Poa 2
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 1,294
- 1,288
Wenye akili TU ndio wanaoweza kuona haya ndugu yanguRais wa JMT kwa Katiba hii anaweza hata kuifutilia mbali CCM yenyewe,Bunge,Sheria,Mkoa,Wilaya au hata uraia wa Mtanzania yeyote bila kuhojiwa na yeyote.
Hatari ni kubwa mno na hakuna aliye salama kama tulivyoshuhudia majuzi.