabu hii iliyotolewa ndiyo adhabu sahihi kulingana na uzito wa kosa.
 

Msingida

JF-Expert Member
Dec 1, 2010
9,054
9,676
Waziri hana kosa hapo,ametoa adhabu stahiki.
Wasimimamizi akiwamo Mwalimu mkuu wana kesi ya kujibu kutokana na kwenda kinyume na kiapo chao cha utunzaji siri.
Hawachomoki hapo,kifungo kinawasubiri.
Nini zaidi unataka?
 

Good Father

JF-Expert Member
Feb 28, 2014
10,073
17,748
Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kumchosha mtu yeyote. Nawapongeza Baraza la Mitihani (NECTA) kwa kufanya kazi nzuri ya kufichua uovu uliofanywa na Shule ya Chalinze Islamic Modern School kuwabadilishia wanafunzi 7 namba za mitihani kwa sababu wanazozijua wao wenyewe.

Lakini nasikitika kusema kwamba kazi hii nzuri iliyofanywa na NECTA kufichua uovu imetiwa shubiri na waziri wa elimu Adolf Mkenda kwa kutoa adhabu ndogo sana kwa wahusika waliotaka kuharibu mustakabali wa maisha ya mabinti wadogo wasiokuwa na hatia.

Nilitegemea Mkenda aifutilie mbali shule hii badala yake ametoa adhabu ya kufungia kituo cha mitihani. Adhabu hii ni sawa na bure kwani kufuta kituo cha mitihani huku wanafunzi wa shule hiyo wakipangiwa kituo kingine cha kufanyia mitihani hakuwezi kuwazuia kuendelea na mchezo wao wa kubadilisha namba za mitihani za wanafunzi. Suluhisho la kudumu ni kuifungia shule moja kwa moja isiendelee kutoa elimu ili liwe fundisho mujarabu kwa wahalifu wengine wanaofanya mchezo huu usiofaa.

Watoto hao waliobadilshiwa namba za mitihani wangeonekana wamefeli maisha yao yangewaribikia wakati hawana hatia yoyote. Inauma sana. Nashauri viongozi wa kiislamu waingilie kati wamlazimishe mumiliki wa shule aondoke neno Islamic kwenye jina la shule anautia aibu uislamu na kuonea watoto waislamu wenye akili kama hao wasichana wa kiislamu waliowabadilishia namba.

Kumekuwa na tuhuma kuwa vyuo vikuu vinajaa wakristo tu kwa sababu eti waislamu wengi wanafelishwa sekondari kumbe kwenye shule zenyewe za waislamu kuna tatizo. Sasa hao vilaza waliofanyiwa mitihani na wanafunzi wenye akili isingegundulika mapema wangeenda sekondari na hao wenye akili wangebaki nyumbani. Na hao waliofanyiwa mitihani hata kidato cha sita wasingetoboa.

Mitihani ya form four (CSE) tu wangeweza kupata division zero na kuongeza idadi ya waislamu wanaopata division zero sekondari. Na kuwajengea waislamu siasa kali ni hoja zisizokuwa na mashiko kuwa waislamu wanafelishwa sekondari. Kumbe vilaza walipelekwa tu na viongozi wa shule za kiislamu wenye majina ya kiislamu wasionna hofu ya Allah wamehongwa kupitisha watoto nusu kaputi kwa kudhulumu wale wenye jitihada na wanaomlingania Allah kama huyo msichana.

USHAURI
Namshauri Mh Rais mama Samia Suluhu Hassan amfute kazi waziri wa elimu Adolf Mkenda kwa kushindwa kusimamia haki. Ameshindwa kufanya kazi yake sawasawa na pia amedhalilisha dini. Haiwezekani amchafue rais wetu nje, ndani halafu wapenda haki tukae kimya.

Kwa habari zaidi kuhusu hii skandali, soma makala zifuatazo:
Profesa Mkenda asema wanafunzi saba walibadilishiwa namba za mtihani
Shule ya Chalinze Modern Islamic yafungiwa kwa muda usiojulikana

Labda kama unamchukia Waziri Mkenda mna ugomvi binafsi.

Unachotakiwa kujua ni kwamba hizo adhabu Waziri hapangi yeye bali anakaa na wataalam wake wanashauriana nini kifanyike baada ya kupata ukweli.

Kuna watu wamefukuzwa kazi hapo directly, wewe hiyo huoni ni adhabu tosha? Au raha yako Waziri ndo atoke?

Shule imefungiwa kuwa kituo cha mitihani na walimu wa shule hiyo waliohusika wafukuzwe kazi bado kwako haitoshi?

Au una agenda binafsi na Profesa Mkenda? Kakufanyia nini kibaya?
 

denooJ

JF-Expert Member
Mar 31, 2020
15,114
55,237
Mi naona mamlaka zote zinatupiana mpira tu, hapo kuna kosa kubwa la Jinai, kind of frauds, wahusika wote wapandishwe kizimbani,hakuna kufunga shule!!
Waziri ameshasema wahusika watachukuliwa hatua za kisheria.
 

Gfav

JF-Expert Member
Oct 7, 2022
381
644
Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kumchosha mtu yeyote. Nawapongeza Baraza la Mitihani (NECTA) kwa kufanya kazi nzuri ya kufichua uovu uliofanywa na Shule ya Chalinze Islamic Modern School kuwabadilishia wanafunzi 7 namba za mitihani kwa sababu wanazozijua wao wenyewe.

Lakini nasikitika kusema kwamba kazi hii nzuri iliyofanywa na NECTA kufichua uovu imetiwa shubiri na waziri wa elimu Adolf Mkenda kwa kutoa adhabu ndogo sana kwa wahusika waliotaka kuharibu mustakabali wa maisha ya mabinti wadogo wasiokuwa na hatia.

Nilitegemea Mkenda aifutilie mbali shule hii badala yake ametoa adhabu ya kufungia kituo cha mitihani. Adhabu hii ni sawa na bure kwani kufuta kituo cha mitihani huku wanafunzi wa shule hiyo wakipangiwa kituo kingine cha kufanyia mitihani hakuwezi kuwazuia kuendelea na mchezo wao wa kubadilisha namba za mitihani za wanafunzi. Suluhisho la kudumu ni kuifungia shule moja kwa moja isiendelee kutoa elimu ili liwe fundisho mujarabu kwa wahalifu wengine wanaofanya mchezo huu usiofaa.

Watoto hao waliobadilshiwa namba za mitihani wangeonekana wamefeli maisha yao yangewaribikia wakati hawana hatia yoyote. Inauma sana. Nashauri viongozi wa kiislamu waingilie kati wamlazimishe mumiliki wa shule aondoke neno Islamic kwenye jina la shule anautia aibu uislamu na kuonea watoto waislamu wenye akili kama hao wasichana wa kiislamu waliowabadilishia namba.

Kumekuwa na tuhuma kuwa vyuo vikuu vinajaa wakristo tu kwa sababu eti waislamu wengi wanafelishwa sekondari kumbe kwenye shule zenyewe za waislamu kuna tatizo. Sasa hao vilaza waliofanyiwa mitihani na wanafunzi wenye akili isingegundulika mapema wangeenda sekondari na hao wenye akili wangebaki nyumbani. Na hao waliofanyiwa mitihani hata kidato cha sita wasingetoboa.

Mitihani ya form four (CSE) tu wangeweza kupata division zero na kuongeza idadi ya waislamu wanaopata division zero sekondari. Na kuwajengea waislamu siasa kali ni hoja zisizokuwa na mashiko kuwa waislamu wanafelishwa sekondari. Kumbe vilaza walipelekwa tu na viongozi wa shule za kiislamu wenye majina ya kiislamu wasionna hofu ya Allah wamehongwa kupitisha watoto nusu kaputi kwa kudhulumu wale wenye jitihada na wanaomlingania Allah kama huyo msichana.

USHAURI
Namshauri Mh Rais mama Samia Suluhu Hassan amfute kazi waziri wa elimu Adolf Mkenda kwa kushindwa kusimamia haki. Ameshindwa kufanya kazi yake sawasawa na pia amedhalilisha dini. Haiwezekani amchafue rais wetu nje, ndani halafu wapenda haki tukae kimya.

Kwa habari zaidi kuhusu hii skandali, soma makala zifuatazo:
Profesa Mkenda asema wanafunzi saba walibadilishiwa namba za mtihani
Shule ya Chalinze Modern Islamic yafungiwa kwa muda usiojulikana

Akili za wa Tanzania hizi, naona na pascal ka like, he he he, akili zinazofanana
 

All truth23

JF-Expert Member
Jul 19, 2022
602
602
Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kumchosha mtu yeyote. Nawapongeza Baraza la Mitihani (NECTA) kwa kufanya kazi nzuri ya kufichua uovu uliofanywa na Shule ya Chalinze Islamic Modern School kuwabadilishia wanafunzi 7 namba za mitihani kwa sababu wanazozijua wao wenyewe.

Lakini nasikitika kusema kwamba kazi hii nzuri iliyofanywa na NECTA kufichua uovu imetiwa shubiri na waziri wa elimu Adolf Mkenda kwa kutoa adhabu ndogo sana kwa wahusika waliotaka kuharibu mustakabali wa maisha ya mabinti wadogo wasiokuwa na hatia.

Nilitegemea Mkenda aifutilie mbali shule hii badala yake ametoa adhabu ya kufungia kituo cha mitihani. Adhabu hii ni sawa na bure kwani kufuta kituo cha mitihani huku wanafunzi wa shule hiyo wakipangiwa kituo kingine cha kufanyia mitihani hakuwezi kuwazuia kuendelea na mchezo wao wa kubadilisha namba za mitihani za wanafunzi. Suluhisho la kudumu ni kuifungia shule moja kwa moja isiendelee kutoa elimu ili liwe fundisho mujarabu kwa wahalifu wengine wanaofanya mchezo huu usiofaa.

Watoto hao waliobadilshiwa namba za mitihani wangeonekana wamefeli maisha yao yangewaribikia wakati hawana hatia yoyote. Inauma sana. Nashauri viongozi wa kiislamu waingilie kati wamlazimishe mumiliki wa shule aondoke neno Islamic kwenye jina la shule anautia aibu uislamu na kuonea watoto waislamu wenye akili kama hao wasichana wa kiislamu waliowabadilishia namba.

Kumekuwa na tuhuma kuwa vyuo vikuu vinajaa wakristo tu kwa sababu eti waislamu wengi wanafelishwa sekondari kumbe kwenye shule zenyewe za waislamu kuna tatizo. Sasa hao vilaza waliofanyiwa mitihani na wanafunzi wenye akili isingegundulika mapema wangeenda sekondari na hao wenye akili wangebaki nyumbani. Na hao waliofanyiwa mitihani hata kidato cha sita wasingetoboa.

Mitihani ya form four (CSE) tu wangeweza kupata division zero na kuongeza idadi ya waislamu wanaopata division zero sekondari. Na kuwajengea waislamu siasa kali ni hoja zisizokuwa na mashiko kuwa waislamu wanafelishwa sekondari. Kumbe vilaza walipelekwa tu na viongozi wa shule za kiislamu wenye majina ya kiislamu wasionna hofu ya Allah wamehongwa kupitisha watoto nusu kaputi kwa kudhulumu wale wenye jitihada na wanaomlingania Allah kama huyo msichana.

USHAURI
Namshauri Mh Rais mama Samia Suluhu Hassan amfute kazi waziri wa elimu Adolf Mkenda kwa kushindwa kusimamia haki. Ameshindwa kufanya kazi yake sawasawa na pia amedhalilisha dini. Haiwezekani amchafue rais wetu nje, ndani halafu wapenda haki tukae kimya.

Kwa habari zaidi kuhusu hii skandali, soma makala zifuatazo:
Profesa Mkenda asema wanafunzi saba walibadilishiwa namba za mtihani
Shule ya Chalinze Modern Islamic yafungiwa kwa muda usiojulikana
Mbona ni adhabu sahii kabisa kwa mujibu wa utaratibu

Acha chuki binafsi hizo nawivu tu
 

Matrix19

JF-Expert Member
Feb 24, 2020
4,069
6,880
Unaisifia NECTA ambayo ilishindwa kututhibitishia kiongozi mmoja ambaye waliosoma nae wanamjua walisema alipata division 0 ila ghafla wameshangaa vyeti alitoa wapi .

Ni miaka 5 imepita wameshindwa kutegua kitendawili hicho kuja kukubali au kupinga kwangu sioni sababu ya kuwapa "credit" sababu itakua ni "double standard "
 

Mtutuwandei

JF-Expert Member
Jun 28, 2022
483
509
Linachukuliwa kuwa ni dogo lakini linahitaji uchunguzi zaidi.
1. Ni kubwa kiasi gani kwa shule nyengine. Ikumbukwe kuwa hata kwa shule hii alielalamika ni mmoja ilhali uchunguzi umesafiri kuna wengine.
2. Nini mchango wa wazazi katika hili. Tafauti yahitajika kwa nini shule iamue kufelisha wanafunzi wake wazuri.
 
5 Reactions
Reply
Top Bottom